ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Aache pesa akusikilize wewe?Cr7 anakimbizana na muda,haamini kua our life is coded with time,
Akili inataka ila mwili unagoma kutoa ushirikiano,
Ni kweli Pesa ni muhimu But CR7 hakua na umuhimu sana wa kwenda kucheza huko Saudi Arabi kisa hela,angestaafu kwa heshima.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app