Chongolo atuma message binafsi kushukuru kuungwa mkono kwa Bandari

Chongolo atuma message binafsi kushukuru kuungwa mkono kwa Bandari

Huu ni upuuzi,wanavyofanya hivi ndio kabisaa wanazidi kufanya hata wasio na interest na mambo hayo kuanza ku draw attention kwamba kulikoni.

Poor strategy,hii hii ya kufanya mikutano ilikuwa ni njia nzuri unajibu hoja za Wapinzani Sasa meseji tena? 🤣🤣🤣🤣🤣
sasa wana la kujibu mpaka waitishe hiyo mikutano?
 
Kwa sababu tulishavuta kishika uchumba. Hakuna namna hawa madubwana lazima waje. Kama hamtaki waje hamieni Burundi
bora umekiri ukweli kuwa kuna mlichovuta kuliko kina Msukuma wanaobisha.
 
Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.

Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??

Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.

View attachment 2697312
Hii sasa ni kulazimisha kitu kilichokataliwa. Mbona hakutuma wakati wanaenda kwa waarabu?
 
Hii sasa ni kulazimisha kitu kilichokataliwa. Mbona hakutuma wakati wanaenda kwa waarabu?
walijua ingekuwa siri yao tu. Alievuja mkataba ndio kaharibu mambo.
 
Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.

Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??

Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.

View attachment 2697312
Kesi ya kupinga makubaliano aka mkataba wa bandari kama haitaingiliwa,itawafungua macho watanzania bila kujali itikadi au dini kwa sababu wapotoshaji wangefunguliwa mashitaka kwa upotoshaji badala yake wasio wapotoshaji ndiyo wamepelekwa mahakamani
 
Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.

Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??

Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.

View attachment 2697312
Mi kitoto changu kikiniletea maji nikanywa,ukashukuru na kukapongeza.Huu ndiyo utamaduni wa mtanzania.
 
Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.

Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??

Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.

View attachment 2697312
Safi sana. Tunaunga mkono kwa nguvu zote. Bandarini lazima DP WORLD waje upesi iboreshwe. Hakuna namna yaani.
 
Hizo pesa na muda wangetumia kusimamia wawekezaji waliokuwepo Bandarini na kuzuia wezi wala tusingehitaji muwekezaji mwingine sababu huyu ange-perform accordingly...
 
Back
Top Bottom