Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Kwa nini ni changudoa?Shusho ni changudoa tu wa imani...umaarufu ulimkimbiza kwa mumewe sasa anachokifanya ni kuomba sympathy kwa jina la dini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini ni changudoa?Shusho ni changudoa tu wa imani...umaarufu ulimkimbiza kwa mumewe sasa anachokifanya ni kuomba sympathy kwa jina la dini.
Hongera usiye na hisiaPunguza hisia wewe... jinsia gani kwanza?
Hapo kuna KAHABA na pastor.Wote ni mapastor lkn nani anakukosha Zaidi?
Hizo ni dipresheni.Huyo dada naipenda sana sauti yake siwezi kueleza kwa maandishi nikaeleweka namna sauti yake inavyonibariki.
Ngoja nikamsikilize onetime nibarikiwe.
Wanja wa pastor jamaniView attachment 3205597
Akiwa na mumewe
Ananipunguzia sana mzigo wa dipresheniHizo ni dipresheni.
Leta ushahidi.Biblia imemkataza mwanamke kuhubiri injili takatifu ya yesu kristo, wasome biblia vzuri, wamekengeuka sana.
ushahidi upo kwenye biblia,Leta ushahidi.
🤣🤣 basi dipresheni zako ni level ya hatari sana!Ananipunguzia sana mzigo wa dipresheni
Naomba mstari....Biblia imemkataza mwanamke kuhubiri injili takatifu ya yesu kristo, wasome biblia vzuri, wamekengeuka sana.
soma biblia kwa kuilewa sio kukariri mistari.Naomba mstari....
Huna lolote ujualo,mambo ya kujitungiatungia tusoma biblia kwa kuilewa sio kukariri mistari.
Sio sana ni za hela ya mahari 😅🤣🤣 basi dipresheni zako ni level ya hatari sana!
sawa mkuu, asante sana, ubarikiwe pastor.Huna lolote ujualo,mambo ya kujitungiatungia tu
Wakati wayahudi wanamsulubu Yesu,walimvalisha taji la miiba wakambandikia kibao juu ya msalaba"huyu ni Yesu mfalme wa wqyahudi"wakidhani wanamdhihaki.....Amina kuu napokea neema uliyonitamkia na baraka zakosawa mkuu, asante sana, ubarikiwe pastor.
Kataa ndoa, ndoa ni utapeli🤣🤣Sio sana ni za hela ya mahari 😅