Nguza Viking ni pedophile, yeye na wanawe wamefungwa jela kwa makosa ya kuwaingilia kimapenzi watoto wadogo. Kwa mtazamo wangu tu, nyimbo zake hazifai hata kusikilizwa na jamii ya watu wastaarabu, achana kurudia kuziimba tena.
Mshabiki wa Jide unamshauri mwanamuziki wako kucopycopy?
wakati hao watoto wanaingiliwa ulikuwepo?
kama hukuepo umejuaje sasa...acha kupika maumbea kwan nani asojua kuwa nguza alikula salima​Mi ningekuwepo ningemrestisha in peace hapo hapo, wala nisingesubiri polisi na mahakama.
kama hukuepo umejuaje sasa...acha kupika maumbea kwan nani asojua kuwa nguza alikula salima
kama hukuepo umejuaje sasa...acha kupika maumbea kwan nani asojua kuwa nguza alikula salima
Hivi ulishawahi kukaa na ukafikiria kwamba utakuja kufanya copy nyingine kama ile ya wimbo unaoitwa SIWEMA? Kama bado hebu jaribu kufikiria itakuaje kama utazama studio na kuingiza vocal ukitengeneza ji songi (copy) la ngoma ya NGUZA VIKING (SEA) Huku wewe ukiwa umemshirikisha mdada mwenye sauti iliyopooza bi PAULINE ZONGO?
Nadhani hiyo itakuwa ni zawadi yetu sisi mashabiki wako kwa siku kuu hizi za mwisho wa mwaka na ni lazima ikae upya masikioni mwa watu, chonde chonde dada tunaomba utusuuze nyoyo zetu, au mnasemaje wadau?
Cc; warumi, Matola, na wengine wote.
Alimla Salma yupi?
kama hukuepo umejuaje sasa...acha kupika maumbea kwan nani asojua kuwa nguza alikula salima
salima ndala ndefu....
Wewe ndio unapika umbea, unaongea habari sijui umezitoa wapi! Babu Seya na wanawe wamefungwa jela kwa makosa ya kuwabozogoa watoto wadogo, sasa wewe hutaki kuamini kwasababu mimi sikuwepo, kwani waliokuwa gerezani wote walipofanya makosa mi nilikuwepo?
Nguza Viking ni pedophile, yeye na wanawe wamefungwa jela kwa makosa ya kuwaingilia kimapenzi watoto wadogo. Kwa mtazamo wangu tu, nyimbo zake hazifai hata kusikilizwa na jamii ya watu wastaarabu, achana kurudia kuziimba tena.