Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Ni vigumu kwani CCM ndiyo inawafundisha tabia mbaya za udokozi.Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ndugu Daniel Chongolo amewakumbusha wazazi kuwalea watoto wao kwa misingi ya uadilifu na tabia njema.
Hayo ameyasema mbele ya hadhara aliposimama barabara huko Wilayani Kondoa anapoendelea na ziara yake Mkoani Dodoma.
View attachment 2665380
Siyo kweli, nakanusha!Ni vigumu kwani CCM ndiyo inawafundisha tabia mbaya za udokozi.
Watoto wa CCM wana tabia njema kweli?mm nadhani tuanze na watoto wa CCM ambao hawana adabu kwa mama yao Tanzania.Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ndugu Daniel Chongolo amewakumbusha wazazi kuwalea watoto wao kwa misingi ya uadilifu na tabia njema.
Hayo ameyasema mbele ya hadhara aliposimama barabara huko Wilayani Kondoa anapoendelea na ziara yake Mkoani Dodoma.
Kidumu Chama cha Mapinduzi!
Watoto wanajifunza nn hasa wakisikia viongoz wao wamefanya ufisadi wa kutisha tena kila report ya CAG ikitoka? Tuanzie hapo kwanza....Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ndugu Daniel Chongolo amewakumbusha wazazi kuwalea watoto wao kwa misingi ya uadilifu na tabia njema.
Hayo ameyasema mbele ya hadhara aliposimama barabara huko Wilayani Kondoa anapoendelea na ziara yake Mkoani Dodoma.
Kidumu Chama cha Mapinduzi!
Hata kama wazazi wakiwafundisha tabia njema, wakiwa wakubwa kidogo wanaingizwa chipukizi, kisha UVCCM.Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ndugu Daniel Chongolo amewakumbusha wazazi kuwalea watoto wao kwa misingi ya uadilifu na tabia njema.
Hayo ameyasema mbele ya hadhara aliposimama barabara huko Wilayani Kondoa anapoendelea na ziara yake Mkoani Dodoma.
Kidumu Chama cha Mapinduzi!