instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
Sidhani kama ulishavuka kahama kuja bk.Mko nyuma sana
Toka huko mweka tembea
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama ulishavuka kahama kuja bk.Mko nyuma sana
Unajua hizi ni nyumba za kawaida sana uchaggani?[emoji23][emoji23][emoji23]Kijana tulia dawa ikuingie.
UhayaniView attachment 1660458View attachment 1660459View attachment 1660460View attachment 1660461
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Bwana mdogo unafanya sana repeatition ya picha...Migombani bukobaView attachment 1660446View attachment 1660449View attachment 1660450View attachment 1660453View attachment 1660456View attachment 1660457
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Wachukuru watalii na huo mlima vinginevyo KLM ingekuwa kigoma Tu.Mumshukuru njiwa pori kwa kuintroduce lodge za wavuvi zile za buku per night kwenye mialo yenu la sivyo hata maana ya lodge mngekuwa mna Google mpaka leo [emoji23]
Yap ndo maana husoma Sana ili wasiangukie hukoAiseee
ndio haohao wamejaa uwanja wa fisi wanakwepa kufanya kazi, au wale nao ni wasomi wanatumia elimu zao kufanya kazi rahisi
Bila Shaka hiz nyumba zinajengwa na miskule.Kwa mujibu wao kule hali ni mbaya ndugu wengi wakishapata mafanikio wanakimbilia Dar na waacha kwao kukiwa patupu
Leta hizo zinazotisha huko uchagani kama huleti hotel za watalii na lodge hapa.kanakwamba mnaishi lodgeUnajua hizi ni nyumba za kawaida sana uchaggani?[emoji23][emoji23][emoji23]
Za moshi ziko wapBwana mdogo unafanya sana repeatition ya picha...
Hakuna kabila au jamii yoyote duniani isiyokuwa na wanawake malaya. Ile ni tabia kama tabia nyingine.ndio haohao wamejaa uwanja wa fisi wanakwepa kufanya kazi, au wale nao ni wasomi wanatumia elimu zao kufanya kazi rahisi
Kwa hiyo unataka uletewe shule ndio ujue sio nyumba ya kuishiLeta hizo zinazotisha huko uchagani kama huleti hotel za watalii na lodge hapa.kanakwamba mnaishi lodge
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
na hapo ndio kachuja zile kalikali za huko kwao[emoji3]Unajua hizi ni nyumba za kawaida sana uchaggani?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa utabakwa tu, kwani unadeal na rijali linalojitambua. Unataka kushikishwa ukuta?Maliza kwanza period nije kukuelewesha mama
Wewe utakuwa Mpembe sasa.Si Mpemba tena.Moshi ni sehemu ya utalii wa ndani, sisi Wapemba twatiririka kwenda kula lijidude jeupe litamu huko[emoji200][emoji241][emoji201]
AssholeWachaga mkiwa mjini Mzizima mna mbwembwe sana lakini kiuhalisia mnasafiri kwa treni na kulala kwenye mapagale.
Nadhani sasa umemuelewa!
Usiteseke, na wewe nenda kwenu ukasalimie ndugu na jamaa.Watakavokuja na mbwembwe kuushambulia sasa wakati hayo yote ulioandika ni ukweli mtupu, jamaa wanapenda sifa ambazo hawana
Achana na kyasaka huyo. Amefanya utalii Moshi. I hope ameacha hela kidogo huko alipopita kwa maana ya kupata huduma.Mbona unateseka? Sehemu ulizotembelea ni 5% tu ya UCHAGANI yote umeacha 95% huwez ku conclude research kwa kutembelea 5%
Hahaha Naona shamrashamra za wachaga zinawatoa povu,na nyie jengeni kwenu mjidai
Wachawi wapo huko kwa wachunga mbuz, UCHAGANI kungekuwa na wachawi kusingejengeka Kama ulaya
Kule kwenu kwenye vijumba vya nyasi ndio Kuna wachawi
Wachaga again..kweli sisi ni wakubwa