Bila orodha yako kuwa taja Mchengelwa, Uweso na Ridhwan sikuungi mkonoNape January na Mwigulu ni majipu.
Ila maza amewaficha Moyoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila orodha yako kuwa taja Mchengelwa, Uweso na Ridhwan sikuungi mkonoNape January na Mwigulu ni majipu.
Ila maza amewaficha Moyoni.
Kwa nini unamwita kijana?Huyu kijana ni mchawi duniani koteeeeee tupo na Elon musk yeye ndio Kwanzaa ,UJIMA
Upate div 4 afu uwe na utaalam wa technolojiaMama shikamoo!
Kwanza pole na majukumu mengi ya kitaifa. Mimi ni mdau mkubwa sana kwenye technology mwenye weledi mapana sana.
Hutuba nyingi sana za waziri zinaonyesha ana uwelewa mdogo sana katika Technologia hivyo kama kauli za Tunadhalilika sana.
Mfano VPN ni njia pekee katika cyber security ya kulinda taarifa za miamala yote Duniani ya kifedha na taarifa mbalimbali. Hakuna njia nyingine zaidi ya VPN.
VPN imekuwa msaada mkubwa sana kwa mashirika ya umma pamoja na mitandao. Haiwezekani matumizi ya VPN kusitishwa.
Amekuwa na kauli nyingi ambazo haziendani na sifa za kibobezi katika wizara.
Pia Soma:
- TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja
Nisamehe huyu alizima Bunge,huyu aliibakura bao la mkono.Kwa nini unamwita kijana?
Huyu ni zaidi ya miaka 35
Kijana mwisho ni miaka 35 ( UN )
Huyo ni old school sanaaa
Kukosa exposure ndio kunamsumbua
Mkulu atambue hawa ndio wanaomdanganya
Wote hao ni wale wale tu, wanafahamika na Taifa zima kuwa hawana sifa ila ni kubebana tu.Bila orodha yako kuwa taja Mchengelwa, Uweso na Ridhwan sikuungi mkono
Waziri mzigo.... ni hasara kwa taifa !Mama shikamoo!
Kwanza pole na majukumu mengi ya kitaifa. Mimi ni mdau mkubwa sana kwenye technology mwenye weledi mapana sana.
Hutuba nyingi sana za waziri zinaonyesha ana uwelewa mdogo sana katika Technologia hivyo kama kauli za Tunadhalilika sana.
Mfano VPN ni njia pekee katika cyber security ya kulinda taarifa za miamala yote Duniani ya kifedha na taarifa mbalimbali. Hakuna njia nyingine zaidi ya VPN.
VPN imekuwa msaada mkubwa sana kwa mashirika ya umma pamoja na mitandao. Haiwezekani matumizi ya VPN kusitishwa.
Amekuwa na kauli nyingi ambazo haziendani na sifa za kibobezi katika wizara.
Pia Soma:
- TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja
NeverCcm tangu enzi za jpm umeona watu smart?