ECONOMY
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 680
- 481
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Television kongwe na kubwa kuliko zote nchini ITV imetia aibu leo katika kurusha matangazo yake mubashara kutoka Tanga ukilinganisha na television zingine katika upande wa ubora wa picha.. Picha zirushwazo na ITV ni chafu na zimefifia mno zinatia aibu.. Hongera sana kwa Clouds Tv kwa kurusha picha zenye ubora wa HD na zenye mng'ao na wa hali ya juu.. Yaani hadi TBC imeizidi ITV kwa ubora wa picha za mubashara kwa leo aisee aibu sana ITv.
Sent from iphone 7 plus
tupo kwenye mkakati wa kuziloga Tv zote ili tubaki na TBC, sasa mizimwi yetu imeanza na itvTelevision kongwe na kubwa kuliko zote nchini ITV imetia aibu leo katika kurusha matangazo yake mubashara kutoka Tanga ukilinganisha na television zingine katika upande wa ubora wa picha.. Picha zirushwazo na ITV ni chafu na zimefifia mno zinatia aibu.. Hongera sana kwa Clouds Tv kwa kurusha picha zenye ubora wa HD na zenye mng'ao na wa hali ya juu.. Yaani hadi TBC imeizidi ITV kwa ubora wa picha za mubashara kwa leo aisee aibu sana ITv.
Sent from iphone 7 plus
FafanuaKwanini?
Yaani umbali mkubwa unajengwa Tz..? Tutafaidi mengi hasa wakati wa ujenzi..
Magu kwa kupitia document hakuna wa kumfananisha naye. Hapo hyo docc keshaimeza yote neno kwa neno!Nimemwona M7 anapitia document seriously wa kwetu hana kitu labda alishasoma na kumpasia M7?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni matokeo ya akili ndogohivi viongozi huwa hawapitii hivi vikundi kabla ili kujiridhisha na maudhui yanayowasilishwa? sasa hawa wazee wanaipiga kijembe Kenya live!
Tayari rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amefika eneo la tukio.
=>Yupo pia makamu wa rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan. Waziri mkuu wa Tanzania Majaliwa Kasim Majaliwa
=>Wapo pia viongozi waandamizi wa serikali akiwemo naibu spika wa bunge Dr Tulia Ackson, naibu waziri wa Nishati na madini Dr Medard Kalamani.
=>Sasa Rais Magufuli anampokea rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni na tayari wote wawili wanaingia ukumbini
Hizo ni kampeni za Mtukufu wala usiumize kichwaIla Tanazani tutaacha lini uchama?
1. Kuna kikundi kimeimba; kina mama wamevaa madela ya Ccm..! Kuna haja gani ya kuvaa nguo za ccm kwenye event kam hii..?
upinzani wapo kenya waningilia siasa za ndani ya nchi nyingine wazi wazi bila hata lepe la aibu....its total violation of international norms and standards..
Actually..! Magufuli is sometimes missing his point..!Mradi wa bil $ 3 nchi nzima imehamia tanga, siku acacia wakitulipa zile $ bil 190 zetu nadhani itabidi nchi nzima tufanye sherehe
Wao wapingaji wa Kila kitu waalikwe kwa ajili ya nini
Msikilize pia huyo mama wa kiganda anaeongea ...Fafanua