Christiano Ronaldo ndiye wa kwanza kupiga Tik tak Duniani?

Christiano Ronaldo ndiye wa kwanza kupiga Tik tak Duniani?

Ni goli lake la kwanza la ticktack
Hakuwai kuweza japo alikuwa anajaribu
Sio kweli!! Ana magoli mengi tu ya tik-tak, lakini hili LA sasa lina umaalumu wake kama ifuatavyo: 1. Mpira ulikuwa juu sana yaani futi nane (mita tatu kasoro kidogo). Niambie nani aliyewahi kuthubutu kupiga tik-tak mpira uliiko juu hivyo. Aliyewahi kupiga tik-tak iliyo juu angalau ni Ibrahimovich (futi 6) kwenye mechi kati ya England na Sweden, naye alisifiwa sana.
2. Mpira ule ulikuwa unatembea kwa kasi kubwa maana ilikuwa ni krosi, kwa hiyo kuthubutu kuufanyia timing mpira huo inahitaji ufundi mkubwa. Hakuna aliyetegemea ndiyo maana hata golikipa hakutikisika akabaki anauchungulia tu mpira ukienda wavuni!
3. Dunia ilishangazwa kumwona gwiji wa mpira Zinedane Zidane akipigwa na butwaa akabaki anatikisa kidole na kichwa badala ya kushangilia goli! Utakubaliana nami kuwa gwiji kama yule kupigwa na butaa hakikuwa kitu cha kitoto! Si rahisi kufanya kitu cha kumduwaza Zizu!!!
Goli la maajabu LA Zinedane lilikuwa pia ni over head kick lakini mpira haukuwa juu sana na sifa take pekee ni kuwa alifunga kwa umbali wa nusu kiwanja!! Ni goli zuri sana!!
 
Nakubaliana na wewe kuwa CR7 ana jukumu moja tu la kufunga ndyo mana anavizia sana.. Tofauti na messi ambaye ana majukumu meng ikiwemo la kufunga.

Ndyo mana ukiangalia la liga top scorers, mfungaji wa madrid yuko mmoja tu, CR

Ila wa barca wako wengi
 
Watu wote wanaomsifia na kumshabikia Cristiano Ronaldo ni ' Washamba / Mambwigira ' sana halafu hawajui Mpira wakiongozwa na Mchambuzi wa Soka na Mtangazaji wa Clouds fm na tv Shaffih Dauda. Anachokifanya leo huyo Mbwiga / Mshamba Cristiano Ronaldo vimeshafanywa sana na ' Mafundi ' wa Kutukuka akina Zinedine Zidane na Ronaldinho Gaucho. Watu kila siku unawakuta katika Vibanda umiza wakitizama ' mipira ' lakini bado mpira wenyewe hawaujui. Inasikitisha mno!
Nimemtazama Zinedane mwanzo mwisho na Gaucho mwanzo mwisho! Ninakiri kwa soka la kuburudisha Gaucho hana mfano wala mpinzani! Lakini kwa habari ya "bicycle kick" hajawahi kutokea mchezaji kuthubutu kupiga tik-tak mpira unaokwenda kwa kasi na uko urefu wa karibuni mita tatu (futi 8) kutoka ardhini. Wengi hupiga tik-tak mpira ukiwa futi 3-4 kutoka ardhini. Kwa vyovyote vile hakuna aliyewahi kujaribu kupiga tik-tak mpira ulio juu kupita urefu wake, maajabu yako hapo!! R7 ana urefu takriban futi 6 na mpira ulikuwa futi 8 juu!!! Ibrahimovich ana urefu wa futi 7 aliwahi kupiga tik-tak mpira ulioko futi 6. Hakuna tuk-tak aliyowahi kupiga Gaucho zaidi ya urefu wa futi 4!
 
Nimemtazama Zinedane mwanzo mwisho na Gaucho mwanzo mwisho! Ninakiri kwa soka la kuburudisha Gaucho hana mfano wala mpinzani! Lakini kwa habari ya "bicycle kick" hajawahi kutokea mchezaji kuthubutu kupiga tik-tak mpira unaokwenda kwa kasi na uko urefu wa karibuni mita tatu (futi 8) kutoka ardhini. Wengi hupiga tik-tak mpira ukiwa futi 3-4 kutoka ardhini. Kwa vyovyote vile hakuna aliyewahi kujaribu kupiga tik-tak mpira ulio juu kupita urefu wake, maajabu yako hapo!! R7 ana urefu takriban futi 6 na mpira ulikuwa futi 8 juu!!! Ibrahimovich ana urefu wa futi 7 aliwahi kupiga tik-tak mpira ulioko futi 6. Hakuna tuk-tak aliyowahi kupiga Gaucho zaidi ya urefu wa futi 4!
Safi sana
 
Nimemtazama Zinedane mwanzo mwisho na Gaucho mwanzo mwisho! Ninakiri kwa soka la kuburudisha Gaucho hana mfano wala mpinzani! Lakini kwa habari ya "bicycle kick" hajawahi kutokea mchezaji kuthubutu kupiga tik-tak mpira unaokwenda kwa kasi na uko urefu wa karibuni mita tatu (futi 8) kutoka ardhini. Wengi hupiga tik-tak mpira ukiwa futi 3-4 kutoka ardhini. Kwa vyovyote vile hakuna aliyewahi kujaribu kupiga tik-tak mpira ulio juu kupita urefu wake, maajabu yako hapo!! R7 ana urefu takriban futi 6 na mpira ulikuwa futi 8 juu!!! Ibrahimovich ana urefu wa futi 7 aliwahi kupiga tik-tak mpira ulioko futi 6. Hakuna tuk-tak aliyowahi kupiga Gaucho zaidi ya urefu wa futi 4!
Hapo ndio wataelewa tofauti ya hiyo tiktak na ukilinganisha na wengine
 
Sio kweli!! Ana magoli mengi tu ya tik-tak, lakini hili LA sasa lina umaalumu wake kama ifuatavyo: 1. Mpira ulikuwa juu sana yaani futi nane (mita tatu kasoro kidogo). Niambie nani aliyewahi kuthubutu kupiga tik-tak mpira uliiko juu hivyo. Aliyewahi kupiga tik-tak iliyo juu angalau ni Ibrahimovich (futi 6) kwenye mechi kati ya England na Sweden, naye alisifiwa sana.
2. Mpira ule ulikuwa unatembea kwa kasi kubwa maana ilikuwa ni krosi, kwa hiyo kuthubutu kuufanyia timing mpira huo inahitaji ufundi mkubwa. Hakuna aliyetegemea ndiyo maana hata golikipa hakutikisika akabaki anauchungulia tu mpira ukienda wavuni!
3. Dunia ilishangazwa kumwona gwiji wa mpira Zinedane Zidane akipigwa na butwaa akabaki anatikisa kidole na kichwa badala ya kushangilia goli! Utakubaliana nami kuwa gwiji kama yule kupigwa na butaa hakikuwa kitu cha kitoto! Si rahisi kufanya kitu cha kumduwaza Zizu!!!
Goli la maajabu LA Zinedane lilikuwa pia ni over head kick lakini mpira haukuwa juu sana na sifa take pekee ni kuwa alifunga kwa umbali wa nusu kiwanja!! Ni goli zuri sana!!
Hajawai kufunga ata moja
Fatilia kabla hujaongea
Sijaja kuropoka
Kama unabisha leta ushaidi
Youtube ipo
 
Sio kweli!! Ana magoli mengi tu ya tik-tak, lakini hili LA sasa lina umaalumu wake kama ifuatavyo: 1. Mpira ulikuwa juu sana yaani futi nane (mita tatu kasoro kidogo). Niambie nani aliyewahi kuthubutu kupiga tik-tak mpira uliiko juu hivyo. Aliyewahi kupiga tik-tak iliyo juu angalau ni Ibrahimovich (futi 6) kwenye mechi kati ya England na Sweden, naye alisifiwa sana.
2. Mpira ule ulikuwa unatembea kwa kasi kubwa maana ilikuwa ni krosi, kwa hiyo kuthubutu kuufanyia timing mpira huo inahitaji ufundi mkubwa. Hakuna aliyetegemea ndiyo maana hata golikipa hakutikisika akabaki anauchungulia tu mpira ukienda wavuni!
3. Dunia ilishangazwa kumwona gwiji wa mpira Zinedane Zidane akipigwa na butwaa akabaki anatikisa kidole na kichwa badala ya kushangilia goli! Utakubaliana nami kuwa gwiji kama yule kupigwa na butaa hakikuwa kitu cha kitoto! Si rahisi kufanya kitu cha kumduwaza Zizu!!!
Goli la maajabu LA Zinedane lilikuwa pia ni over head kick lakini mpira haukuwa juu sana na sifa take pekee ni kuwa alifunga kwa umbali wa nusu kiwanja!! Ni goli zuri sana!!
Ulishaona goli la shakir wa Stoke city la hvyo???
Ronaldo ni mrefu ko mpira kuwa kimo hicho ni kawaida tu
Screenshot_20180405-163506.jpg
 
Sio kweli!! Ana magoli mengi tu ya tik-tak, lakini hili LA sasa lina umaalumu wake kama ifuatavyo: 1. Mpira ulikuwa juu sana yaani futi nane (mita tatu kasoro kidogo). Niambie nani aliyewahi kuthubutu kupiga tik-tak mpira uliiko juu hivyo. Aliyewahi kupiga tik-tak iliyo juu angalau ni Ibrahimovich (futi 6) kwenye mechi kati ya England na Sweden, naye alisifiwa sana.
2. Mpira ule ulikuwa unatembea kwa kasi kubwa maana ilikuwa ni krosi, kwa hiyo kuthubutu kuufanyia timing mpira huo inahitaji ufundi mkubwa. Hakuna aliyetegemea ndiyo maana hata golikipa hakutikisika akabaki anauchungulia tu mpira ukienda wavuni!
3. Dunia ilishangazwa kumwona gwiji wa mpira Zinedane Zidane akipigwa na butwaa akabaki anatikisa kidole na kichwa badala ya kushangilia goli! Utakubaliana nami kuwa gwiji kama yule kupigwa na butaa hakikuwa kitu cha kitoto! Si rahisi kufanya kitu cha kumduwaza Zizu!!!
Goli la maajabu LA Zinedane lilikuwa pia ni over head kick lakini mpira haukuwa juu sana na sifa take pekee ni kuwa alifunga kwa umbali wa nusu kiwanja!! Ni goli zuri sana!!
Umeongea chumvichumvi nyingi ili kumsifia tu ila lilikuwa la kawaida tu
 
Hajawai kufunga ata moja
Fatilia kabla hujaongea
Sijaja kuropoka
Kama unabisha leta ushaidi
Youtube ipo
R7 kesha piga tik-tak nyingi tu japo ya aina hiyo kwa maana ya mpira kuwa juu sana ilikuwa ni burudani Mpya duniani, ndiyo maana hata kocha wake Zinedane badala ya kufurahi kushangilia goli alibaki anazungusha kidole kichwani kwa kuduwaa!!!
 
Faunali ya UEFA mwaka Jana walipoipiga juve 4-1, juve goli lao walifungaje, simkubali huyu jamaa
 
Baada ya kufunga magoli mawili kati ya matatu Christian Ronaldo amekua akipewa sifa nyingi hasa kwa lile goli la tik tak.
Najiuliza nini cha ajabu pale?Mbona ni wengi sana hadi sasa washafunga kwa style ile?
Nilichogundua Cr7 ana Nyota tu ya kupendwa kama ilivyokua kwa David Beckam Na ndio kikubwa kinachompa support kwa watu ingawa nakubali ni mfungaji hodari Mwenye shabaha ya goli,ni shabaha na kariba zilezile za akina Van Persie..Didier...Alex Sanchez Drogba .Suarez...lewadonsk..Naymar Jr..nk
Mwisho wa Siku unagundua cr7 anasafiria Nyota za kupendwa lkn ni wa kawaida sana
Kosa moja kubwa walifanyalo wapenzi wa cr7 ni kutaka kumshindanisha Na Messi,Kiukweli Messi ana Kariba Na style tofauti Na cr7 Kariba ya messi kwa sasa waweza waweka group moja Na Mohd Salah,Eden Hazard, hawa sio watu wa front kusubiri kufunga kundi hili wanakua Na majukumu mengi zaidi ya nyavu.


Rooney, Ibracadabra n.k walishafunga goli kama hilo yakaonekana ya kawaida tu 😀😀 kafunga jamaa yenu juzi limekuwa la maajabu kweli kweli 😀😀😀

Cheki goli la Diego Maradona limeenda shule bwana...
 

3. Dunia ilishangazwa kumwona gwiji wa mpira Zinedane Zidane akipigwa na butwaa akabaki anatikisa kidole na kichwa badala ya kushangilia goli! Utakubaliana nami kuwa gwiji kama yule kupigwa na butaa hakikuwa kitu cha kitoto! Si rahisi kufanya kitu cha kumduwaza Zizu!!!!!

Duhh nimecheka sana 😀😀😀😀

Yupi unamkubali zaidi! MESSI AU RONALDO?
 
Back
Top Bottom