Chongoleani, Tanga: Rais Magufuli na Museveni waweka la jiwe la Msingi mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima - Tanga

Chongoleani, Tanga: Rais Magufuli na Museveni waweka la jiwe la Msingi mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima - Tanga

Sidhani kama Rais yuko sahihi kuzungumzia Mambo ya uchama kwenye uzinduzi ambao una watu wa Uganda..

Mambo ya ndani yangebaki kuwa mambo ya ndani tuu..
 
bba9d2f0044e9e84ea17008a9e0e0fa4.jpg


Hivi anapotudanganya kuwa bomba hilo ndio refu duniani anakuwa anadhani anaongea na ccm wenzake tu wanaoitikia ndioo kila kitu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amka mkuu..

The world is so fast..!

Pale Tanga kuna Bandari, hiyo shehena ya Mafuta itakuwa inahifadhiwa Tanga na ndio sehemu ambapo meli zitakuwa zinakuja kupakia mzigo wa mafuta..

Sasa kwa Taarifa:

Kuna ajira zaidi ya 15, 000 za muda wa miaka 3 hadi 2020 ambapo hili bomba litakamilika mkuu.

Na kuna kazi za kudumu zaidi 2500 baada ya ujuenzi kukamilika .

Bomba litatoka Hoima - Magharibi mwa Uganda hadi Tanga

Kuna umbali wa maili 880( zaidi ya km 1400)

Sasa mkuu wewe kama huoni faida bado...wacha watu waendelee.

Maneno kama haya yalisemwa wakati wa bomba la gesi.
 
Tuna ulinzi wa kutosha hata mgambo wanaweza kulinda.usinishangae nikaja kukuomba angalau contribution kwa ajili ya ulinzi ili kutoa motisha-JPM
 
Manji anatafunwa na laana ya dhulma na wizi wake, hata kama asingekamatwa enzi hizi za Magu angekamatwa tu huko mbele ya safari. Maisha ya janja janja hayana mwisho mwema. Ila asiwaze sana maana pesa zake za dhulma katunza USWISI.
Afrika hii nani?, si mwizi........hata mkulima wa jembe la mkono ni mwizi,,,,,,,ukitaka kujua kuwa ni mwizi,,,siku akiwa na kibarua wakumusaidia sambani , badala ya kutoka SAA 6 ya siku zote,,,,,,,kipindi hiki akiwa na kibarua mpaka saa12,,,,ndipo atamutoka shamba .....
 
Amka mkuu..

The world is so fast..!

Pale Tanga kuna Bandari, hiyo shehena ya Mafuta itakuwa inahifadhiwa Tanga na ndio sehemu ambapo meli zitakuwa zinakuja kupakia mzigo wa mafuta..

Sasa kwa Taarifa:

Kuna ajira zaidi ya 15, 000 za muda wa miaka 3 hadi 2020 ambapo hili bomba litakamilika mkuu.

Na kuna kazi za kudumu zaidi 2500 baada ya ujuenzi kukamilika .

Bomba litatoka Hoima - Magharibi mwa Uganda hadi Tanga

Kuna umbali wa maili 880( zaidi ya km 1400)

Sasa mkuu wewe kama huoni faida bado...wacha watu waendelee.
Waendelee tu mkuu
 
Magufuli ni kiboko kapatanisha watu live live, hatimaye makonda ameuza sura

Kupima mkojo na uchochezi wapi na wapi??
 
Hili la kuwapatanisha makonda na Ruge ni la aina yake.

Kuna mambo mengi ya maingi kwenye nchi hii kuliko mgogoro wa makonda na ruge.
 
Back
Top Bottom