Chris Brown jukwaa moja na Alikiba Mombasa Kenya

Chris Brown jukwaa moja na Alikiba Mombasa Kenya

Siku zinavyozidi kwenda nahisi kama Kiba kampora dai mganga wake vile.....Au kagundua chimbo la babu mkali zaidi kuliko wa mondi nini?
 
Kwa kenya wengi wanamkubali ally kiba maana wanapenda sana nyimbo za zaman hasa cinderellla
 
aiseeh!Mombasa mbali nnavyomfia dogo ingekua DSM ningevunja kibubu
 
Labda Chris Brown wa MANZESE ila si yule nimjuae anaeperform na wizkid
 

Attachments

  • IMG_20160929_213845.jpeg
    IMG_20160929_213845.jpeg
    52.8 KB · Views: 39
Baada ya kuwa msanii Pekee kutoka East Africa kuingia kwenye Nomination za MTVEMA International. Na Baada ya kumfunika Diamond Kule Mombasa. Alikiba ameitwa Tena, Safari hii akiwa na Msanii Mwenye Utukutu mkubwa lakini akiwa kipenzi cha wadada Duniani kote, Mmarekani Chriss Brown. Wakati Chris Brown akithibitisha kwenye clip ya video inayosambaa kwenye mitandao tangu jana kuwa Tamasha hilo litafanyika Katika Jiji la Mombasa Tarehe 8 OCtober 2016.
Mungu awazidishie Baraka
 
Mleta thread kama mchochez hvi.. alimfunika wapi diamond wakat aliingia kama saplies tena dakika ZA mwisho mwisho kwenye paformance.. hahahahaha
kuna watu wanaingia mwishoni....wanasepa na kijiji
 
Baada ya kuwa msanii Pekee kutoka East Africa kuingia kwenye Nomination za MTVEMA International. Na Baada ya kumfunika Diamond Kule Mombasa. Alikiba ameitwa Tena, Safari hii akiwa na Msanii Mwenye Utukutu mkubwa lakini akiwa kipenzi cha wadada Duniani kote, Mmarekani Chriss Brown. Wakati Chris Brown akithibitisha kwenye clip ya video inayosambaa kwenye mitandao tangu jana kuwa Tamasha hilo litafanyika Katika Jiji la Mombasa Tarehe 8 OCtober 2016.
Ila kiba alifunikwa na diamond mombasa
Niliangalia video youtube
 
hahah, haya mleta mada tutakufikishia bs ujumbe wako
 
Back
Top Bottom