sekindunda
JF-Expert Member
- Jul 23, 2017
- 335
- 232
Hata mm napata mashaka kdogo. Nadhani watu wa usalama hawakufanya jukumu lao vzr, kle kipengere cha kuizodoa Kenya kingeondolewa kabla wimbo haujachezwa mubashara.Huu mdumange unaharibu diplomasia.
Kweli kabisa mpaka nimeamua kuweka TbcTelevision kongwe na kubwa kuliko zote nchini ITV imetia aibu leo katika kurusha matangazo yake mubashara kutoka Tanga ukilinganisha na television zingine katika upande wa ubora wa picha.. Picha zirushwazo na ITV ni chafu na zimefifia mno zinatia aibu.. Hongera sana kwa Clouds Tv kwa kurusha picha zenye ubora wa HD na zenye mng'ao na wa hali ya juu.. Yaani hadi TBC imeizidi ITV kwa ubora wa picha za mubashara kwa leo aisee aibu sana ITv.
Sent from iphone 7 plus
Wapuuzi wanaboahivi viongozi huwa hawapitii hivi vikundi kabla ili kujiridhisha na maudhui yanayowasilishwa? sasa hawa wazee wanaipiga kijembe Kenya live!
Ni upuuzi tuu wala sijawaelewa..Huo wimbo uliomalizika hivi punde wa hao waliovaa kanzu ni wa kuichokoza Kenya kwa kuikejeli kuwa ilisema mradi hautafanikiwa. Hakukuwa na haja ya kuisuta Kenya hii ni kutaka kuleta choko choko zusizokuwa na msingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mi nimeshangaa sana hao itaharibu sana uhusiano wetu na kenyaHao wana kikundi cha burudani wajinga sana, sasa Kenya inausika vipi na uzinduzi wenu mpaka waitaje kwenye nyimbo yao
Mkuu alitaja Kenya uzinduzi daraja la Kigamboni. What do you expect? Rank and file follow the leader.Hao wana kikundi cha burudani wajinga sana, sasa Kenya inausika vipi na uzinduzi wenu mpaka waitaje kwenye nyimbo yao
Swali zuri sanawakazi wa eneo husika walilipwa stahiki zao kabla ya kuhamishwa?
Wanawasuta wakenyaUmeusikia mkuu, duudh hawa wana Tanga hawakopeshi mtu aisee..
Hata sionagi umuhimu wa hivi vikundi.. Ni ujinga ujinga tu!Huo wimbo uliomalizika hivi punde wa hao waliovaa kanzu ni wa kuichokoza Kenya kwa kuikejeli kuwa ilisema mradi hautafanikiwa. Hakukuwa na haja ya kuisuta Kenya hii ni kutaka kuleta choko choko zusizokuwa na msingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tujifunze kutafuta na positive angle kdogo! Mradi huu ungekwenda Kenya kama ilivyokuwa imepangwa awali mngekuja hapa na mzigo wa matusi kwa Serikali.Watanzania kama mlishindwa kufaidika na bomba lenu la gesi kutoka mtwara hili la mafuta kutoka uganda msitegemee kitu
Hilo nalo nenoWatanzania kama mlishindwa kufaidika na bomba lenu la gesi kutoka mtwara hili la mafuta kutoka uganda msitegemee kitu
Television kongwe na kubwa kuliko zote nchini ITV imetia aibu leo katika kurusha matangazo yake mubashara kutoka Tanga ukilinganisha na television zingine katika upande wa ubora wa picha.. Picha zirushwazo na ITV ni chafu na zimefifia mno zinatia aibu.. Hongera sana kwa Clouds Tv kwa kurusha picha zenye ubora wa HD na zenye mng'ao na wa hali ya juu.. Yaani hadi TBC imeizidi ITV kwa ubora wa picha za mubashara kwa leo aisee aibu sana ITv.
Sent from iphone 7 plus