Chongolo: Wazazi wafundisheni watoto tabia njema

Chongolo: Wazazi wafundisheni watoto tabia njema

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ndugu Daniel Chongolo amewakumbusha wazazi kuwalea watoto wao kwa misingi ya uadilifu na tabia njema.

Hayo ameyasema mbele ya hadhara aliposimama barabara huko Wilayani Kondoa anapoendelea na ziara yake Mkoani Dodoma.

Kidumu Chama cha Mapinduzi!

 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ndugu Daniel Chongolo amewakumbusha wazazi kuwalea watoto wao kwa misingi ya uadilifu na tabia njema.

Hayo ameyasema mbele ya hadhara aliposimama barabara huko Wilayani Kondoa anapoendelea na ziara yake Mkoani Dodoma.
View attachment 2665380
Ni vigumu kwani CCM ndiyo inawafundisha tabia mbaya za udokozi.
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ndugu Daniel Chongolo amewakumbusha wazazi kuwalea watoto wao kwa misingi ya uadilifu na tabia njema.

Hayo ameyasema mbele ya hadhara aliposimama barabara huko Wilayani Kondoa anapoendelea na ziara yake Mkoani Dodoma.

Kidumu Chama cha Mapinduzi!

Watoto wa CCM wana tabia njema kweli?mm nadhani tuanze na watoto wa CCM ambao hawana adabu kwa mama yao Tanzania.
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ndugu Daniel Chongolo amewakumbusha wazazi kuwalea watoto wao kwa misingi ya uadilifu na tabia njema.

Hayo ameyasema mbele ya hadhara aliposimama barabara huko Wilayani Kondoa anapoendelea na ziara yake Mkoani Dodoma.

Kidumu Chama cha Mapinduzi!

Watoto wanajifunza nn hasa wakisikia viongoz wao wamefanya ufisadi wa kutisha tena kila report ya CAG ikitoka? Tuanzie hapo kwanza....
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ndugu Daniel Chongolo amewakumbusha wazazi kuwalea watoto wao kwa misingi ya uadilifu na tabia njema.

Hayo ameyasema mbele ya hadhara aliposimama barabara huko Wilayani Kondoa anapoendelea na ziara yake Mkoani Dodoma.

Kidumu Chama cha Mapinduzi!

Hata kama wazazi wakiwafundisha tabia njema, wakiwa wakubwa kidogo wanaingizwa chipukizi, kisha UVCCM.

Huko ndiyo wanaenda kuharibiwa akili zao na kufundishwa mambo ya wizi, unafiki, uwongo, dhuluma na rushwa. Kazi yote nzuri iliyofanywa na wazazi, inakuwa imepotea bure.

CCM, kupitia kitengo chake cha UVCCM, ndiyo taasisi ya kuharibu maadili ya vijana.
 
Back
Top Bottom