Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
-
- #181
Ungesema "Yethuu na Marie" ungeeleweka zaidiYesuuuuuu , hizi ndondoo mnazo ziropoka hapa na yeye anazisoma maana na yeye ni myumiaji mzuri wa JF hahahhhh hahhhhhh aseeeeeeeee dahhh ni nasib tuu ndo hayupo jf , yesuuuuuuuuuuuu
Injili ni biashara siku hizi! Yesu alipo watuma wale mitume wake kuhubiri neno.. aliwaambia msichukue kitu KWa mtu yeyote..... Pia kuna mahala alisema karama umepewa bure kwanini utoze watu pesa?Amefunguka da Christina...
"Tunaongea sana pamoja, yeye akiwa na shida ananipigia namshauri kama dada yake na mimi nikiwa na shida namtafuta. Tunazungumza mengi mengine ni ya siri na tumekuwa karibu kwa sababu wote tunatoka Kigoma"
"Kiukweli hakuna mtu anayeweza kunilipa nikaimbe kwenye tamasha lake, tunafanya tuu kusaidiana maana binafsi nikisema nianze kuweka dau langu hakuna wa kunilipa hiyo pesa"
Christina Shusho, 'Msanii' wa muziki wa Injili Tanzania.
#kuna uwezekano wa Mond kuokoka mwaka huu[emoji28]View attachment 2763075
Sipo addicted ila Agara lav foo antizi, Yunoo wat am seying'i nigga ๐Sikutukani mkuu, ila ikiwa wewe ni addicted na mishangazi basi una namba yako ktk team mishangazi ๐
Hili la mtume Paulo kuwa mshona mazuria umetupiga aisee!Lakini alikuwa anashona mazulia..
Wewe ni wale wale tu๐Sipo addicted ila Agara lav foo antizi, Yunoo wat am seying'i nigga ๐
SawasawaAmefunguka da Christina...
"Tunaongea sana pamoja, yeye akiwa na shida ananipigia namshauri kama dada yake na mimi nikiwa na shida namtafuta. Tunazungumza mengi mengine ni ya siri na tumekuwa karibu kwa sababu wote tunatoka Kigoma"
"Kiukweli hakuna mtu anayeweza kunilipa nikaimbe kwenye tamasha lake, tunafanya tuu kusaidiana maana binafsi nikisema nianze kuweka dau langu hakuna wa kunilipa hiyo pesa"
Christina Shusho, 'Msanii' wa muziki wa Injili Tanzania.
#kuna uwezekano wa Mond kuokoka mwaka huu[emoji28]
View attachment 2763075
Ukimaanisha nini mkuu?Wewe ni wale wale tu๐
Yu lavu mashangaziUkimaanisha nini mkuu?
Nao si ni watu au hawastahili kupendwa?Yu lavu mashangazi
Matendo 20:33-35Hili la mtume Paulo kuwa mshona mazuria umetupiga aisee!
Napenda,ila nimeshangazwa kusikia mkunaji hapatagi raha,wakati yeye ndio huwa anamungaikia sana mkunwaHupendagi kuujua ukweli?
Hakika umeona nilichokiona tangu awali.Alaaa naanza kuunganisha dotii.
Moja huyu dadaa miziki yakee ikoo so additivee, Ina melody tamuu Kweli Kweli. Sasa niwaulize swali? JE, ni nani aliyekuwa anamwimbia Mungu Kule juu, wakati wa enzi kabda hawajagombana? Inatisha sana nitaongea kwa Code tuu Ili kulinda usalama wangu!
Pia, niwafumbue macho jinsi haya matukio mawili yanavyofanana, mwaka Jana Harmonizer alishtuka alipokuwa airport Mombasa alipomwona huyu mama, walioshuhudia tukio hilo wanasema harmonizer alitembea na tumbo mpaka miguuni mwake! Alafu akaibusu. Sasa Leoo tunasikia teena kwa DeeMondi!!! Hali inatisha Sanaa! Mtaona Siku ZA karibuni Mondi ataachia Ngoma yenye Melody kali,,, naogopaa Saba kwa haya nayowaeleza ndugu zanguni leo sitazima taa ya chumbani kwangu wakati nalala wasije nitumia Popobawa.
Sasa kituu cha ajabu huyu dada Ana nyimbo yake moja inayokwenda kwa jina BWANA NITETEE. Hii nyimbo mashairi yake yamejaa kuomba kisasi kwa bwana kwa maaudui zake, lakini mbona Yesu alisema tusamehee Saba mala SabiNi..
Tuendelee na mama.lishe maana hawa pisi kali wote wsshahesabiwa๐Pastor aachie vijana nao wafaidi lishangazi. Undugu ni kufaana. Diamond ni mwanamuziki shujaa kwenye mambo ya ngono. Nikikumbuka huyu Simba alishamvuruga Jokate naishia kupata uchungu. Kama kashatafuna huyu Shusho basi atakuwa kashamaliza list yangu nzima ya wanawake maarufu ninayotamani kutafuna.
Umewahi kusikia mkunaji anapiga yowe?Napenda,ila nimeshangazwa kusikia mkunaji hapatagi raha,wakati yeye ndio huwa anamungaikia sana mkunwa
Ni kweli, ila mtume paulo hakushona mazuria bali alipiga kazi ya kushona mahemaMatendo 20:33-35
33 Sikutamani fedha au dhahabu au nguo za mtu ye yote. 34 Ninyi wenyewe mnajua kwamba kwa mikono yangu nimefanya kazi nikapata mahitaji yangu na ya wenzangu. 35 Katika kila jambo nimewaonyesha kwamba kwa kufanya kazi kwa bidii mtaweza kuwa saidia walio dhaifu, mkikumbuka maneno aliyosema Bwana Yesu kwamba, โKuna baraka kubwa zaidi katika kutoa kuliko kupokea.โโ
Asante KWa kunikumbusha... Nilichanganya Hapo Kati ya zuria na hema...Ni kweli, ila mtume paulo hakushona mazuria bali alipiga kazi ya kushona mahema
Dogo lazima atakua anafaidi sana si unajua mishangazi hainaga hiana na kwa mpalange, uwaga kutoa kwa huko ni easy tu, maana hakuna uzazi tena inatereza tu.Hatuna uhakika kama Almas anafaidi, ila kwa Shusho uhakika wa kufaidi upo, si unajua kipele kikikunwa raha huwa ipo kwa mkunwaji na sio mkunaji ๐
๐๐๐๐Umewahi kusikia mkunaji anapiga yowe?
Yowe lipo kwa wakunwaji tu maana hao ndio huipata ile raha adimu ๐
Kwasababu ipi unaona"kuna uwezekano diamond akaokoka..." hii sentensi imewekwa makusudi kabisa...