Christine Seven Mosha, She manages three of Tanzania’s biggest music acts: Alikiba, Lady Jay Dee and Baraka Da Prince

Christine Seven Mosha, She manages three of Tanzania’s biggest music acts: Alikiba, Lady Jay Dee and Baraka Da Prince

Uko sahihi mkuu hizi ni picha zake za kitambo 1999 akiwa na Irene kiwia
ff9646ff8dfd7783db46313f38ba1b2c.jpg
42af1f7df885622d9c7eb8b624e950a2.jpg
99 nipo darasa la pili hazeeki yani kama vampire
 
Nilikuwa sifahamu kuwa meneja wa kiba ni mwanamke kumbe ndo maana Kinukta kinapovukA kule insta.


Yule kidoti hajitambui....yaani jamaa hamtaki yeye bado analilia dushe lake. Mademu wa namna hii ni noma sana kuwadate....yaani haridhiki mpaka ateseke, shauri yake mwacheni amwage povu tu mpaka afikishe miaka 70.
 
We umeoa au kuolewa. Tujibu kwanza mana usipende kujua ya wenzako kabla hujatujulisha yako.
 
Aolewe wapi...huoni alivyo benet na kiba..mpk analazimisha kuvaa sare sare na kiba....
She is after something hapo..km hiyo somthing hajaipata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
Jua lishazama huyu.she in her early 40s
 
Wadau,

Naomba kuuliza juu ya huyu Meneja wa msanii Ali Kiba aitwaye Seven Mosha kuhusiana na marital status yake. Sijawahi kuona Meneja wa kike anayemsimamia mwanamuziki wa kiume.

Je, kama ameolewa au yupo na mchumba wake hiyo haileti kikwazo kwenye kumsimamia mwanamuziki wa kiume. Ieleweke kuwa Meneja wa msanii yeyote huambatana na msanii husika popote anapokwenda kikazi.

Je girlfriend/mchumba wa Ali Kiba atakuwa haoni wivu kweli.

Nauliza tu mwenye info zake
Ile kazi,we huyo mke /girlfriend/mchumba uliyenae anafanya kazi na wanawake pekee,ukue,hivi hamjafungua shule asee????nenda tuition ukuze IQ asee
 
Aolewe wapi...huoni alivyo benet na kiba..mpk analazimisha kuvaa sare sare na kiba....
She is after something hapo..km hiyo somthing hajaipata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
Jua lishazama huyu.she in her early 40s

Jua ndio Linaanza Miaka ya 40.Wewe sema Huwezi kufikia Mafanikio yake.
 
Back
Top Bottom