Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Hoja ya msingi je ni za kweli?
kwa maana hiyo hoja ya kusema habari ipo constant sio hoja ya msingi?

mpaka hapo ushakubali kua habari flani kuwa constant sio kigezo cha kuifanya iwe kweli


Sitegemei Qur'aan ipate challange toka kwetu, tunategemea toka kwenu kitu ambacho hamkiwezi na hapa nathibitisha hilo.
hutegemei kwasababu ya dhana ya hofu mliyopandikizwa since watoto.

na ndio maana mnigeria aliyemuimba muhammad alihukumiwa kunyongwa

Na ndio maana huwezi ukiwa unakemea ukatili wa kijinsia kwa mtu mzima miaka 50 kufunga ndoa na binti wa miaka 9 utahukumiwa kifo endapo utataja jina la muhammad kama mfano japokua tukio hilo limeelezwa kitabuni
Mimi naamini Qur'aan ni kweli na haina shaka, sasa nataka wewe uikosoe.
sasa ntakukosoa nini wakati wewe mwenyewe una amini?

Leo hii nataka uthibitishe uongo wa hizi habari, ukiweza mimi naacha kutumia hii ID hili nalisema mara kadha wa kadha na hukuwahi kufanya hivyo, sasa kujadiliana na mtu asi
soma post ambayo nimekuelekezea factors ambazo hoja inatakiwa iwe nazo ili i qualify kujibiwa. ukiona kama hoja yako imekidhi niambie nije niipinge
Vipi atike salama wakati anakuwa anasema uongo na kupotosha...?
so habari ya muhammad kupasua mwezi vipande viwili ni ya uwongo?
Sasa wewe ndiyo uhoji na ukosoe tuone.
viki qualify nitakosoa
Lakini kwanini nihoji uongo na ukweli tuko nao, haya ni matumizi mabaya ya akili.

Uhalisia,naona unanichosha na kunipotezea muda kijana, hili nimeshalijibu huko nyuma.
uhalisia unaupimaje?

unajuaje unachokiona wewe ni uhalisia na sio kinyume chake?
Sasa uhakika tena wakati vitu vinaonekana, wewe huoni kama jua linatembea na dunia iko tuli?
Na kwa vile unaliona jua kwa udogo wa size ya mpira basi jua hilo linatakiwa kua na ukubwa huo huo kwasababu macho hayaongopi

Na rockets zinazopita anga za juu zitakua zinaukubwa ule ule sawa na mijusi kwasababu unachokiona ndio uhalisia.

not everything is as it seems
Hapa kazi imeisha.
garbage
 
hujajibu swali

umesema hizo njia zina shida...hujatoa uthibitisho wa kauli yako

nimeuliza shida ipi? hujajibu

na pia nikauliza kabla ya kujua shida kwanza umejitafakari uelewa wako kuhusu hayo mambo ya sayansi unaona unatosha?

kwasababu inaweza ikawa unaona zinashida kwasababu huna maarifa ya kuielewa sayansi. Mfano huko juu umeonesha wazi hujui hata procedures za kufanya scientific research mpaka nikaamua niku recommend ukajifunze kwa mtoto wa form one

Nipe emperical evidence ambazo ni valid and interpretable in accordance with with scientific method kwenye hiyo kuran, nipe stage zote walizotumia kutafiti hilo mpaka wakafikia hitimisho.

pitia post ambayo nimekuelekeza ukapate maarifa kwa mtoto wa kidato cha kwanza utaona.

umeisoma mpaka wapi hiyo FP?

Nataka nijihakikishie kwamba najadiliana na mtu anayejua hili jambo hivyo kutakua na maswali nitakayokuuliza ili kuthibitisha kama umeisoma kwa kuielewa kiasi cha kuona madhaifu yake


vile vile hujatumia usahihi kukosoa kosa, umelopoka tu.

Nipe emperical evidence ambazo ni valid and interpretable in accordance with with scientific method kwenye hiyo kuran, nipe stage zote walizotumia kutafiti hilo mpaka wakafikia hitimisho.

bilashaka hicho kitabu kitakua kimetolewa kama suggestion kwenye cyclopedia za kiislam maana ndio source zako unazoziamini.

hilo neno udhaifu hujaanza leo kulitaja lakini hakuna siku uli prove kwa uthibitisho nahisi ni kwasababu source ya habari yako haikutoa majibu yote na ndio maana unaishia kuishia pale walipoishia wenzako
Poa.
 
kwa maana hiyo hoja ya kusema habari ipo constant sio hoja ya msingi?

mpaka hapo ushakubali kua habari flani kuwa constant sio kigezo cha kuifanya iwe kweli



hutegemei kwasababu ya dhana ya hofu mliyopandikizwa since watoto.

na ndio maana mnigeria aliyemuimba muhammad alihukumiwa kunyongwa

Na ndio maana huwezi ukiwa unakemea ukatili wa kijinsia kwa mtu mzima miaka 50 kufunga ndoa na binti wa miaka 9 utahukumiwa kifo endapo utataja jina la muhammad kama mfano japokua tukio hilo limeelezwa kitabuni

sasa ntakukosoa nini wakati wewe mwenyewe una amini?


soma post ambayo nimekuelekezea factors ambazo hoja inatakiwa iwe nazo ili i qualify kujibiwa. ukiona kama hoja yako imekidhi niambie nije niipinge

so habari ya muhammad kupasua mwezi vipande viwili ni ya uwongo?

viki qualify nitakosoa

uhalisia unaupimaje?

unajuaje unachokiona wewe ni uhalisia na sio kinyume chake?

Na kwa vile unaliona jua kwa udogo wa size ya mpira basi jua hilo linatakiwa kua na ukubwa huo huo kwasababu macho hayaongopi

Na rockets zinazopita anga za juu zitakua zinaukubwa ule ule sawa na mijusi kwasababu unachokiona ndio uhalisia.

not everything is as it seems

gar
Kazi yangu nimemaliza.

Naona huna hoja tena unarudia rudia ibara tu, na maswali yangu hujibu.
 
Hitimisho la kuwa hakuna jaribio lililo fanyika la kisayansi linalo thibitisha ya kuwa dunia inazunguka.
unaelewa nini kuhusu Ring lasers?
Mathalani, unataka nifikie hitimisho gani la kisayansi kusema wewe upo na hapa unajadiliana na mimi ?
unataka hitimisho nikupe mimi?

hitimisho unalitafuta wewe kwa jitihada za research zako ukileta hapa jibu mi nitaangalia kama lime qualify kwa kuzingatia misingi ya kiutafiti.
Nakuonyesha ya kuwa si kila jambo linathibitishwa na sayansi
nioneshe jambo la kisayansi lisilothibitishwa kisayansi
ukizingatia udhaifu wa Sayansi ulivyo.
uthibitisho wa hili unao?
Hili swali hapa nalijibu maya sita itakuwa.

Hili ndiyo Foucoult imekuthibitishia. Muda huo wewe unakuwa hapo hapo ulipo au ?
hapo hapo wapi?

kwani meli inapojongea sisimizi aliyemo ndani anakua hapo hapo alipo?
Sasa hili ndilo mnalotakiwa kuthibitisha. Unaipimaje speed ya dunia, ukiwa kwenye dunia au ukiwa nje ya dunia?
kwani kikwazo gani kinachoonesha haiwezekani kupima speed ya dunia ukiwa kwenye dunia?

Ni kwamba ni hisia zako zimekufanya uhisi hivyo au una uthibitisho wa hili jambo kuonesha haiwezekaniki?


Haya tunayaita marejeo, sasa ndiyo uniambie kwamba Albert Michelson hakufanya hili jaribio na kuhitimisha ya kuwa dunia haizunguki au shida iko wapi ?
wewe si umemsoma huyo Albert Michelson mpaka ukaja na jibu kua dunia haizunguki?

mimi namjua kwa research yake ya ku discover speed of light, nataka kupitia wewe uliyemsoma zaidi unipe extra informations
Wewe habari za Leon Foucault umezitoa wapi umeziota au wewe ndiyo wa kwanza ?
hizi tunafundishwa darasani na ni somo pana mno, ni tofauti sana na wewe uliyeenda ku copy kwenye blogs za kiislamu ambazo zimenyumbuliwa nyumbuliwa juu juu kwa mlengo wa kupinga

kitendo cha ku copy na kupaste ulichokifanya wewe kimeonesha dhahiri hujatumia akili yako wewe kusoma hicho kitabu cha huyo mwandishi mpaka ukazikuta hizo errors.

ebu cheki hapa, hii ni page ya kiislam huko facebook na hii content hapo

halafu unakuja kupinga madai ambayo hujasoma in deep

1614527423387.png


nyingine hii

1614531773594.png

Sasa hii si hoja kijana, jenga hoja na ujibu hoja, hui utoto haubadilishi ukweli wa kuwa hakuna ushahidi wa kisayansi unao onyesha ya kuwa dunia inazunguka katika muhimili wake.
unataka upewe ushahidi gani?
Constant speed ya gari ipo ikiwa katika conditions fulani, ikiwa katika straight path na condition nyingine.
hapa umeandika nini?
Pili, sharti ya kupimwa kwa speed lazima kuwe na acceleration na dunia katika nukta hii mnaleta assumptions,
kwahiyo hapa unataka kutuambia earth does not accelerate?
na hamtuambii ilikuwaje ikaanza ku rotste na ni lini?
hauambiwi na nani?

jisemee wewe kwamba hujui na huo ni ujinga wako binafsi wa kutofatilia vitu kabla hujaanza kupinga pinga hovyo
Kam mmeikuta dunia katika mwendo vipi mnaweza kupima mwendo wake na kuupata exactly ?
kwani kipi kinacho zuia kupata majibu sahihi?
Tatu, hizi nadharia ndizo mlizomezeshwa ya kuwa kwazo huwezi kuhisi mwendo wa dunia, hapa nacheka sana, kuna milima mikubwa, kuna majengo marefu, kuna bahari na mambo kadha wa kadha, duni ingekuwa inazunguka lazima tunge feel athari ya mzunguko huo.
hoja ndio zimeweza kukutoa kule kwenye dhana ya mtu ku feel motion ya dunia na sasa uko kwenye properties za dunia.

unataka kujua effect? mbona zipo tele

hujui kwamba rotation ya dunia inafanya tupate matokeo ya usiku na mchana?

kwenye ishu ya bahari kutokana na to rotation, winds and the ocean currents deflect to the right in the Northern Hemisphere and to the left in the Southern Hemisphere

movement ya upepo ni athari mojawapo ya kuonesha dunia inazunguka


Nne, mfano wa gari ni stahiki sababu marejeo yapo, na mfano wako huna marejeo sababu ili upate uhalisia kazima uwe nje ya dunia.
kwani hakuna references za kisayansi zinazoeleza kwanini hatuhisi mjongeo wa dunia?

Siyo kweli, hatw nikiwa kwenye gari na feel speed.
yes ni kwasababu speed inabadilika na ndio maana una feel

na pia gari ni chombo kidogo kutolea mfano kwa mtu, hapo ilitakiwa utolee mfano sisimizi akiwa kwenye meli kubwa ya oasis
Kwa speed hiyo mimi hapa nilipo baada muda fulani nisingekuwa hapa, aidha kimuelekeo au kwa muda.
hapa unazungumzia gari?
Kuna facts kuliko uhalisia kijana?
uhalisia unaupataje bila evidence?

uhalisia ni matokeo baada ya uchunguzi na uchunguzi una contains fact, hivi viwili havitengani
Sasa nieleweshe na ujibu maswali niliyo kuuliza ?

Kijana nakushuri ukisoma kitu kisome hasa. Mimi situmii madhaifu kukosoa udhaifu hili usirudie tena, kama wewe unaishindwa kutumia njia za kisayansi ulizozitaja kuthibitisha ukweli wako, unatakiwa ukasome tena hizo njia uzielewe. Usitake na mimi niwe zwa zwa ksma wewe.
garbage
 
Nani amesema Qur'aan imeandika habari za kisayansi ? Huwa husomi nonacho kiandika kijana. Nimesema kinachosemwa na Qur'aan ni sahihi, Sayansi inakuja kufata, na ukiona sayansi imepingq na Qur'aan ujue Sayansi imedanganya, na Qur'aan si kitabu cha Sayansi bali ni kitabu cha muongozo na ni kweli tupu.
kwani nani kasema kuran ni kitabu cha sayansi?

mimi nimejenga hoja kulingana na misimamo yenu hata humu kuna nyuzi nyingi zenye kudai kuran ime contain sayansi na wapo walioenda mbali zaidi kwamba hata wanasayansi wana copy kwenye kuran.
Ndiyo sisi wapunbavu ambao tunawasimamishia hoka za kielimu na kuonyesha kwa namna gani mgani mlivyo wajinga, mpaka sasa hivi hujatumia hizo scientifi method kuonyesha au kutetea ukweli wa Leon unaruka ruka.
umesimamisha hoja gani humu?

ebu isimamishe hapa tuione
 
Kazi yangu nimemaliza.

Naona huna hoja tena unarudia rudia ibara tu, na maswali yangu hujibu.
hiyo kazi umeimalizia wapi?

mbona hapa hamna ulichokijibu, post yangu yenye maswali umei quote bila kuyajibu kwa kuandika uzushi
 
Kuna jamaa zangu walikaa hapa duniani wakaona hawaelewi wakaenda mars wakaishi huko kwa muda mrefu tu nako wakaona hawaelewi wakaondoka sasa hivi kuna mahala wapo amaizing sana na siisemi.

Undisclosed location[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au sio
 
unaelewa nini kuhusu Ring lasers?
Sijui.
unataka hitimisho nikupe mimi?

hitimisho unalitafuta wewe kwa jitihada za research zako ukileta hapa jibu mi nitaangalia kama lime qualify kwa kuzingatia misingi ya kiutafiti.
Lazima unipe uthibitisho wa kisayansi juu ya uwepo wako, sababu kwako wewe jambo kama halithinitishwi na sayansi si kweli.

Sasa haya matapishi yako inabidi uyatumie hapa na ni lazima utoe hitimisho hilo.
nioneshe jambo la kisayansi lisilothibitishwa kisayansi
Sima nilichokiandika kwa ufasa, nimekwambia si kila jambo linathibitishwa na Sayansi. Sasa uliza swali sahihi.

Suala la Dunia kutozunguka si jambo la kisayansi japokuwa kina Michelson walifanya hivyo. Sababu dunia haizunguki na iki hivyo.
uthibitisho wa hili unao?
Ninao.
hapo hapo wapi?

kwani meli inapojongea sisimizi aliyemo ndani anakua hapo hapo alipo?
Unaniuliza tena, baada ya kujibu nilicho kuuliza.
kwani kikwazo gani kinachoonesha haiwezekani kupima speed ya dunia ukiwa kwenye dunia?

Ni kwamba ni hisia zako zimekufanya uhisi hivyo au una uthibitisho wa hili jambo kuonesha haiwezekaniki?
Sasa huoni kama ni matumizi mabaya ya akili kupima mwendo wa kitu ambacho hakina mwendo...?

Mpaka muda huu umeshindwa kuitetea Foucault Pendulum. Unakimbia maswali.
wewe si umemsoma huyo Albert Michelson mpaka ukaja na jibu kua dunia haizunguki?

mimi namjua kwa research yake ya ku discover speed of light, nataka kupitia wewe uliyemsoma zaidi unipe extra informations
Kwanini hujibi maswali yangu ?

Nimeshakupa info yake ya yeye kufanya jaribio na mwaka nimekupa, katafute Michelson alifanya nini mwaka 1881 na mwaka 1887.

Kisha rejea humu "Albert A. Michelson, “The Relative Motion of the Earth and the Luminiferous Ether,” American Journal of
Science, Vol. 22, August 1881, p. 125."
 
hizi tunafundishwa darasani na ni somo pana mno, ni tofauti sana na wewe uliyeenda ku copy kwenye blogs za kiislamu ambazo zimenyumbuliwa nyumbuliwa juu juu kwa mlengo wa kupinga

kitendo cha ku copy na kupaste ulichokifanya wewe kimeonesha dhahiri hujatumia akili yako wewe kusoma hicho kitabu cha huyo mwandishi mpaka ukazikuta hizo errors.

ebu cheki hapa, hii ni page ya kiislam huko facebook na hii content hapo

halafu unakuja kupinga madai ambayo hujasoma in deep
Safi kanisa, huko darasani wao walitoa wapi ? Kwamba ni vitu vipya au ? Kijana mbona unajitekenya mwenyewe kisha unacheka.

Maana yake hakuna jipya na mimi najivunia kuwa na marejeo,yaani hakuna jipya ndiyo maana tunasoma vitabu na kirejea,na tunasoma Qur'aan na tunarejea huko.

Sasa hakuna tofauti, unachotakiwa wewe hiki nilicho copy na kupaste juu juu ukikosoe, lakini unashindwa sasa mimi na wewe nani mwenye matatizo.

Mpaka kujua wapi ni ka copy na kupaste ni akili imetumika, na kutokea katika kucopy kwangu nimeweza kukitetea nilicho copy na kukidefend, ila wewe hili umeshindwa, japokuwa na wewe umecopy habari za parallax na foucault pendulum ila umeshindwa kuzitetea.

Hata hiyo page ya facebook nayo imecopy sababu, Abuu Iyaadh mwenyewe tovuti zake za asili si hizo. Kwahiyo kucopy na kupaste haya ndiyo marejeo na tunaweza kuyatetea.

Sasw unapinga nini na unakubali nini ?

Au darasani hawa copy na kupaste ?

Hapa inadhihirisha ya kuwa nikicho kicopy kipo sahihi na huwezi kukikosoa.
 
kwahiyo hapa unataka kutuambia earth does not accelerate?
Ita accelerate vipi wakati haimove wala kurotate? Unauliza maswali ya kijinga, maswali ambayo laiti ungejibu maswali yangu usingeuliza maswali haya.
 
Back
Top Bottom