Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #201
Binamu njoo huku usome comments za wanaume katika uzi wa Faida za kuwa na mke.🙌🙌🙌🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binamu njoo huku usome comments za wanaume katika uzi wa Faida za kuwa na mke.🙌🙌🙌🙌
Niquote siuoniBinamu njoo huku usome comments za wanaume katika uzi wa Faida za kuwa na mke.
Zab1:1
Heri mtu yule asiyekwenda Kwa shauri la wasio Haki,wala hakusimama katika njia za wakosaji,wala hakuketi vibarazani pa wenye mizaha.
Ufikirie tena urafiki wa Mondi na Shusho kama Kweli ni salama
Ok, mama mchungaji ajitahidi amfikishe Diamond kwenye nchi ya ahadiUkiendana na shauri la wasio haki lazima utasimama katika njia za wakosaji,,,mfano wewe ni mwanafunzi wa Yesu kristo, rafiki Yako anajua una mahusiano ,ila hayapo stable, na unajua huyo rafiki Yako ni mzinzi na ana mahusiano halali ila hatosheki,,,anakwambia joannah !Unajua kwa Nini Mimi Nina amani?unasoma sijui!anakwambia joannah Dunia hii hutopata amani kama utakuwa na mwenza mmoja tu, tafuta kama Mimi, ,,ukimwangalia kweli ,ana amani japo mwenza wake ni pasua kichwa, unaona aaha, na mi ngoja nifanye kama jamaa, unatafuta watatu........hapo unakuwa umefuata shauli la wasio haki na umesimama katika njia zao ili kupata amani......kwa habari ya mzaha ni wale ambao unawaambia zambi inauwa roho Yako iepuke! Yeye anacheka anakwambia ,ushaanza kuchanyikiwa kisa ukristo, tafuta Hera utaachana na huo ujinga,,,,hapa chapa rapa,,Sasa unajuaje kama diamond ana mzaha!! Kuwa karibu na wapotofu na kutenda kinyume na mabaya Yao ni kuhubiri injiri pia, mkijifungia watakatifu tu!wengine habari njema watapewa na Nani??joannah!waza jambo hili Tena utagundua hata wale waliokoka kiasi Cha kuona wengine hawafai wanatenda dhambi , usiwatenge wenye dhambi kamwe, inawezekana umekuja ili waongoke
Ndio hivo,ikiwa tu huduma yake Bado inasimama kwa ajiri ya Mungu na siyo pesaOk, mama mchungaji ajitahidi amfikishe Diamond kwenye nchi ya ahadi
yan ipo kichokozi tu uncle...Kwasababu ipi unaona
SijaelewaView attachment 2763091
Inapanda mdogomdogo
Anamaanisha niniWe ni mhuni sana 😂
Naomba huo mstari wa kwenye biblia unaozungumza maneno hayo ....natanguliza shukraniInjili ni biashara siku hizi! Yesu alipo watuma wale mitume wake kuhubiri neno.. aliwaambia msichukue kitu KWa mtu yeyote..... Pia kuna mahala alisema karama umepewa bure kwanini utoze watu pesa?
Simaanishi akatae pale atakopo pewa pesa... Isipokuwa atakacho pewa pale anapo hitajika kuhubiri KWa uimbaji wake ashukuru tu ndio maana ya injili maana sio biashara(kwamba usipo nipa kiasi hiki siji kuimba).... Lengo watu waokolewe.... Paulo alisisitiza watu wawe na Kazi za mikono... Pamoja na yeye kuwa muhubiri wa neno la Mungu na kufanya uinjilisti maeneo mengi na kuweka Historia... Lakini alikuwa anashona mazulia.... Na pia kabla ya Hapo alikuwa mwalimu wa sheria za kiyahudi......
😅🤣🤣Ok, mama mchungaji ajitahidi amfikishe Diamond kwenye nchi ya ahadi
Huyo mbongo fleva na anavyopenda huko buza sijui kama dada atakuwa kasalimikaDogo lazima atakua anafaidi sana si unajua mishangazi hainaga hiana na kwa mpalange, uwaga kutoa kwa huko ni easy tu, maana hakuna uzazi tena inatereza tu.
Wakulane mara ngapiHawa lazima watakulana Ni suala la muda tu
Hilo ni swali?Kwa hiyo wachaga waliozaliwa na kukulia dar hawajatoka moshi??
Vipi ulimpa kwa mpalange nini? maana hizi unazotupatia ni za ndani sanaHuyo mbongo fleva na anavyopenda huko buza sijui kama dada atakuwa kasalimika
Maneno yepi mkuu.. maana nimeandika mengiNaomba huo mstari wa kwenye biblia unaozungumza maneno hayo ....natanguliza shukrani