Chongolo atuma message binafsi kushukuru kuungwa mkono kwa Bandari

Chongolo atuma message binafsi kushukuru kuungwa mkono kwa Bandari

Mr Sir1

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2018
Posts
1,749
Reaction score
7,945
Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.

Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??

Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.

Screenshot_20230723_215227_Messages.jpg
 
Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.

Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??

Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.

View attachment 2697312
Mbona maana ya ujumbe huo (kama ni wa kweli) upo wazi kabisa.

hao waliotumiwa ujumbe siyo kwamba wanapewa shukrani, bali hiyo ni njia ya kuwashinikiza wakubali hilo jambo hata kama hawakubaliani nalo.

Hii ndiyo njia inayotumika ndani ya chama na hata Bungeni kuwalainisha wasiokubaliana na msimamo.

Huku ni kutishwa wazi wazi wasiwe kinyume na matakwa ya viongozi wao.

Tena msisitizo ni kuwataja majina kabisa, watambue kwamba wao ndio walengwa wa shinikizo hilo.
 
Mbona maana ya ujumbe huo (kama ni wa kweli) upo wazi kabisa.

hao waliotumiwa ujumbe siyo kwamba wanapewa shukrani, bali hiyo ni njia ya kuwashinikiza wakubali hilo jambo hata kama hawakubaliani nalo.

Hii ndiyo njia inayotumika ndani ya chama na hata Bungeni kuwalainisha wasiokubaliana na msimamo.

Huku ni kutishwa wazi wazi wasiwe kinyume na matakwa ya viongozi wao.

Tena msisitizo ni kuwataja majina kabisa, watambue kwamba wao ndio walengwa wa shinikizo hilo.
Na hili linatia shaka hasa juu ya uhalali wa hili swala zima.

Kwanini iwe ni lazima kwa kila mtu kusifia?
 
Hili sakata la bandari litatufikisha pabaya! Haijawahi tokea ajenda ikanasa kwa public mda mrefu hivi.
Kilichotokea na matarajio yao ni vitu 2 tofauti.

Walitarajia lingeongeleka siku 2 halafu watu wasahau. Lakini imekuwa kinyume na hilo.
 
Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.

Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??

Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.

View attachment 2697312
Huu ni upuuzi,wanavyofanya hivi ndio kabisaa wanazidi kufanya hata wasio na interest na mambo hayo kuanza ku draw attention kwamba kulikoni.

Poor strategy,hii hii ya kufanya mikutano ilikuwa ni njia nzuri unajibu hoja za Wapinzani Sasa meseji tena? 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbona maana ya ujumbe huo (kama ni wa kweli) upo wazi kabisa.

hao waliotumiwa ujumbe siyo kwamba wanapewa shukrani, bali hiyo ni njia ya kuwashinikiza wakubali hilo jambo hata kama hawakubaliani nalo.

Hii ndiyo njia inayotumika ndani ya chama na hata Bungeni kuwalainisha wasiokubaliana na msimamo.

Huku ni kutishwa wazi wazi wasiwe kinyume na matakwa ya viongozi wao.

Tena msisitizo ni kuwataja majina kabisa, watambue kwamba wao ndio walengwa wa shinikizo hilo.
Good observation
 
Chongolo amejuaje kama hao waliotumiwa wamekubali swala la bandari? Walituma majibu kwao ndiyo wakawatumia?
 
Back
Top Bottom