Chongoleani, Tanga: Rais Magufuli na Museveni waweka la jiwe la Msingi mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima - Tanga

Chongoleani, Tanga: Rais Magufuli na Museveni waweka la jiwe la Msingi mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima - Tanga

hivi viongozi huwa hawapitii hivi vikundi kabla ili kujiridhisha na maudhui yanayowasilishwa? sasa hawa wazee wanaipiga kijembe Kenya live!
 
Huo wimbo uliomalizika hivi punde wa hao waliovaa kanzu ni wa kuichokoza Kenya kwa kuikejeli kuwa ilisema mradi hautafanikiwa. Hakukuwa na haja ya kuisuta Kenya hii ni kutaka kuleta choko choko zusizokuwa na msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Television kongwe na kubwa kuliko zote nchini ITV imetia aibu leo katika kurusha matangazo yake mubashara kutoka Tanga ukilinganisha na television zingine katika upande wa ubora wa picha.. Picha zirushwazo na ITV ni chafu na zimefifia mno zinatia aibu.. Hongera sana kwa Clouds Tv kwa kurusha picha zenye ubora wa HD na zenye mng'ao na wa hali ya juu.. Yaani hadi TBC imeizidi ITV kwa ubora wa picha za mubashara kwa leo aisee aibu sana ITv.

Sent from iphone 7 plus
Kweli kabisa mpaka nimeamua kuweka Tbc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo wimbo uliomalizika hivi punde wa hao waliovaa kanzu ni wa kuichokoza Kenya kwa kuikejeli kuwa ilisema mradi hautafanikiwa. Hakukuwa na haja ya kuisuta Kenya hii ni kutaka kuleta choko choko zusizokuwa na msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni upuuzi tuu wala sijawaelewa..

Afu pia sikuona sababu ya kuvaa nguo za chama fulani..

Hili ni jambo la kimataifa..!
 
Hao wana kikundi cha burudani wajinga sana, sasa Kenya inausika vipi na uzinduzi wenu mpaka waitaje kwenye nyimbo yao
Hata mi nimeshangaa sana hao itaharibu sana uhusiano wetu na kenya
 
Hao wana kikundi cha burudani wajinga sana, sasa Kenya inausika vipi na uzinduzi wenu mpaka waitaje kwenye nyimbo yao
Mkuu alitaja Kenya uzinduzi daraja la Kigamboni. What do you expect? Rank and file follow the leader.
 
Nadhani mpaka waganda wanatucheka tunavyoshangilia utadhani mafuta yetu, kumbe njia tu kwetu
 
  • Thanks
Reactions: Gut
Huo wimbo uliomalizika hivi punde wa hao waliovaa kanzu ni wa kuichokoza Kenya kwa kuikejeli kuwa ilisema mradi hautafanikiwa. Hakukuwa na haja ya kuisuta Kenya hii ni kutaka kuleta choko choko zusizokuwa na msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sionagi umuhimu wa hivi vikundi.. Ni ujinga ujinga tu!
 
Watanzania kama mlishindwa kufaidika na bomba lenu la gesi kutoka mtwara hili la mafuta kutoka uganda msitegemee kitu
Tujifunze kutafuta na positive angle kdogo! Mradi huu ungekwenda Kenya kama ilivyokuwa imepangwa awali mngekuja hapa na mzigo wa matusi kwa Serikali.

Leo Viongozi wetu wamejitahidi kushawishi mradi huu mkubwa wenye faida kubwa kwenye nyanja zote za kijamii tunabeza tena, hv ni lini tutaanza kuona kama hata makubwa kiasi hiki hatuoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mradi wa bil $ 3 nchi nzima imehamia tanga, siku acacia wakitulipa zile $ bil 190 zetu nadhani itabidi nchi nzima tufanye sherehe
 
Television kongwe na kubwa kuliko zote nchini ITV imetia aibu leo katika kurusha matangazo yake mubashara kutoka Tanga ukilinganisha na television zingine katika upande wa ubora wa picha.. Picha zirushwazo na ITV ni chafu na zimefifia mno zinatia aibu.. Hongera sana kwa Clouds Tv kwa kurusha picha zenye ubora wa HD na zenye mng'ao na wa hali ya juu.. Yaani hadi TBC imeizidi ITV kwa ubora wa picha za mubashara kwa leo aisee aibu sana ITv.

Sent from iphone 7 plus

Itakuwa wamelazishwa ,kwahiyo bora liende tofauti na clouds walioshikia bango kama ni bomba la Ruge vile
 
Back
Top Bottom