Christiano Ronaldo aambiwe ukweli, muda umeshamtupa mkono, astaafu

Christiano Ronaldo aambiwe ukweli, muda umeshamtupa mkono, astaafu

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Huyu gwiji mkongwe katika mpira ameshachoka sasa. Wakati ni ukuta, anatakiwa kujiongeza na kutunza heshima yake.

Wenzake wakifikisha miaka ya pensheni huwa wanakwenda Marekani au Uarabuni kula hela pasipo kamera nyingi na matarajio makubwa ya mashabiki.

Hakika mpira wa miguu itaukumbuka uwezo wa winga huyu hatari lakini sasa asishindane na nyakati.
 
Huyu gwiji mkongwe katika mpira ameshachoka sasa. Wakati ni ukuta, anatakiwa kujiongeza na kutunza heshima yake.

Wenzake wakifikisha miaka ya pensheni huwa wanakwenda marekani au uarabuni kula hela pasipo kamera nyingi na matarajio makubwa ya mashabiki.

Hakika football itaukumbuka uwezo wa winga huyu hatari lakini sasa asishindane na nyakati.
He will score 20+ goals this season.
 
Jana pamoja na kukosa magoli kaisaidia sana timu. Na ana assist.
 
Back
Top Bottom