Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,259
- 2,483
It was under influence ya wazazi.Kuolewaje bila Ridhaa?
Nadhani huku akiongozwa na Mungu wake mbele ya Altare Alikubali Kuolewa.
Aliulizwa kama anamkubali Mume katika Hali Zote na zijazo na akakiri kukubali Akiwa na Akili timamu na tabasamu tukuka.
Kwa Sasa baada ya shetani kumuingia ndo anasema hakuridhia.
Alete mashahidi wa kushuhudia Kuwa alilazimishwa.
Baba Yake na Mama Yake waje hadharani waseme walimlazimisha.
Usitetee kazi za shetani. Fungua Akili Yako kidogo.
Juice iliyowekwa hamira ni pombe tayari. Mind imechange,hana hata ajutalo huyu mama.Huna Akili.
Miaka 19 tayari ni mtu mzima na Akili zake. Kuna walioozeshwa na miaka 14 na Bado wamezitunza Ndoa zao.
Huyo Christina amekwepa jukumu Takatifu la Kuleana Ndani ya Ndoa.
Ngoja Mzee Shusho ajitwalie mwanamwali mdogo kuliko yeye halafu aanze kulia lia Zaidi mtandaoni. Nadhani hakujifunza kwa Mzee Mengi na Mzee Metili.
Tafuta tusi lingine. Malaya halina uzito tenaMalaya wakiteteana bwana eti shujaa π€£π€£π€£Nyie mtaharibu watoto wetu mm nimegmfutilia mbali nyimbo za huyo kicheche ..alicho niudhi zaidi ni kumuhusisha Mungu katika upuuzi wake.
Lina uzito likitumika wakati wa mtanange kudadeq πTafuta tusi lingine. Malaya halina uzito tena
Yaani nakojoa kabisaπππLina uzito likitumika wakati wa mtanange kudadeq π
ππππ kojoaaaaa....kojoaaaaaa kumanina zako malaya mkubwa we!!!!!! Kama vile nakuona unavotukania huku umesisimka mwili hatareeee.... hatareeee.......π€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€ΈYaani nakojoa kabisaπππ
Lioneπππππππ kojoaaaaa....kojoaaaaaa kumanina zako malaya mkubwa we!!!!!! Kama vile nakuona unavotukania huku umesisimka mwili hatareeee.... hatareeee.......π€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έ
π«£π«£π«£π«£π«£ππLioneπππ
Mbususu FC tu hapo.GTs,
Nimekuwa nikiona wana jukwaa mnavyomsema vibaya Christina kisa kuachana na mume wake Mzee Shusho.
Wengi wenu ni wanaume ambao hamjui hali aliyoipitia Christina ktk maisha yake ya kuolewa ktk umri mdogo.
Historia ya Christina inawakilisha kundi kubwa sana la wanawake ambao wazazi wao walikataa kuwasomesha na kuwalazimisha waolewe kisa tu wazazi wao waliamini kumsomesha mtoto wa kike ni kupoteza hela kwa sababu anaweza kushika mimba akiwa shule.
Christina ni shujaa kwa sababu kaamua kulisemea kundi kubwa la wanawake wenye maumivu ya kukatiliwa ndoto zao na wazazi kwa kulazimishwa kuolewa.
Tuungane kuukemea utaratibu wa kumuoza mtoto wa kike badala yake watoto wa kike wawe na haki sawa ya kusoma.
Tumpongeze Christina kwa kujitokeza kuwatia moyo wanawake wote ambao ndoto zao za maisha zilikatishwa na ndoa za lazima.
Pia tukumbuke, mbinguni hatuendi kwa sababu tunandoa au hatuna ndoa bali ni roho safi inayoamini ktk Yesu Kristo, inayoamini na kumtegemea Mungu. Tuache dhihaka zidi ya Christina, tumtie moyo ili sauti zizidi kupazwa kuzuia ndoa zinazokatiza ndoto za wasichana kisa ndoa iliyolazimishwa na wazazi.
Pia soma: Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga
Muache Christina atumie vyombo vya habari ili kuelimisha umma wa jamii zilizokatili maisha ya watoto wakike
"Mwanamke mpumbavu...ataivunja nyumba yake yeye mwenyewe!"GTs,
Nimekuwa nikiona wana jukwaa mnavyomsema vibaya Christina kisa kuachana na mume wake Mzee Shusho.
Wengi wenu ni wanaume ambao hamjui hali aliyoipitia Christina ktk maisha yake ya kuolewa ktk umri mdogo.
Historia ya Christina inawakilisha kundi kubwa sana la wanawake ambao wazazi wao walikataa kuwasomesha na kuwalazimisha waolewe kisa tu wazazi wao waliamini kumsomesha mtoto wa kike ni kupoteza hela kwa sababu anaweza kushika mimba akiwa shule.
Christina ni shujaa kwa sababu kaamua kulisemea kundi kubwa la wanawake wenye maumivu ya kukatiliwa ndoto zao na wazazi kwa kulazimishwa kuolewa.
Tuungane kuukemea utaratibu wa kumuoza mtoto wa kike badala yake watoto wa kike wawe na haki sawa ya kusoma.
Tumpongeze Christina kwa kujitokeza kuwatia moyo wanawake wote ambao ndoto zao za maisha zilikatishwa na ndoa za lazima.
Pia tukumbuke, mbinguni hatuendi kwa sababu tunandoa au hatuna ndoa bali ni roho safi inayoamini ktk Yesu Kristo, inayoamini na kumtegemea Mungu. Tuache dhihaka zidi ya Christina, tumtie moyo ili sauti zizidi kupazwa kuzuia ndoa zinazokatiza ndoto za wasichana kisa ndoa iliyolazimishwa na wazazi.
Pia soma: Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga