issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Musije mukawarushia watu ma Bomu tuu maana nyinyi kwa kuuwa kwenu ni jambo la kawaida
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukibishana na chizi wewe mzma ndiyo utaonekana chizi zaidi maana mwenzio chizi anajulikana sasa chizi lissu akabishane na muheshimiwa jpm si utanihuo?kuwezi serious kidogoNi kwanini hamtaki mdahalo?
Nawasihi CCM warejee upya maamuzi ya Kutumia Chopa. Naona kama watapishana na Kura. Hizi Kampen za ardhini zinawafikia watu wengi zaidi kuliko Kampeni za Kutumia Chopa.Kwa mujibu wa Ayo tv ile Choppa ya CCM tayari imetua Urambi mkoani Tabora kwa ajili ya kutumika katika kampeni.
Sasa ni mashambulizi kutoka kila kona ardhini, angani na majini, Tundu Lissu lazima akae.
Maendeleo hayana vyama!
Haa haa haa. Kumbe we jamaa sio mzima. Inamana huelewi umuhimu wa mdahalo Hadi muda huu??Mdahalo unaleta maendeleo ?
Mdahalo kwa masuala yapi! Hayo ya kudharilishana?Ni kwanini hamtaki mdahalo?
ndio kama hivyo mambo ni mengi mda mchache kuzinduazindua majengo na miradi napo panabana mda achana na mdahalo,,Ni kwanini hamtaki mdahalo?
Hakuna maajabu hapo.Kwa mujibu wa Ayo tv ile Choppa ya CCM tayari imetua Urambi mkoani Tabora kwa ajili ya kutumika katika kampeni.
Sasa ni mashambulizi kutoka kila kona ardhini, angani na majini, Tundu Lissu lazima akae.
Maendeleo hayana vyama!
Msimdanganye.Jembe Hiloo
magufuli Hana Mpinzani
Mkuu si mlete tu rubani wa chopa ambaye hajazidi miaka 65 maana mnanza kutuchosha kweli. Au na wao naye ni kibabu?Alafu mnafikiri wananchi hawaoni uonevu wenu??? Juzi mmekataza Chadema kutumia chopa leo nyie mnatumia!!!!
Kwa udhalimu wenu huu lazima watanzania wote wawanyime kura mwaka huu!!
Mataga huwa hamna msimamo, hapo Jiwe akosema yuko tayari kwa mdahalo(Japo ni ndoto kwani uwezo wake anaujua) wote mtageuka kama nzi wa kijanimdahalo wa kazi gani ? kwan ww huwez kutofautisha mavi na mkojo? we tulia uliwe wakishiba watatuachia tu
Uchaguzi utasogezwa mbele na siyo 28/10/2020Kwa mujibu wa Ayo tv ile Choppa ya CCM tayari imetua Urambi mkoani Tabora kwa ajili ya kutumika katika kampeni.
Sasa ni mashambulizi kutoka kila kona ardhini, angani na majini, Tundu Lissu lazima akae.
Maendeleo hayana vyama!
Hapo chachaNi kwanini hamtaki mdahalo?
Hata wakimleta CCM na serikali ya magufuli watatafuta sababuMkuu si mlete tu rubani wa chopa ambaye hajazidi miaka 65 maana mnanza kutuchosha kweli. Au na wao naye ni kibabu?
Alisikika Kilaza mmoja AkisemaUchaguzi utasogezwa mbele na siyo 28/10/2020
Israili kazi kwakoKwa mujibu wa Ayo tv ile Choppa ya CCM tayari imetua Urambi mkoani Tabora kwa ajili ya kutumika katika kampeni.
Sasa ni mashambulizi kutoka kila kona ardhini, angani na majini, Tundu Lissu lazima akae.
Maendeleo hayana vyama!
Wamlete kwanza. Sheria ni msumeno. Kumbuka chopa za kampeni zinaruka kwenye umati wa watu. Hivi kibabu kikisizi kwenye mashine na kudondokea watu nani atawajibika kwa yote!Hata wakimleta CCM na serikali ya magufuli watatafuta sababu
Hahahahaaaaaaaa ! 😁😁😁😁 ! Yaani wewe mkuu Loxodona sijui una shida gani jamani! Yaani nielewe uwezo wa mgombea wangu mara ngapi? Huyo wenu sitaki hata kumsikia akafanye mdahalo na mzee wa ubwabwa ! Wakwetu na tangible record ya utekelezaji wa ilani ta CCMHaa haa haa. Kumbe we jamaa sio mzima. Inamana huelewi umuhimu wa mdahalo Hadi muda huu??
Kimsingi kupitia mdahalo ndio tutajua uwezo wa wagombea wetu katika kuleta hayo maendeleo. Mpigakura hatakiwi kuviziwa, anapaswa ampigie mtu Kura akiwa na uelewa wa kutosha juu ya uwezo wa mtu huyo anayegombea.