Chongolo: Mbowe ana wajomba zake Nyeri na Zitto baadhi ya baba zake wanakaa Bukavu

Chongolo: Mbowe ana wajomba zake Nyeri na Zitto baadhi ya baba zake wanakaa Bukavu

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Namsikiliza hapa Katibu wangu redioni anasema suala la Mama Samia kuwa na wajomba sehemu nyingine ya dunia sio kubwa Kama linavyotaka kuaminishwa.

Ameenda mbali na kusema mababu zake Zitto wakati wanahamia Kigoma wakitokea Bukavu DRC baadhi ya ndugu zao walibaki huko na wanatembeleana mara kadhaa.

Kwa Upande wa Mbowe amedai pia ujombani kwake Wana asili ya Nyeri nchini Kenya na hata akiwa Kenya huwa hakai hotelini, huwa anakaa nyumba za familia lakini bado alipata nafasi ya kuombea urais.

Amedai wapinzani wafanye kazi waache kutweet vitu vidogo vidogo.
 
Namsikiliza hapa Katibu wangu redioni anasema suala la Mama Samia kuwa na wajomba sehemu nyingine ya dunia sio kubwa Kama linavyotaka kuaminishwa.
Ameenda mbali na kusema mababu zake Zitto wakati wanahamia Kigoma wakitokea Bukavu DRC baadhi ya ndugu zao walibaki huko, na wanatembeleana mara kadhaa.
Kwa Upande wa Mbowe amedai pia ujombani kwake Wana asili ya Nyeri nchini Kenya na hata akiwa Kenya huwa hakai hotelini, huwa anakaa nyumba za familia lakini bado alipata nafasi ya kuombea urais.
Amedai wapinzani wafanye kazi waache kutweet vitu vidogo vidogo.
Hata mwendazake ndg zake wengine eti wako chigali.....
 
Mnaosakama Magufuli kuwa ana ndugu zake Burundi na jamaa zake hivyo mrundi mumesikia? Benard Membe umesikia? Huna nduguzo Msumbiji? Kwa hiyo na wewe tukuite mmakua wa Msumbiji. Huo uzalendo wa Tanzania umetoa wapi wakati wewe asili yako Msumbiji?
 
Benard Membe mmakua asili yake ikatokea Msumbiji yeye na Nape Nnauye lakini ndio vinara wa kujitia nchi hii ndio wao sana wazalendo!! Wazawa wako kimya!! Wao miyowe kibao Sisi ndio wenye nchi wenye chama nk Wakati asili yao nje ya nchi Hata Kinana asili yake Somalia

Kutukana Magufuli kuwa hana asili ya Tanzania kukome

Nchi hii tukiamua kuchambuana hapatatosha.Nyie wamakua wa Msumbiji akina Membe na Nape Nauye na wakongo akina Zitto Kabwe ,Nondo nk mkome kujitia wazawa sana na wazalendo sana nyie wahamiaji tu asili yenu sio Tanzania
 
Back
Top Bottom