sekindunda
JF-Expert Member
- Jul 23, 2017
- 335
- 232
Hata mm napata mashaka kdogo. Nadhani watu wa usalama hawakufanya jukumu lao vzr, kle kipengere cha kuizodoa Kenya kingeondolewa kabla wimbo haujachezwa mubashara.Huu mdumange unaharibu diplomasia.
Sent using Jamii Forums mobile app