Christina ni Mwanamke Shujaa, apongezwe

Christina ni Mwanamke Shujaa, apongezwe

Kwanza tunapoteza muda kujadili watu wazima walioishi,wakapeana mapenzi toka Mmoja akiwa Binti hadi mtu mzima,mwingine ni Mzee sasa.Nini kilichopo ndani Yao hakuna anayejua.Kila mtu ajikite kujadili ndoa yake huwezi jadili ndoa ya mwingine kwa sababu kilichofanya wagombane/kutengaba ni Siri Yao.Siku wadirudi kumalizia uzee tutajadili?
 
Muache Christina atumie vyombo vya habari ili kuelimisha umma wa jamii zilizokatili maisha ya watoto wakike
Hana hekima hata kidogo, angenyamaza maisha yakaendelea tu.
 
Alilazimishwa kuoelewa!
Mbona umekomalia sana hii issue, wanandoa kutengana si jambo jipya wala baya. Ila ukiwa na hekima unatakiwa kunyamaza na kuendelea na maisha yako, inaonekana ni mwanamke mkora na mjanja mjanja sana.
 
Mwanamke akiongea siku zote 100% ni ukweli. Christina hawezi kujisingizia. Huyo mwanaume na yeye hana kosa kabisa kwa sababu wazazi wa binti ndiyo waliruhusu. Wenye kubeba makosa ni wazazi wa Christina
Wewe bado ni mtoto mdogo sana na huwajui baadhi ya wanawake walivyo changamoto. Mwanamke anaweza kumsingizi mme wake wa ndoa na hata kumpeleka mbele ya vyombo vya sheria. We kula ukalale tu, kuna wanawake ni majanga ndani ya ndoa, sema wanaume wengi uamua kukaa kimya ili maisha yaendelee.
 
GTs,
Nimekuwa nikiona wana jukwaa mnavyomsema vibaya Christina kisa kuachana na mume wake Mzee Shusho.

Wengi wenu ni wanaume ambao hamjui hali aliyoipitia Christina ktk maisha yake ya kuolewa ktk umri mdogo.

Historia ya Christina inawakilisha kundi kubwa sana la wanawake ambao wazazi wao walikataa kuwasomesha na kuwalazimisha waolewe kisa tu wazazi wao waliamini kumsomesha mtoto wa kike ni kupoteza hela kwa sababu anaweza kushika mimba akiwa shule.

Christina ni shujaa kwa sababu kaamua kulisemea kundi kubwa la wanawake wenye maumivu ya kukatiliwa ndoto zao na wazazi kwa kulazimishwa kuolewa.

Tuungane kuukemea utaratibu wa kumuoza mtoto wa kike badala yake watoto wa kike wawe na haki sawa ya kusoma.

Tumpongeze Christina kwa kujitokeza kuwatia moyo wanawake wote ambao ndoto zao za maisha zilikatishwa na ndoa za lazima.

Pia tukumbuke, mbinguni hatuendi kwa sababu tunandoa au hatuna ndoa bali ni roho safi inayoamini ktk Yesu Kristo, inayoamini na kumtegemea Mungu. Tuache dhihaka zidi ya Christina, tumtie moyo ili sauti zizidi kupazwa kuzuia ndoa zinazokatiza ndoto za wasichana kisa ndoa iliyolazimishwa na wazazi.

Pia soma: Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga
Hujasema na kuweka bayana kuwa alilazimishwa kuolewa,hata hiyo historia yake unayodai kuifahamu pia hujaiweka halafu unataka nimpongeze kwa lipi?
 
shusho alikuwa muuza nyanya na mbogamboga, hana mbele wala nyuma, na alikuwa 19 years old. yeye anaamini alikuwa mzuri sana. tuseme binti wa miaka 19 mwenye uwezo hata wa kufanay biashara ya umachinga hajitambui? hawezi kukataa kulazimishwa ndoa? au kwasababu aliona mzee shusho ni mfanyakazi wa serikali mwenye mafanikio na ametoka DSM, akaona ndio njia ya kutokea. kuna mtu ataamini kwamba alilazimishwa au umasikini ulimsukuma kuolewa? miaka 19 umelazimishwa? umejengwa polepole hadi umekuwa mwimbaji mkubwa mwenye mafanikio then ukashiba na kuondoka.

huyo ni shetani wa joyce kiria, sumu alizosambaza kiria na kundi lake, wote ni walewale, kiria naye alisema aliolewa kwasababu alikuwa hana hela ya kupanga chumba, alitokea uhousegirl, akaishi miaka 8 na mwanaume na hataki kumzaliwa, alipoona amefanikiwa akaamua kuondoka na kumdhalilisha hivihivi kama shusho anavyofanya. je? kiria alifika wapi na kileo? wanatafuta furaha na hawataipata.
Mleta mada asaidiwe,ni mgonjwa.
 
Ni UMALAYA uliomsukua shusho by mbarikiwa

nakazia.
 
Mwanamke akiongea siku zote 100% ni ukweli. Christina hawezi kujisingizia. Huyo mwanaume na yeye hana kosa kabisa kwa sababu wazazi wa binti ndiyo waliruhusu. Wenye kubeba makosa ni wazazi wa Christina
Ndiyo maana DNA zinawaumbua sana Wanawake, maana mnapenda sana kusema uwongo!!
 
Sasa kosa la wazazi wake kukataa kumsomesha ni kosa la mzee shusho? Pili kuna muda wa kufanya maamuzi ukiukosea huo utaonekana umewehuka na jamii itakudharau, hayo maamuzi alitakiwa ayafanye huko nyuma sana, sio wakati huu, ataonekana malaya tu na tamaa za ngono sio vingine.

Tatu njia anayotumia ya uharakati wa kusema anatetea kundi kubwa la waliopatwa na shida kama yeye sio njia sahihi, ni uzalilishaji, pia sio lugha sahihi za mtu aliyewahi kuishi kwenye ndoa.

Mwisho hii ni janja janja tu ya tamaa za ngono na pengine anadhani kwa kujifanya mwanaharakati kwa hilo atapata teuzi au kasha ahidiwa teuzi mwakani na kibopa so hii ni njia tu ya kutimiza matakwa yake ya zinaa na tamaa. Kiufupi anadhalikisha sana wanawake wenzie, maamuzi alichelewa kufanya, angekaa aboreshe ndoa yake tu, hizo lawama awape wazazi wake na kama akiweza awalaani.
 
Acheni kutetea ujinga,yaani shusho anajiona bado mdogo kwamba yule kamzidi sana,ujinga sana
Alafu uolewe mtu akupambanie mpaka leo unakuwa maarufu ndo useme ulilazimishwa?ujinga mtupu na kutaka kuhalalisha umalaya
 
Acheni kutetea ujinga,yaani shusho anajiona bado mdogo kwamba yule kamzidi sana,ujinga sana
Alafu uolewe mtu akupambanie mpaka leo unakuwa maarufu ndo useme ulilazimishwa?ujinga mtupu na kutaka kuhalalisha umalaya
Inaonesha jinsi gani mwanamke Tanzania hajakombolewa, yaani mnaakili za kishenzi sana. Hivi ni wanawake wangapi waliopo kwenye ndoa za kulazimisha??? Tena nchi za kiislam wanauawa wasichana wakikataa kuolewa kwa lazima, leo hii mjinga ka wewe unatetea mwanamke agandamizwe tu kisa wmanamke.
 
Inaonesha jinsi gani mwanamke Tanzania hajakombolewa, yaani mnaakili za kishenzi sana. Hivi ni wanawake wangapi waliopo kwenye ndoa za kulazimisha??? Tena nchi za kiislam wanauawa wasichana wakikataa kuolewa kwa lazima, leo hii mjinga ka wewe unatetea mwanamke agandamizwe tu kisa wmanamke.
Anayelazimishwa ni mtoto chini ya miaka 18 sio mwanamke.Acha kutetea ujinga ata kama huna akili.
 
Back
Top Bottom