Christina Shusho: Mimi na Diamond Platinumz ni marafiki sana

Christina Shusho: Mimi na Diamond Platinumz ni marafiki sana

Wewe na wenye mawazo kama yako mna safari ndefu kuujua ukristo , shusho ni mwinjilisti kwa njia ya nyimbo za injili, ili afanikishe huduma yake anahitaji wenye kasoro kama diamond na wengine ambao nyie mnawaita wahuni ,maana hao ndio wanahitaji wokovu ,,,Yesu kristo aliwaambia watu daktari ni kwa ajili ya wagonjwa na siyo wenye afya,akajichanganya na makahaba na watoza ushuru na mwisho walibadilika,ie Elizabeth,mathayo na wengine I,, na alifanya hivo coz anajua Dunia siyo mbinguni,na wengi waliopo huku wamepotea,na lengo la huduma yake ni kurudisha waliopotea,so walikuwa kipaumbele



Kosa la shusho ni kuthaminisha huduma yake katika pesa wakati anajua wengi Bado wanahitaji wokovu,. ,Na mbaya zaidi anataka thamani yake bila hata ya kumtaja Mungu aliyembariki, hii ilimponza Musa kule alikogonga maji mara ya pili nafikiri,, alijivika uwezo akamsahau aliyempa uwezo,na matokeo yake hakuifikia nchi ya ahadi, ,,Mungu amuongoze ,maana Bado anahitajika
Zab1:1
Heri mtu yule asiyekwenda Kwa shauri la wasio Haki,wala hakusimama katika njia za wakosaji,wala hakuketi vibarazani pa wenye mizaha.

Ufikirie tena urafiki wa Mondi na Shusho kama Kweli ni salama
 
Amefunguka da Christina...

"Tunaongea sana pamoja, yeye akiwa na shida ananipigia namshauri kama dada yake na mimi nikiwa na shida namtafuta. Tunazungumza mengi mengine ni ya siri na tumekuwa karibu kwa sababu wote tunatoka Kigoma"

"Kiukweli hakuna mtu anayeweza kunilipa nikaimbe kwenye tamasha lake, tunafanya tuu kusaidiana maana binafsi nikisema nianze kuweka dau langu hakuna wa kunilipa hiyo pesa"

Christina Shusho, 'Msanii' wa muziki wa Injili Tanzania.

#kuna uwezekano wa Mond kuokoka mwaka huu[emoji28]View attachment 2763075


Ukiona manyoya njia aliyopita kuku ujue keshauwawa na kicheche........
 
Back
Top Bottom