Tumia akili japo kidogo tu,kuna sehemu nimesema anisikilize Mimi? na inawezekana akanisikiliza Mimi? au wewe ni mmoja wea wale wachekeshaji wa JF na ulitaka tu kufurahisha watu? mpira sio vichekesho.
Tumia akili japo kidogo tu,kuna sehemu nimesema anisikilize Mimi? na inawezekana akanisikiliza Mimi? au wewe ni mmoja wea wale wachekeshaji wa JF na ulitaka tu kufurahisha watu? mpira sio vichekesho.