Dah wachaga kwa ubinafsi na ukabila hamuwezekani.Hiyo sikukuu ni kwa wachaga tu,maana ndio walialikwa hapa
Wacha tuwe hivyo hivyo mkuu...unakuwa modern kwa kutokumbuka kwenu. safiiiKwenye jukwaa la siasa? tunajadili kwenda mbokomu? mpo so primitive!
Mambo vipi wadau,
Tukiwa katika msimu wa sikukuu ya xmas na mwaka mpya....popote ulipo bdani ya Kilimanjaro.....ikiwa umetoka maeneo mbalimbali ya nchi na nje ya nchi kwa ajili ya kuungana na familia na wazazi wetu. Tupeane updates ya yanayojiri maeneo mbalimbali kama vile Moshi town, Kibosho, Uru, Marangu, Kilema, Machame, Sanya juu, Hai, Kirua vunjo, Old Moshi, Kahe, Upareni, Rombo na maeneo mengine. tusisahau mialiko kwani huu ndo msimu wenyewe wa sikukuu...
Kwa mjini kama kawaida wadau washaanza ingia na burudani ni kama kawaida.
Magroup ya wasup yamemwafect huyu....anzisha group la Kilimanjaro kwenye whassap
MWENYE UKABILA NI NWEWEDah wachaga kwa ubinafsi na ukabila hamuwezekani.Hiyo sikukuu ni kwa wachaga tu,maana ndio walialikwa hapa
Nime miss mbege .anaeenda aniletee mbege
Kwenye jukwaa la siasa? tunajadili kwenda mbokomu? mpo so primitive!
Mimi nafanya kazi Moshi na leo kwenye bus kulikuwa na mjadala wa kwamba JPM amebana fedha mpaka Wachaga safari hii wamepungua kweli yaani watakaokuja Moshi hawatazidi robo ya mwaka janaNime miss mbege .anaeenda aniletee mbege
...Mimi nileteeni Dengelua....na zile soseji za Moshi (Mtura...)
Mtura kwa wale waje kutaka kujenga afya zao wakati ndio huu...Mimi nileteeni Dengelua....na zile soseji za Moshi (Mtura...)
Hujakatazwa kuanzisha yako uite watu wanaotokea huko.Dah wachaga kwa ubinafsi na ukabila hamuwezekani.Hiyo sikukuu ni kwa wachaga tu,maana ndio walialikwa hapa
Mambo vipi wadau,
Tukiwa katika msimu wa sikukuu ya xmas na mwaka mpya....popote ulipo bdani ya Kilimanjaro.....ikiwa umetoka maeneo mbalimbali ya nchi na nje ya nchi kwa ajili ya kuungana na familia na wazazi wetu. Tupeane updates ya yanayojiri maeneo mbalimbali kama vile Moshi town, Kibosho, Uru, Marangu, Kilema, Machame, Sanya juu, Hai, Kirua vunjo, Old Moshi, Kahe, Upareni, Rombo na maeneo mengine. tusisahau mialiko kwani huu ndo msimu wenyewe wa sikukuu...
Kwa mjini kama kawaida wadau washaanza ingia na burudani ni kama kawaida.
Mimi nafanya kazi Moshi na leo kwenye bus kulikuwa na mjadala wa kwamba JPM amebana fedha mpaka Wachaga safari hii wamepungua kweli yaani watakaokuja Moshi hawatazidi robo ya mwaka jana
Mkuu naskia nyie ndo wapiga dili wenyewe mwaka huu mmedhibitiwa na Kufuli hakuna kula ndafu na Kitimoto ni mwendo wa sukuma wiki tu