Baraka Mina JF-Expert Member Joined Sep 3, 2020 Posts 586 Reaction score 590 Dec 6, 2021 #1 #NUKUU YA WIKI: Kutoka kwa Ndg. Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi. "Kazi ya siasa sio uongo, majungu, fitina, umbea wala kusingiziana. Kazi ya siasa ni kuombeana mema, kupendana, kushikamana na kunenea mema wenzio." Ziara ya Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, Muleba - Kagera, 14 Novemba 2021. #NukuuYaWiki #SautiYaChongolo #KaziIendelee
#NUKUU YA WIKI: Kutoka kwa Ndg. Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi. "Kazi ya siasa sio uongo, majungu, fitina, umbea wala kusingiziana. Kazi ya siasa ni kuombeana mema, kupendana, kushikamana na kunenea mema wenzio." Ziara ya Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, Muleba - Kagera, 14 Novemba 2021. #NukuuYaWiki #SautiYaChongolo #KaziIendelee
PureView zeiss JF-Expert Member Joined Sep 5, 2016 Posts 10,786 Reaction score 35,916 Dec 6, 2021 #2 Haya Maneno Mr polepole yameshamfikia tunasibiri majibu yake tuone yatakuaje
Baraka Mina JF-Expert Member Joined Sep 3, 2020 Posts 586 Reaction score 590 Dec 6, 2021 Thread starter #3 pureView Zeiss said: Haya Maneno Mr polepole yameshamfikia tunasibiri majibu yake tuone yatakuaje Click to expand... Hahahahaahaha kwani ametajwa jamani?
pureView Zeiss said: Haya Maneno Mr polepole yameshamfikia tunasibiri majibu yake tuone yatakuaje Click to expand... Hahahahaahaha kwani ametajwa jamani?