Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Huwaga naona mwaname yupo Kwenye taasisi kubwa ukute kama Hospital hivi anavaa Kikukuu nashindwa kuelewaa ni Jambo ambalo hadi leo naona ni Umalaya japo utata huja unakua Wamasai wanavaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alafu hadi wanaumeee
 
Nafikiri tusigeneralize sana vitu, inawezekana walio wengi wana sifa hizo lakini ninakuhakikishia sio wote. Wengine huvaa kama sehemu ya urembo na wanapenda.
Hizo ndio sifa za malaya, usisipepese
 
Nitajie tofauti tano zinazomtofautisha kahaba na malaya

Ninavyoelewa kiufupi tu bila kujaza umati kahaba hana tofauti yoyote na Malaya sababu wote wanauza uchi
Mimi sio mwalimu, huko shuleni mlipelekwa kusomea ujinga?
 
Nilivyofika mjini kutoka Bush kwetu kule niliwaza hivyo hivyo,tulia tulia townkwanza utaona ni kawaida, alafu hayo yote uliyoyasema utagundua sio kweli
Dogo me downtown kitambo saana

Umekuja juzi tu teyari umemezwa na wimbi la malaya
 
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikukuu i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM
Ushamba sio kitu kizuri na unaonekana ndio umeanza kuvaa viatu
 
Tafuta Hela kijana acha makasiriko,
Hao uliowataja ni Wajanja wa Mjini najua kuwapata imekua shida aidha wajishtukia kwa hali yako ama wamekukataa,

#Kila Kiungo cha Mwanamke kinahitaji Urembo, kama ulisikia Mwanamke ni Pambo la Nyumba basi ndio hayooo
Pesa ya kunitosha kuishi, kula kunywa beer muda wote, kuhonga kianzia tarehe 1-30 mwaka mzima ipo

Wanawake wamejaa tele yaani najipigia ninae taka, nimefanya utafiti waliotajwa hapo ni malaya

Kama kwako umalaya umekuwa fashion siku hizi endelea nao
 
Mi naona ni mtazamo wako tu. Siku hizi hizo shanga zinavaliwa kama urembo tu. Juzi kati hapa nimetoka kubishana na mr. nae anaona mwanamke kuvaa vikuku ni malaya. Nikamwambia ni vile tu sijawai kivipenda na mi ningevaa. Nilikatwa jicho lile la"ole wako".
Sasa jichanganye uvae uone

Huko mtaani utaombwa kwa dharau mpaka na watoto wadogo

Mumeo hatokuvumilia, kuishi na malaya kazi
 
Acha hizo iman lada vikuku ila shanga Kiunoni kawaida ,, sasa me wife anavaa nguo ndefu hizo shanga naziona mimi peke yangu akivua. kuna tatizo gn? Na umalaya wake unatoka wap?Acha ushamba wako rudi huko porini
Huyo wife wako ni chawote!

Porini sirudi, huyo malaya lazima nimpate pia
 
Hivi akivaa cheni mguu wa kushoto anakua anamaanisha kitu gani,na akivaa cheni mguu wa kulia..pia anamaanisha nini?
Mwenye kufahamu naomba anijuze
 
We ni kijana wa hovyo sana!tatizo umekalili maisha dogo!vikuku saiv ni urembo tu kuna wadada wamesoma na wanajielewa sana kwa hiyo wahindi kuvaa vikuku wote ni malaya???[emoji38]
Kigezo cha kusoma hakimuondoi mtu kuwa malaya
Tunao malaya wenye phd kabisa

Wewe endelea na umalaya wako
 
Ni kweli kabisa, yaani wanaume wanajadili mambo ya ajabu kabisa. Mimi nina bleach kabisa kuchwa kizima na siogopi eti watu wananichukuliaje. As long as mwajiri wangu na mpenzi wangu anaona sawa wala sijali. Kazini kwetu hata uvae vikuku 10 no one cares wanachotaka ni delivarables
Wewe nae ndio wale wale

Ofisi gani hiyo wanaruhusu bleach?

Labda barmaid sawa
 
Back
Top Bottom