#COVID19 Chongolo: Viongozi wa CCM wanaopinga Chanjo mchakato wa kuwashughulikia umeanza, hakuna aliye mkubwa kuliko chama

#COVID19 Chongolo: Viongozi wa CCM wanaopinga Chanjo mchakato wa kuwashughulikia umeanza, hakuna aliye mkubwa kuliko chama

Acheni mawazo mfu, nguvu za Rais wa nchi yetu siyo za binafsi ni za kitaasisi na taasisi ya urais hajabadilika kwahiyo ebu tuache kujidhalilisha wenyewe. Rais hawezi kuwa na nguvu kama hana support ya watu wake na hii inamaana kuwa wewe mmoja unapoacha kum support Rais aliyepo madarakani, unakuwa msaliti kwa nchi yako kabla ya yule aliyesimama katika nafasi ya urais.

Tumuunge mkono Rais wetu pale ambapo tumeshaamua kama nchi, ndiyo maana ya ile kura uliyopiga ili kumpa ridhaa Rais kusimama kwaniaba ya nchi katika maamuzi na utendaji wa serikali ndani na nje ya nchi. Hii itaongeza morale na confidence yake katika kuisimamia nchi. Kinyume chake ni kuyumbisha umoja wa kitaifa na hatimaye sote tukiyumba hakuna anayebaki salama

Mtu yeyote muungwana ana nidhamu na ni mtii kwa mamlaka inayo mwongoza. Ukikosa utii basi tambua thamani yako haipo siyo kwako, familia au taifa unaloishi.

Nilichoandika na ulichoandika vina uhusiano gani? Are you barking up the wrong tree?
 
Yaani CCM Safari hii chanjo itaigawa ila CCM wengi hawataki Chanjo Chongolo na mama Samia wajiandae kufungashwa virago

Hawana Grass root informers nani anataka Chanjo kwenye Grassroot? Huyu Chongolo na Mama Samia vipi? Hawana informers?

Wanaishi hewani mawinguni? Wanaona Magufuli kuwa alikuwa mjinga? Magufuli Grassroot alitegemea Sana Grassroot informers wa chama na serikali

Mama Samia na Chongolo wanategemea akina Mulamula ambao leo wako London kesho New York hawajui Nini Kiko Grassroot
Hawajui Kuna Makanisa na miskiti ipo kwenye maombi mazito kupinga swala la chanjo.

Hawajiulizi kwanini matukio ya wanafunzi kukimbia Mashuleni wakiogopa chanjo yameongezeka.
Je ninani aliyewaelimisha hawa watoto kuwa chanjo ni mbaya?
 
Wameanza kupambana wenyewe kwa wenyewe, chanjo ni hiari kwa hiyo inabidi wakubaliane na wente mtazamo tofauti tusilazimishane. Hawa majamaa bure kab
Au watangaze CCM wote lazima wachanjwe,tujue moja.
 
Hahahahahaha hivi kumfukuza mtu maccm hadi kufanywe mchakato? Mbona yule dhalimu mwendazake alikuwa hafanyi mchakato?
Dhalimu alikutandika akiwa hai na bado anakutandika akiwa mfu
 
May be you do not remember what you wrote...Kasome tena uone between me and you who is barking...

Kwahiyo, unataka watu waseme Samia is as brave as or braver than JPM ndipo ujue wanamuunga mkono? You cannot institutionalize bravery. It’s a personal trait!
 
Kwahiyo, unataka watu waseme Samia is as brave as or braver than JPM ndipo ujue wanamuunga mkono? You cannot institutionalize bravery. It’s a personal trait!
Kwahiyo JPM was brave without taasisi ya urais?

Bravery is a subjective term...Huwezi kuwa brave kama huna uhakika na wanaokupa hiyo brave traits...Usiwe mmoja wa kum weaken Rais wetu, atleast timiza wajibu wako wa kiraia kumpa confidence...
 
Kwahiyo JPM was brave without taasisi ya urais?

Bravery is a subjective term...Huwezi kuwa brave kama huna uhakika na wanaokupa hiyo brave traits...Usiwe mmoja wa kum weaken Rais wetu, atleast timiza wajibu wako wa kiraia kumpa confidence...

Supporting a coward leader doesn’t make him or her brave. A brave leader doesn’t derive his or her bravery from his or her supporters. (S)he instead instills bravery and confidence in his or her supporters.

That’s why adui yuko radhi kutumia kila mbinu kuwawinda viongozi wa upande anaopambana nao. Anajua viongozi ndiyo source ya fighting spirit ya supporters wao.
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongolo amesema mchakato wa kuwashughulikia kinidhamu viongozi wa CCM wanaopinga chanjo kinyume na maelekezo ya chama umeshaanza na karibu utakamilika.

Mtasikia hivi karibuni hatua tulizowachukulia amesema Chongolo.

Chanzo: Channel ten
Dah..hili neno kumshughulikia halina maadili mazuri.
Kwani mngesema wataadhibiwa si ingeeleweka?

Kumshughulikia mwanaume ni kumtusi.
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongolo amesema mchakato wa kuwashughulikia kinidhamu viongozi wa CCM wanaopinga chanjo kinyume na maelekezo ya chama umeshaanza na karibu utakamilika.

Mtasikia hivi karibuni hatua tulizowachukulia amesema Chongolo.

Chanzo: Channel ten
Safi sana. Wachukuliwe hatua za kinidhamu haraka.
 
Back
Top Bottom