Uchaguzi 2020 Choppa ya CCM yatua Urambo tayari kwa kampeni nchi nzima, sasa ni mashambulizi kotekote!

Yani wewe ni Oves kabisa.
 
Gari zinachosha lakini afadhali Sasa atatumia choppa

Ova
 
Eeeeeh mkuu sana mwenye jina kama ile nchi inayopakana na palestina, naona sasa wamekurahisishia kazi yako.....Nakuomba ufanye yako sasa ili tukushukuru.
 
Bwashee, ni nani ataitumia hiyo chopa? Kwanini lakini mnataka uchaguzi usogezwe mbele?
 
Mimi naomba kujua tu hiyo helicopter anayeipanda ninani?? Maana Kuna wengine. Inasemekena etiii Wana peas maker. Sasa wataweza Kweli??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…