Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajua watanzania ni wajingaKama ni vidogo vidogo mbona anajaribu naye kuvitolea ufafanuzi? Si angeachana navyo tuu
Kwa taarifa yako hakuna watanzania bali kuna WatanganyikaMnaosakama Magufuli kuwa ana ndugu zake Burundi na jumuiya mrundi mumesikia? Benard Membe umesikia? Huna nduguzo Msumbiji? Unajitia mtanzania mzalendo wakati na wewe kwenu asili yenu Msumbiji
UKifatilia utakuta makabila yote yamekuja kutoka mataifa tofautiNgoja niingie kwenye siasa ili nijue mimi ni raia wa nchi gani.
Ww unadhani chadema ndio wana haki ya kubwatuka kila kitu? Tulizeni mishono banaKama ni vidogo vidogo mbona anajaribu naye kuvitolea ufafanuzi? Si angeachana navyo tuu
Bibi yako aliwasimulia hivyo mlipokuwa mmeunzunguka moto usiku kabla ya kulala?Lissu naye ana asili ya Gambia
Halafu anajitia ndie mzalendoooo na kuanzisha chama kinaitwa ACT wazalendo wakati asili yao kwao kongoKatibu Mkuu wa CCM ndugu Chongolo amedai baadhi ya baba wa Zito ni wa Congo na hadi wa leo wanaishi huko Kivu ya kusini katika mji wa Bukavu.
Ziara ya Muscat Oman.Panic hii imetokana na nini ?
Ooooooo Man!Panic hii imetokana na nini ?
Ukute mpitishaji naye alikuwa sio!Benard Membe alisema vetting haikufanyika vizuri kuwa mtu wa asili ya nje Magufuli akapewa uraisi yeye mbona asili yake Msumbiji mbona alipitishwa kugombea uraisi na alipewa vyeo kibao usalama wa taifa?
Chongolo naye vipi? Yupo vizuri?Namsikiliza hapa Katibu wangu redioni anasema suala la Mama Samia kuwa na wajomba sehemu nyingine ya dunia sio kubwa Kama linavyotaka kuaminishwa.
Ameenda mbali na kusema mababu zake Zitto wakati wanahamia Kigoma wakitokea Bukavu DRC baadhi ya ndugu zao walibaki huko, na wanatembeleana mara kadhaa.
Kwa Upande wa Mbowe amedai pia ujombani kwake Wana asili ya Nyeri nchini Kenya na hata akiwa Kenya huwa hakai hotelini, huwa anakaa nyumba za familia lakini bado alipata nafasi ya kuombea urais.
Amedai wapinzani wafanye kazi waache kutweet vitu vidogo vidogo.