Chopa Mchopanga awa mkuu wa Wilaya Rorya

Chopa Mchopanga awa mkuu wa Wilaya Rorya

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Mwigizaji Chopa mchopanga kwa jila halisi Jumaa Issa Chikoka amekula shavu

20210619_220428.jpg
 
Tulia pele ulipo huwezi jua kesho.
Kigezo anacho mtegaji
 
Aisee ni sirikali ya aina yake ...

Labda ataendeleza uigizaji huko kwenye UDC

Na hatimaye filamu zetu zitakwenda Holly Wood.
 
Umeongea ukweli mtupu. TISS, Polisi, PCCB zina wasomi wazuri na wazalendo. Leo hii unaenda kuchukua kina Jerry Muro? Nick wa Pili n.k
CCM ni zaidi ya kansa.
Na bado. Huyu mama atachokwa mapema mno. Tanzania bila kufumua system hakuna kitakachobadilika. Ubaya ni kuwa watu wakisema katiba mpya basi kila mtu anadhani lengo ni tume huru na wapinzani wawe na chance nzuri ya kuingia ikulu jambo ambalo siyo kweli.
 
Mwigizaji Chopa mchopanga kwa jila halisi Jumaa Issa Chikoka amekula shavuView attachment 1823987
Majaribio ya Mapanga yatafanyikia Usoni ( hasa katika Pua yake hii Kubwa kama Kitumbua cha Buguruni Malapa ) na Mwilini mwake.

Nampa pole kwani kapelekwa sehemu ngumu Kwake ambayo nilidhani huko angepelekwa 'Mjeda' tu. Kama nawaona vile Wakurya.
 
Back
Top Bottom