Hata kabila kuu wako kila mahali na kwingine tumebadilisha mikoa kuwa kabila kuu kama Katavi, Kigoma, nusu ya mkoa wa Morogoro, Singida, Mara na Rukwa huku Kagera ikipoteza Wilaya ya Biharamulo. Chezea Ngosha weye.Labda tu niwele in simple way. Mchaga yuko kila mahali. Na napenda ethic yao ya upambanaji. Wazungu wanasema kama fursa haitokei.. tengeneza hiyo fursa.
Ndio maana wamesambaa kila mahali kusaka mapene.. si watu wavivu. Ndio maana wamesambaa
Kuhusu wanawake wa kichaga kutaka kuolewa na wasukuma that is false. Hakuna data or statistics inayo support allegation zako.
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan kaibuka chaaap kama kimira cha motoHahahaha nimecheka Hadi nimemwaga bia yangu[emoji1][emoji1][emoji1]
Sukumaland[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui kaibukia wapi
Ulitembea kote upo sure? Nenda NBS Kawashuhudie kua wanakosea sana na taarifa zao Yawezekana uko kwenu ndio number 1 Tanzania, hata sio muhimu kujua kwenu wapNimetembea Kilimanjaro yote sikuona jipya kuanzia Machame, Masama, Kibosho, Uru, Marangu, Rombo, Mwanga na Same kote huko sikuona jambo la ajabu ambalo kwetu halipo. Mtu unamkuta huko Kilimanjaro anamiliki robo eka ya mchaimchai eti naye anajiita tajiri ! Migomba yenyewe huko Machame mashina kama paja la mbuzi ! Ni shida kwa kwenda mbele ! Mnakuja kudanganya eti Kilimanjaro matajiri, kwa lipi hasa ! Huko Kishimundi ndio wamejaa mazezeta kwa ulevi. Poleni sana kwa majigambo hamjambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngosha, hii ligi kaa pembeni bwana unatupotezea muda. Yaan kabisa Mwanza hii hii?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] eti nimetembelea kilimanjaro yote. Mafi ya popooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti shida tupu. Ngoja tukutupe mbali maana dahNimetembea Kilimanjaro yote sikuona jipya kuanzia Machame, Masama, Kibosho, Uru, Marangu, Rombo, Mwanga na Same kote huko sikuona jambo la ajabu ambalo kwetu halipo. Mtu unamkuta huko Kilimanjaro anamiliki robo eka ya mchaimchai eti naye anajiita tajiri ! Migomba yenyewe huko Machame mashina kama paja la mbuzi ! Ni shida kwa kwenda mbele ! Mnakuja kudanganya eti Kilimanjaro matajiri, kwa lipi hasa ! Huko Kishimundi ndio wamejaa mazezeta kwa ulevi. Poleni sana kwa majigambo hamjambo.
Weee... unajitoa ufahamu? Kwetu tu yuko anaelisha mifugo yetu. Na tunamwamini sana na kunpenda. Yuko moshi huko na almaarufu kama Majanga. Na anapiga mbege balaa. Huyo ni sample. Wamejaa tele. Siyo wavivu kns kwa swala la kazi hapo wapewe credits zao kwakweliVibarua wa nani ?
Yes, lazima uwe tayari wakati unaofaa na wakati usiofaa[emoji23][emoji23][emoji23] yaan kaibuka chaaap kama kimira cha moto
Hapa kwangu tu mlinzi wangu ni mchagga. Dereva wangu mpare.Weee... unajitoa ufahamu? Kwetu tu yuko anaelisha mifugo yetu. Na tunamwamini sana na kunpenda. Yuko moshi huko na almaarufu kama Majanga. Na anapiga mbege balaa. Huyo ni sample. Wamejaa tele. Siyo wavivu kns kwa swala la kazi hapo wapewe credits zao kwakweli
Pumzika bwana. Nyie bado sana. Ushamba unawasumbua. Waje wahaya hapa tu na basi. Kuwa wengi kwenu wala si tishioYes, lazima uwe tayari wakati unaofaa na wakati usiofaa
Hata ongea yako tu inakusuta[emoji23]Hapa kwangu tu mlinzi wangu ni mchagga. Dereva wangu mpare.
Mimi naijua Kilimanjaro kuliko hata wewe. Tunaponyamaza mnadhani hatujafika kumbe sivyo. Kote huko kwa wapare sijui, Gonja maole, kivukoni mpaka ndungu nimefika. Wilaya ya Siha yote kuelekea kule kwenye Magadi kama unaelekea Longido nimefika. Sasa sijui unataka kuniambia nini. Ok. Ngoja niwaachie ligi yenu ya wachagga na wahaya. Bye.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngosha, hii ligi kaa pembeni bwana unatupotezea muda. Yaan kabisa Mwanza hii hii?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] eti nimetembelea kilimanjaro yote. Mafi ya popooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti shida tupu. Ngoja tukutupe mbali maana dah
Kwa raha zetu tunaongoza nchi, hahahaaaPumzika bwana. Nyie bado sana. Ushamba unawasumbua. Waje wahaya hapa tu na basi. Kuwa wengi kwenu wala si tishio
Mafiiii eti naijua kilimanjaro yoote kukuzidi hata wewe. Jiangalie we msukuma. Jiangalie haswaaaa. Haya rudi machunganiMimi naijua Kilimanjaro kuliko hata wewe. Tunaponyamaza mnadhani hatujafika kumbe sivyo. Kote huko kwa wapare sijui, Gonja maole, kivukoni mpaka ndungu nimefika. Wilaya ya Siha yote kuelekea kule kwenye Magadi kama unaelekea Longido nimefika. Sasa sijui unataka kuniambia nini. Ok. Ngoja niwaachie ligi yenu ya wachagga na wahaya. Bye.
Mafiiii eti naijua kilimanjaro yoote kukuzidi hata wewe. Jiangalie we msukuma. Jiangalie haswaaaa. Haya rudi machungani
Wahaya walikuwa zamani sasa hivi ni raia wa Usukumani na wanijisikia vizuri kuingizwa kwenye jamii kuu isiyo na ubaguziPumzika bwana. Nyie bado sana. Ushamba unawasumbua. Waje wahaya hapa tu na basi. Kuwa wengi kwenu wala si tishio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngosha, hii ligi kaa pembeni bwana unatupotezea muda. Yaan kabisa Mwanza hii hii?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] eti nimetembelea kilimanjaro yote. Mafi ya popooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti shida tupu. Ngoja tukutupe mbali maana dah
Wewe msukuma chunga mbuz tuNimetembea Kilimanjaro yote sikuona jipya kuanzia Machame, Masama, Kibosho, Uru, Marangu, Rombo, Mwanga na Same kote huko sikuona jambo la ajabu ambalo kwetu halipo. Mtu unamkuta huko Kilimanjaro anamiliki robo eka ya mchaimchai eti naye anajiita tajiri ! Migomba yenyewe huko Machame mashina kama paja la mbuzi ! Ni shida kwa kwenda mbele ! Mnakuja kudanganya eti Kilimanjaro matajiri, kwa lipi hasa ! Huko Kishimundu ndio wamejaa mazezeta kwa ulevi. Poleni sana kwa majigambo hamjambo.
Wa majalubaniVibarua wa nani ?
Soma hapa kwanza [emoji1][emoji1]Hawa wakaskazini wanajidai sana wakati maisha yao ni kama watanzania wengine tu.
Nyie ni wafugaji mpo porini huko hamna exposure Zaid ya kuongoza kwa ushambaHata kabila kuu wako kila mahali na kwingine tumebadilisha mikoa kuwa kabila kuu kama Katavi, Kigoma, nusu ya mkoa wa Morogoro, Singida, Mara na Rukwa huku Kagera ikipoteza Wilaya ya Biharamulo. Chezea Ngosha weye.