kuna anayejua sababu kwa nini hakuna nchi ambayo ilikuwa na dola ya kikristu kwa maana ilifwata ukristu ambayo ni masikini? Kuna nchi nyingi zilizofwata Hinduims lkn masikini, zilizofwata Budhism zipo masikini na zilizofwata Uislamu pia nyingi zipo masikini na hata kwetu afrika ambako hatukuwa na Dini pia ni masikini kwa nini unafikiri christian countries zote zimeendelea kwenye human rights, democracy, human development very high, sababu ni ipi unadhania ?
Una hadithi tu wewe...
Kuwa wakristu sio kuongoza kikristo, unajua nchi ulizotaja ndio ziliongoza kununua na kutumikisha watu weusi..
USA ni nchi ya kikrisu??lkn bado hao weusi walionunuliwa wana maisha mazuri klk weusi wote dunia hii, per capital income ya black amerika is one of the highest in the world …
South Africa, most of Europe countries, North and South American countries.Tutajie hizo ncho nchi za Kikristo tutazame kama kweli hakuna masikini.
kwaiyo nch za kidini kumbe kwaiyo zinatawalia na sheria za kikiristuSouth Africa, most of Europe countries, North and South American countries.
Nchi za magharibi na Ulaya asilimia kubwa ni za wakristo. Nchi za mashariki ya kati na Afrika nyingi ni za waislamu
Jf 2007 uko humu mkuuilianzishwa na kuendeshwa kikristu, ndiyo …
Unajua todauti ya kuwa na wakazi wakristu/waislam na kuongozwa kidini??South Africa, most of Europe countries, North and South American countries.
Nchi za magharibi na Ulaya asilimia kubwa ni za wakristo. Nchi za mashariki ya kati na Afrika nyingi ni za waislamu
Pole mkuu...ilianzishwa na kuendeshwa kikristu, ndiyo, hata katiba ya USA inamtaja Mungu …
Kwa sababu aliahidi hivyo....na yeye si mtu hata aseme uwongo na si mwanadamu hata ajute.kuna anayejua sababu kwa nini hakuna nchi ambayo ilikuwa na dola ya kikristu kwa maana ilifwata ukristu ambayo ni masikini? Kuna nchi nyingi zilizofwata Hinduims lkn masikini, zilizofwata Budhism zipo masikini na zilizofwata Uislamu pia nyingi zipo masikini na hata kwetu afrika ambako hatukuwa na Dini pia ni masikini kwa nini unafikiri christian countries zote zimeendelea kwenye human rights, democracy, human development very high, sababu ni ipi unadhania ?
Mkuu jitahidi usome vizuri na uwe na information sawa. Hiki unachosema si kweli kabisa. Ufilipino ni kati ya nchi yenye wakatoliki wengi na ni kati ya nchi ambayo ina gap kubwa baina ya masikini na matajiri na kuna wauza ngada wa kutosha na maskini kweli. Same to Brazil pia. Nchi nyingi za South America zina idadi kubwa ya wakristo hasa ukatoliki lakini zina gap kubwa baina ya walicho nacho na wasionacho. Halafu madawa ya kulevya sana.kuna anayejua sababu kwa nini hakuna nchi ambayo ilikuwa na dola ya kikristu kwa maana ilifwata ukristu ambayo ni masikini? Kuna nchi nyingi zilizofwata Hinduims lkn masikini, zilizofwata Budhism zipo masikini na zilizofwata Uislamu pia nyingi zipo masikini na hata kwetu afrika ambako hatukuwa na Dini pia ni masikini kwa nini unafikiri christian countries zote zimeendelea kwenye human rights, democracy, human development very high, sababu ni ipi unadhania ?
Uislamu Marekani umeingia miaka ya juzi, ndio maana Misikiti Marekani ni michache ukilinganisha na makanisa... Enzi za watumwa wamishionari wa kikristo waliondoka na waafrika wengi kwenda Marekani na nchi za carrebean, huko wakristo ni buku jero....USA ni nchi ya kikrusu??
Mfano wa hizo nchi ambazo ni dola za Kikristo?haujelewa labda nilichomaanisha, kuna nchi nyingi zinafwata dola ya kiislamu lkn ni masikini lkn hakuna nchi iliuokuwa dola ya ukristu ambayo ni masikini …
Wewe hakukuahidi huo utajiri? Wakristo wengine hawamo kwenye hiyo ahadi?Kwa sababu aliahidi hivyo....na yeye si mtu hata aseme uwongo na si mwanadamu hata ajute.