Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Wazungu wanawekeza nguvu nyingi kwenye maswala ya anga za mbali ambako hata wakisema wakaishi huko maisha yatakuwa ya gharama kubwa kuliko hapa duniani ambako bado hawajapamaliza.

Sijui kuna nini kwenye hizi mission zao.
Resources
 
Ukishaingia inner space unahitaji mafuta ya nini tena, sana sana ni kuiboost mara chache ili kumaintain attitude. Kuna chombo cha mmarekani kwa jina Voyager 2, kimeenda tangu miaka ya 70 mwishoni na kinaelekea sayari ya neptune kama sijasahau. Ukishaingia huko unahitaji solarenergy kumaintain system na si mafuta
 
Huyo bwana elimu ya dini imemkaa sana, anatakiwa atafute na elimu dunia sana
 
Teeneger, upo vizuri kwa kutoa maelezo lakini tatizo ni kiswanglish, hivyo kwa sisi wa kusoma chini ya mwembe ni shida!!!!
 
Sasa Chief hiyo miezi sita walikuwa wanakula na kunywa nini nna walikuwa wanajisaidia wapi!!
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Akili ya kurukia Barbara nani kaniambia kinawekwa mafuta
 
Kuna jamaa zangu walikaa hapa duniani wakaona hawaelewi wakaenda mars wakaishi huko kwa muda mrefu tu nako wakaona hawaelewi wakaondoka sasa hivi kuna mahala wapo amaizing sana na siisemi.
Totopak ni soo saana ukiichanganya na wanzuki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…