Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Hata kabila kuu wako kila mahali na kwingine tumebadilisha mikoa kuwa kabila kuu kama Katavi, Kigoma, nusu ya mkoa wa Morogoro, Singida, Mara na Rukwa huku Kagera ikipoteza Wilaya ya Biharamulo. Chezea Ngosha weye.
 
Ulitembea kote upo sure? Nenda NBS Kawashuhudie kua wanakosea sana na taarifa zao Yawezekana uko kwenu ndio number 1 Tanzania, hata sio muhimu kujua kwenu wap
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngosha, hii ligi kaa pembeni bwana unatupotezea muda. Yaan kabisa Mwanza hii hii?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] eti nimetembelea kilimanjaro yote. Mafi ya popooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti shida tupu. Ngoja tukutupe mbali maana dah
 
Vibarua wa nani ?
Weee... unajitoa ufahamu? Kwetu tu yuko anaelisha mifugo yetu. Na tunamwamini sana na kunpenda. Yuko moshi huko na almaarufu kama Majanga. Na anapiga mbege balaa. Huyo ni sample. Wamejaa tele. Siyo wavivu kns kwa swala la kazi hapo wapewe credits zao kwakweli
 
Hapa kwangu tu mlinzi wangu ni mchagga. Dereva wangu mpare.
 
Mimi naijua Kilimanjaro kuliko hata wewe. Tunaponyamaza mnadhani hatujafika kumbe sivyo. Kote huko kwa wapare sijui, Gonja maole, kivukoni mpaka ndungu nimefika. Wilaya ya Siha yote kuelekea kule kwenye Magadi kama unaelekea Longido nimefika. Sasa sijui unataka kuniambia nini. Ok. Ngoja niwaachie ligi yenu ya wachagga na wahaya. Bye.
 
Mafiiii eti naijua kilimanjaro yoote kukuzidi hata wewe. Jiangalie we msukuma. Jiangalie haswaaaa. Haya rudi machungani
 
Mwanza unataka kuilingainisha na Kamoshi kenu ! Kweli mbege ni shida
.
 
Wewe msukuma chunga mbuz tu
Soma hapa sisi hatuna maneno mengi
 
Hata kabila kuu wako kila mahali na kwingine tumebadilisha mikoa kuwa kabila kuu kama Katavi, Kigoma, nusu ya mkoa wa Morogoro, Singida, Mara na Rukwa huku Kagera ikipoteza Wilaya ya Biharamulo. Chezea Ngosha weye.
Nyie ni wafugaji mpo porini huko hamna exposure Zaid ya kuongoza kwa ushamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…