Christmas holiday updates -Moshi, Kilimanjaro

bika kusahau viunga vyote vya Mkuu, Mashati, Mwika mpaka Rombo.
 
Mwaka huu sijajua kapsaa kama krismas hii nitaikapia kibosho , uru ama kiboriloni.... by the way naandaa shavu ...
 
Kwa mtakaokuwepo huko, ningeomba mpige na vipicha mtuwekee na sisi tulio miss kwenda ardhi ya ahadi tupate kuona yanayojiri huko nyumbani
Hiyo avatar hadi nimekusahau. Fanya mchakato urudishe ile avatar yako. Ndo ID yako.
 
Mkuu naskia nyie ndo wapiga dili wenyewe mwaka huu mmedhibitiwa na Kufuli hakuna kula ndafu na Kitimoto ni mwendo wa sukuma wiki tu
Mbinu zinabadilika.
Huwezi kudhibiti wizi Tanzania.
Alichodhibiti ni kupunguza purchasing power ya watanzania wengi kitu ambacho kinaathiri moja kwa moja biashara ambazo wachagga wapo wengi.
 
Mkuu naskia nyie ndo wapiga dili wenyewe mwaka huu mmedhibitiwa na Kufuli hakuna kula ndafu na Kitimoto ni mwendo wa sukuma wiki tu
Hizo ni stori za kipumbavu zinazosambazwa na wapumbavu kwa malengo ya kupumbavu.
 
Aisee kumeshaanza kunoga? Ntakua huko ndani siku mbili hizi
 
Siyo kwa mwaka huu 2016 Hari yetu haiko poa sana.Hakuta bamba kama miaka yote jaman.
 
Yesu ma maria!!?? Na mie Nita..nitakuwepo eee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…