Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Mama shikamoo!
Kwanza pole na majukumu mengi ya kitaifa. Mimi ni mdau mkubwa sana kwenye technology mwenye weledi mapana sana.
Hutuba nyingi sana za waziri zinaonyesha ana uwelewa mdogo sana katika Technologia hivyo kama kauli za Tunadhalilika sana.
Mfano VPN ni njia pekee katika cyber security ya kulinda taarifa za miamala yote Duniani ya kifedha na taarifa mbalimbali. Hakuna njia nyingine zaidi ya VPN.
VPN imekuwa msaada mkubwa sana kwa mashirika ya umma pamoja na mitandao. Haiwezekani matumizi ya VPN kusitishwa.
Amekuwa na kauli nyingi ambazo haziendani na sifa za kibobezi katika wizara.
Pia Soma:
- TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja
Kwanza pole na majukumu mengi ya kitaifa. Mimi ni mdau mkubwa sana kwenye technology mwenye weledi mapana sana.
Hutuba nyingi sana za waziri zinaonyesha ana uwelewa mdogo sana katika Technologia hivyo kama kauli za Tunadhalilika sana.
Mfano VPN ni njia pekee katika cyber security ya kulinda taarifa za miamala yote Duniani ya kifedha na taarifa mbalimbali. Hakuna njia nyingine zaidi ya VPN.
VPN imekuwa msaada mkubwa sana kwa mashirika ya umma pamoja na mitandao. Haiwezekani matumizi ya VPN kusitishwa.
Amekuwa na kauli nyingi ambazo haziendani na sifa za kibobezi katika wizara.
Pia Soma:
- TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja