Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,187
Wewe bado kwenye siasa maana alivyoongea amebalance sana na ingekuwa kwingine kiongozi angeongeza mengi zaidi ya hayo Rais aliyosema.Sidhani kama Rais yuko sahihi kuzungumzia Mambo ya uchama kwenye uzinduzi ambao una watu wa Uganda..
Mambo ya ndani yangebaki kuwa mambo ya ndani tuu..