Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Mko nyuma sana
Sidhani kama ulishavuka kahama kuja bk.

Toka huko mweka tembea
Screenshot_20201227-082319.jpg
Screenshot_20201227-151908.jpg
Screenshot_20201227-151702.jpg
Screenshot_20201227-151318.jpg
Screenshot_20201227-151525.jpg
Screenshot_20201227-151412.jpg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Mumshukuru njiwa pori kwa kuintroduce lodge za wavuvi zile za buku per night kwenye mialo yenu la sivyo hata maana ya lodge mngekuwa mna Google mpaka leo [emoji23]
Wachukuru watalii na huo mlima vinginevyo KLM ingekuwa kigoma Tu.

Hiv bk kuna nini mpaka abiria wawe wengi hivi.
Jibu ni kwamba kuna wahaya
FB_IMG_16082016762578105.jpg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
ndio haohao wamejaa uwanja wa fisi wanakwepa kufanya kazi, au wale nao ni wasomi wanatumia elimu zao kufanya kazi rahisi
Hakuna kabila au jamii yoyote duniani isiyokuwa na wanawake malaya. Ile ni tabia kama tabia nyingine.

Ila sijawahi elewa kwani machoko wengi hapa DAR asili Yao moshi sijawahi elewa

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Moshi ni sehemu ya utalii wa ndani, sisi Wapemba twatiririka kwenda kula lijidude jeupe litamu huko[emoji200][emoji241][emoji201]
Wewe utakuwa Mpembe sasa.Si Mpemba tena.

Wapemba watakuweka pembe yakhee.

Thread hizi zinaonesha juhudi za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere za kujenga umoja wa kitaifa zimetelekezwa na ukabila unazidi kuota mizizi.
 
Mbona unateseka? Sehemu ulizotembelea ni 5% tu ya UCHAGANI yote umeacha 95% huwez ku conclude research kwa kutembelea 5%
Hahaha Naona shamrashamra za wachaga zinawatoa povu,na nyie jengeni kwenu mjidai
Achana na kyasaka huyo. Amefanya utalii Moshi. I hope ameacha hela kidogo huko alipopita kwa maana ya kupata huduma.

Research yake haituhusu, hela zake tunazitaka....
 
Waporipiri mbateseka sana na utamaduni wetu wa kwenda na kuendeleza makwetu, kiufupi kutuchukia wala hakutawafanya nyie muwe kama sisi, dawa ni moja tu hapa nendeni kwenu, jengeni huko na mpapende, nani alielwambia kila nyumba ina hekalu? Ukweli ambao hujausema ni kuwa huwez vuka nyumba tatu ukose moja ina jumba zuri na facility zote muhim kama umeme, maji na kunafikika na hizo mbili zilizobakia lazma ukute moja ina nyumba bora ( sio hekalu) na nyingine wako ktk ujenzi, hivyo endelea na chuki kama ambavyo mnazo kuanzia kila mahala kwa kutuita majizi lkn sisi tunapepea na tunapambania vizazi vyetu
 
Anajitoa akili acha aendelee kubishana na wenye kujenga makwao, yeye kajifunza kuoga alipokuja mjin na anaogopa kurejea matembeni huko central kwao
Wachawi wapo huko kwa wachunga mbuz, UCHAGANI kungekuwa na wachawi kusingejengeka Kama ulaya
Kule kwenu kwenye vijumba vya nyasi ndio Kuna wachawi
 
Mkuu sisi ni wakubwa na wanaotukana wanajua hilo, wametuita kila aina tusi na ubaya sijui majizi, or wakabila lkn hatutetereki, sasa toka lin masikin akampenda tajiri? Matembe kwao hayaishi watatupenda tunaojenga mahekalu chin ya migomba na kuwaajiri wao kulala kulinda mchwa
Wachaga again..kweli sisi ni wakubwa
 
Back
Top Bottom