Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Kwahyo Apo ndio unaona kua nyumba Za maana?we nawe wakijijini sana
 
Wivu.com
 
Umaskini upo tena mwingi tu, mtu mlevi muda wote anapata wapi pesa??

Mkuu wachaga ndio kabila linaloongoza kwa ulevi hapa nchini, hiyo hakuna anayepinga.

Lakini ndio eneo pekee ambalo wanaunafuu wa maisha kushinda maeneo mengine,

Nimeshatembea na kukaa maeneo mengi hapa nchini, Hii nchi ni masikini tena umasikini wa kutupa,
Lakini yapo maeneo hapa nchini yana unafuu moja wapo ni huko Kilimanjaro, sisemi hakuna masikini kwani hata Marekani masikini wapo.

Ila uchagani wanaunafuu fulani,

Ila kwa ulevi wanatia aibu, ukienda Kibosho, machame, Rombo, marangu, kuna vijana wabobevu kwa ulevi uliopindukia
 
Turudi kule kwenu Singidani kwenye nyumba za tembe
 
Saivi wahaya wengi wanaongoza kwa vibarua vya ujenzi maeneo ya Kibosho. Nachowakubali wanajenga kwa bei chee sana
[emoji3] karibu uhayani angalau unywe supu ya sato baada ya kunywa mbege


[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]watu wa ajabu sana, na kama hujawah kufika unaweza kuharibu hadi nauli kumbe unaenda kuona utopolo
Wanakubali kabisa kwamba kwao njaa kali,akiwa Moshi
Maji bure
Kulala pazuri bei chee
Garama za maisha nafuu
Huduma zote zinapatikana
 
Yaani umealikwa christmass na rafiki yako ndo umeenda kukusanya umbea huko.
Ndio maana nishaapa sitokaa niende na rafiki home hawa hawa ndio wanakuja kulmtuletea dharau baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo Apo ndio unaona kua nyumba Za maana?we nawe wakijijini sana
Nilicheka kweli[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilicheka..mbaya zaidi alirudia tena na tena. Hivi mnajua watu wana masikhara jamani. Ni vile watu hatutaki kupost miji yetu. Nilichojifunza ni hawajafika basi tu wameamua kelele
 
Hebu muambie huyo bwana mdogo, kwani kutumia public transport nao siyo Usafiri? si wanalipa nauli tena nauli kubwa msimu huu? lini ilisemwa wachaga hawatumii usafiri wa Umma kwenda Uchagani?
Nimemshangaa. Huyu kapita juu juu huko. Hlaf ana conclude kirahis. As if ameishi huko miaka 10.
 
Acha mbwembwe kijana, nunua nguo mpya kwa familia yako hakikisha wamekula vizuri then tulia na famili yako izo research zisizo na tija waachie wachaga wenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…