Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si jukumu langu kuhakikisha umeelewa kilichoandikwa. Kikubwa umesoma na ukaelewa kwa kadri ya upeo wako.Mbona meseji zenyewe bosheni kama umejitumia😀
Ndo kawatumia kwenye group lenu la fisiemu akiwataja Kwa majina🤣
Kangi imbombo jilipo🤣
Hivi kwanini wanasuasua kama wanajiona wako halali kwanini wasiendelee na mipango yao kama walivyopanga.Hili sakata la bandari litatufikisha pabaya! Haijawahi tokea ajenda ikanasa kwa public mda mrefu hivi.
Mbona maana ya ujumbe huo (kama ni wa kweli) upo wazi kabisa.Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.
Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??
Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.
View attachment 2697312
Na hili linatia shaka hasa juu ya uhalali wa hili swala zima.Mbona maana ya ujumbe huo (kama ni wa kweli) upo wazi kabisa.
hao waliotumiwa ujumbe siyo kwamba wanapewa shukrani, bali hiyo ni njia ya kuwashinikiza wakubali hilo jambo hata kama hawakubaliani nalo.
Hii ndiyo njia inayotumika ndani ya chama na hata Bungeni kuwalainisha wasiokubaliana na msimamo.
Huku ni kutishwa wazi wazi wasiwe kinyume na matakwa ya viongozi wao.
Tena msisitizo ni kuwataja majina kabisa, watambue kwamba wao ndio walengwa wa shinikizo hilo.
Kilichotokea na matarajio yao ni vitu 2 tofauti.Hili sakata la bandari litatufikisha pabaya! Haijawahi tokea ajenda ikanasa kwa public mda mrefu hivi.
NyanokoMama anaupiga mwingi. 2025 lazima tuende na mama. Mitano tena kwa mama!
Hata msipompa kura lazima mama awe Rais-uwe umempigia au hujampigia kura. Kwanza kura zenu kaeni nazo hatuzitakiNyanoko
Kwa sababu tulishavuta kishika uchumba. Hakuna namna hawa madubwana lazima waje. Kama hamtaki waje hamieni Burundisasa kwanini mnatumia nguvu kubwa sana kuaminisha watu kuwa mpo sahihi? Mnatumia nguvu kubwa sana kumnadi mama yenu?
Huu ni upuuzi,wanavyofanya hivi ndio kabisaa wanazidi kufanya hata wasio na interest na mambo hayo kuanza ku draw attention kwamba kulikoni.Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.
Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??
Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.
View attachment 2697312
Sio chama chote ila walioleta huu Ushauri wa kijinga ndio wapuuziCCM chama Cha kipumbavu kimejaa mazezeta tupu.
Good observationMbona maana ya ujumbe huo (kama ni wa kweli) upo wazi kabisa.
hao waliotumiwa ujumbe siyo kwamba wanapewa shukrani, bali hiyo ni njia ya kuwashinikiza wakubali hilo jambo hata kama hawakubaliani nalo.
Hii ndiyo njia inayotumika ndani ya chama na hata Bungeni kuwalainisha wasiokubaliana na msimamo.
Huku ni kutishwa wazi wazi wasiwe kinyume na matakwa ya viongozi wao.
Tena msisitizo ni kuwataja majina kabisa, watambue kwamba wao ndio walengwa wa shinikizo hilo.