johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wanamshambulia nani ?Kwa mujibu wa Ayo tv ile Choppa ya CCM tayari imetua Urambi mkoani Tabora kwa ajili ya kutumika katika kampeni.
Sasa ni mashambulizi kutoka kila kona ardhini, angani na majini, Tundu Lissu lazima akae.
Maendeleo hayana vyama!
matumizi ya chopa kwenye kampeni ni ubunifu wa mwamba Freeman Aikaeli Mbowe.Kwa mujibu wa Ayo tv ile Choppa ya CCM tayari imetua Urambi mkoani Tabora kwa ajili ya kutumika katika kampeni.
Sasa ni mashambulizi kutoka kila kona ardhini, angani na majini, Tundu Lisu lazima akae.
Maendeleo hayana vyama!
Alafu mnafikiri wananchi hawaoni uonevu wenu??? Juzi mmekataza Chadema kutumia chopa leo nyie mnatumia!!!!Kwa mujibu wa Ayo tv ile Choppa ya CCM tayari imetua Urambi mkoani Tabora kwa ajili ya kutumika katika kampeni.
Sasa ni mashambulizi kutoka kila kona ardhini, angani na majini, Tundu Lissu lazima akae.
Maendeleo hayana vyama!
October ya mwaka gani?matumizi ya chopa kwenye kampeni ni ubunifu wa mwamba Freeman Aikaeli Mbowe.
imagine innovation itakavyotamalaki nchini pale chama chake kitakapokabidhiwa ikulu October!
Acha uchuro bwashee!Mara paaap imeanguka angani .huku sherehe huku vilio na kusaga meno
Acha lianguke tu bwasheeAcha uchuro bwashee!
Lisu akafanye mdahalo na Wakili mwenzake Hashimu Rungwe!Ni kwanini hamtaki mdahalo?
Tunawashukuru kwa kutupa nafasi ya kuwaona wasanii karibu wote wa Tanzania kwenye kampeni zenu lakini kura zetu ni Tundu LissuLisu akafanye mdahalo na Wakili mwenzake Hashimu Rungwe!
Lisu akafanye mdahalo na Wakili mwenzake Hashimu Rungwe!
[/QUO
naunga mkono hoja
Lengo kuu la mdahalo Ni Nini?Ni kwanini hamtaki mdahalo?