Mr Sir1
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,749
- 7,945
- Thread starter
- #21
sasa wana la kujibu mpaka waitishe hiyo mikutano?Huu ni upuuzi,wanavyofanya hivi ndio kabisaa wanazidi kufanya hata wasio na interest na mambo hayo kuanza ku draw attention kwamba kulikoni.
Poor strategy,hii hii ya kufanya mikutano ilikuwa ni njia nzuri unajibu hoja za Wapinzani Sasa meseji tena? 🤣🤣🤣🤣🤣