Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Mi naona ni mtazamo wako tu. Siku hizi hizo shanga zinavaliwa kama urembo tu. Juzi kati hapa nimetoka kubishana na mr. nae anaona mwanamke kuvaa vikuku ni malaya. Nikamwambia ni vile tu sijawai kivipenda na mi ningevaa. Nilikatwa jicho lile la"ole wako".
 
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikukuu i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM
Unakariri
 
Kama atavaa shanga na akazificha(hazioneshi hadharani) kwa lengo la kumburudisha mwenzake(mume) ndani basi hajaharibu kitu na yuko sahihi.. Mwanamke kujipamba kwa ajili ya mume wake si kosa, ndani ya ndoa starehe lazima ipatikane, kama starehe ya mwenzake ni shanga kwanini umuite malaya?

Mzee unapohangaika kunyonya papa, maziwa na vingi vingi, huwa ni kwa ajili ya nini si kumstarehesha mwenzio!? Kwanini usichovye ukakojoa ukapita kushoto.
 
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikukuu i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM
Acha hizo iman lada vikuku ila shanga Kiunoni kawaida ,, sasa me wife anavaa nguo ndefu hizo shanga naziona mimi peke yangu akivua. kuna tatizo gn? Na umalaya wake unatoka wap?Acha ushamba wako rudi huko porini
 
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikukuu i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM

We ni kijana wa hovyo sana!tatizo umekalili maisha dogo!vikuku saiv ni urembo tu kuna wadada wamesoma na wanajielewa sana kwa hiyo wahindi kuvaa vikuku wote ni malaya???[emoji38]
 
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikukuu i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM
Umemaliza kila kitu mkuu..
IMG-20211106-WA0001.jpg
 
Maendeleo Yatachelewa Sana Hapa Tanzania
Ni kweli kabisa, yaani wanaume wanajadili mambo ya ajabu kabisa. Mimi nina bleach kabisa kuchwa kizima na siogopi eti watu wananichukuliaje. As long as mwajiri wangu na mpenzi wangu anaona sawa wala sijali. Kazini kwetu hata uvae vikuku 10 no one cares wanachotaka ni delivarables
 
Back
Top Bottom