Christian Bella afanya show Ikulu iliyoandaliwa na Rais Magufuli kwa ajili ya Rais Kabila wa DRC

Christian Bella afanya show Ikulu iliyoandaliwa na Rais Magufuli kwa ajili ya Rais Kabila wa DRC

Asije naye akachezea mvua kama babu seya[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji25]
 
wale wa timu nanihii tulieni jamaa yenu hajui kuimba mubashara mpaka aweke santuri.
 
Naona show za Magu sahv Christian Bella ndio anakamatia inawezekana mpaka sasa Christian B ndie msanii pekee aliyeingia ikulu kuperform, acha Diamond apanic" enzi za mkulu zimepita labda aitwe akaimbe msoga" nw ni King of the best melodies
 
Hata mimi nisingealika hawa vijana kwenye sherehe za watu wazima..Bella amefit zaidi hapo...
 
Naona show za Magu sahv Christian Bella ndio anakamatia inawezekana mpaka sasa Christian B ndie msanii pekee aliyeingia ikulu kuperform, acha Diamond apanic" enzi za mkulu zimepita labda aitwe akaimbe msoga" nw ni King of the best melodies
Mhhh hata wewe! Diamond amepanick kwani? Btw Enzi za kikwete Diamond alikuwa anaenda kufanya show ikulu au kumtembelea JK? Mbona mnataka kuifanya hii issue ionekane kama Diamond amelost saana?
Mlichofail kuelewa ni kuwa aina ya watu waliokuwepo ndio waliosababisha Bella apewe hiyo show. Ni nani asiyejua kuwa mashabiki wengi wa Diamond ni vijana, mlitaka aitwe akawaimbie hao wababu kitu gani.
 
Mhhh hata wewe! Diamond amepanick kwani? Btw Enzi za kikwete Diamond alikuwa anaenda kufanya show ikulu au kumtembelea JK? Mbona mnataka kuifanya hii issue ionekane kama Diamond amelost saana?
Mlichofail kuelewa ni kuwa aina ya watu waliokuwepo ndio waliosababisha Bella apewe hiyo show. Ni nani asiyejua kuwa mashabiki wengi wa Diamond ni vijana, mlitaka aitwe akawaimbie hao wababu kitu gani.
Christian bella ni show yake yapili hii kama sio ya 3 kuna ile Mwanza na nyingne dar es salaam hii ya Ikulu jana Magu akiwepo na akasema anapenda sana nyimbo za bella" sio kua namponda diamond my number 1 favourite artists in the world sio Tz tu bt nimefurah nae kuisoma namba akiwa kama watu walioipigia kampeni ccm kuingia madarakani" ila kitendo chake cha kutoa kauli mbaya jana clouds kuhusu kulipa kodi" nilishangaa sana
 
Christian bella ni show yake yapili hii kama sio ya 3 kuna ile Mwanza na nyingne dar es salaam hii ya Ikulu jana Magu akiwepo na akasema anapenda sana nyimbo za bella" sio kua namponda diamond my number 1 favourite artists in the world sio Tz tu bt nimefurah nae kuisoma namba akiwa kama watu walioipigia kampeni ccm kuingia madarakani" ila kitendo chake cha kutoa kauli mbaya jana clouds kuhusu kulipa kodi" nilishangaa sana
Alitoa kauli gani kwani.
 
Alikuwepo anafanya nini? Anatumbuiza au amealikwa tu...
Alitumbuiza lakini alichokifanya hakikufurahisha hadhira iliyokuwepo na naona aliyemtengenezea dili alijuta. Kuna Bendi nyingi sana ambazo zingekwenda na kufurahisha Wakuu lakini cha kushangaza wakamtafuta solo artist asiye na nyimbo za kuchangamsha.
 
Back
Top Bottom