Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kashaanza mipasho
anaongea kama babu anawasimulia wajukuu zake hadith za zamani.Ni wewe tu na mwingine humu mnayenu kuelewa mtu anapochanganya lugha eeeh.. wengine tumemfurahia sana sana.. hapa kazi tu
magufuli muongo sana![]()
Hivi anapotudanganya kuwa bomba hilo ndio refu duniani anakuwa anadhani anaongea na ccm wenzake tu wanaoitikia ndioo kila kitu?
Sent using Jamii Forums mobile app
mi siyo mpenzi wa mipashoEnjoy kumsikiliza Rais yako mpendwa.
Amka mkuu..
The world is so fast..!
Pale Tanga kuna Bandari, hiyo shehena ya Mafuta itakuwa inahifadhiwa Tanga na ndio sehemu ambapo meli zitakuwa zinakuja kupakia mzigo wa mafuta..
Sasa kwa Taarifa:
Kuna ajira zaidi ya 15, 000 za muda wa miaka 3 hadi 2020 ambapo hili bomba litakamilika mkuu.
Na kuna kazi za kudumu zaidi 2500 baada ya ujuenzi kukamilika .
Bomba litatoka Hoima - Magharibi mwa Uganda hadi Tanga
Kuna umbali wa maili 880( zaidi ya km 1400)
Sasa mkuu wewe kama huoni faida bado...wacha watu waendelee.
![]()
Hivi anapotudanganya kuwa bomba hilo ndio refu duniani anakuwa anadhani anaongea na ccm wenzake tu wanaoitikia ndioo kila kitu?
Sent using Jamii Forums mobile app
kasema bomba linalosafirisha mafuta ambayo yameyeyushwa kwa kiwango fulani cha joto ili yasikwamemagufuli muongo sana
Kwa hiyo hili bomba la Hoima hadi Tanga basis siyo kwamba ndilo refu kuliko yote duniani.880miles, aproxximated to 1400 km
Afrika hii nani?, si mwizi........hata mkulima wa jembe la mkono ni mwizi,,,,,,,ukitaka kujua kuwa ni mwizi,,,siku akiwa na kibarua wakumusaidia sambani , badala ya kutoka SAA 6 ya siku zote,,,,,,,kipindi hiki akiwa na kibarua mpaka saa12,,,,ndipo atamutoka shamba .....Manji anatafunwa na laana ya dhulma na wizi wake, hata kama asingekamatwa enzi hizi za Magu angekamatwa tu huko mbele ya safari. Maisha ya janja janja hayana mwisho mwema. Ila asiwaze sana maana pesa zake za dhulma katunza USWISI.
Waendelee tu mkuuAmka mkuu..
The world is so fast..!
Pale Tanga kuna Bandari, hiyo shehena ya Mafuta itakuwa inahifadhiwa Tanga na ndio sehemu ambapo meli zitakuwa zinakuja kupakia mzigo wa mafuta..
Sasa kwa Taarifa:
Kuna ajira zaidi ya 15, 000 za muda wa miaka 3 hadi 2020 ambapo hili bomba litakamilika mkuu.
Na kuna kazi za kudumu zaidi 2500 baada ya ujuenzi kukamilika .
Bomba litatoka Hoima - Magharibi mwa Uganda hadi Tanga
Kuna umbali wa maili 880( zaidi ya km 1400)
Sasa mkuu wewe kama huoni faida bado...wacha watu waendelee.
uzushi tu na kabebii kachomekwaHili la kuwapatanisha makonda na Ruge ni la aina yake.