Uchaguzi 2020 Choppa ya CCM yatua Urambo tayari kwa kampeni nchi nzima, sasa ni mashambulizi kotekote!

Uchaguzi 2020 Choppa ya CCM yatua Urambo tayari kwa kampeni nchi nzima, sasa ni mashambulizi kotekote!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa mujibu wa Ayo tv ile Choppa ya CCM tayari imetua Urambo mkoani Tabora kwa ajili ya kutumika katika kampeni.

Sasa ni mashambulizi kutoka kila kona ardhini, angani na majini, Tundu Lissu lazima akae.

Maendeleo hayana vyama!


CCM Chopa.PNG
 
Kwa mujibu wa Ayo tv ile Choppa ya CCM tayari imetua Urambi mkoani Tabora kwa ajili ya kutumika katika kampeni.

Sasa ni mashambulizi kutoka kila kona ardhini, angani na majini, Tundu Lisu lazima akae.

Maendeleo hayana vyama!
matumizi ya chopa kwenye kampeni ni ubunifu wa mwamba Freeman Aikaeli Mbowe.
imagine innovation itakavyotamalaki nchini pale chama chake kitakapokabidhiwa ikulu October!
 
Wananchi wanataka maji safi na ustawi bora wa maisha yao ya kila siku.
Sasa hiyo chopa itawasaidia nini wakati wanakunywa tope badala ya maji?
 
Kwa mujibu wa Ayo tv ile Choppa ya CCM tayari imetua Urambi mkoani Tabora kwa ajili ya kutumika katika kampeni.

Sasa ni mashambulizi kutoka kila kona ardhini, angani na majini, Tundu Lissu lazima akae.

Maendeleo hayana vyama!
Alafu mnafikiri wananchi hawaoni uonevu wenu??? Juzi mmekataza Chadema kutumia chopa leo nyie mnatumia!!!!

Kwa udhalimu wenu huu lazima watanzania wote wawanyime kura mwaka huu!!
 
matumizi ya chopa kwenye kampeni ni ubunifu wa mwamba Freeman Aikaeli Mbowe.
imagine innovation itakavyotamalaki nchini pale chama chake kitakapokabidhiwa ikulu October!
October ya mwaka gani?
 
Hiyo helkopta mliyoipamba kwa kodi za wananchi inawasaidia wananchi wa Urambo?
 
Back
Top Bottom