Utopolo waazimwe akili washerehekee hata sikukuu tu.Baada ya sikukuu waachwe wajipambanie hali zao.Bloody vyuraz!Inafikirisha sana, dunia nzima ipo katika shamrashamra za birthday ya Yesu Kristo, hawa ndugu zetu vyura wanaharibu mood yetu kwa kujaa malalamiko yasiyo na kichwa wala mguu.
Ukiwauliza wanalalamika nini hawana jibu la kueleweka. Mara refa, mara analalamikiwa mchezaji wa JKT, wanamlaumu hadi Mpanzu eti kwa kupiga mashuti sana yanayolenga goli. Wakiangalia muda faulo ilipofanyika wanashindwa kulalamikia muda kama kawaida yao, basi wanabaki wamenyong'onyeaaa.
Mmesahau hata kutumia siku ya leo kumshukuru Mungu kwa kufunguliwa streka wenu mnabaki kueneza fitna na roho mbaya.
Ninyi haohao "Tabora United" au kuna wengine?Jitahidini mpate penalty nyingi kabla hatuja kutana
Nyie na Tabora unganeniNinyi haohao "Tabora United" au kuna wengine?
Wewe punga mbona hutulii nimeshakuambia leo ntakupa dozi ya miezi miwili sasa kudandia wengine ya nin..Ninyi haohao "Tabora United" au kuna wengine?
Kuchati hakuchoshihii nchi kwa mpira na ngono. leo sikukuu pumzikeni
Hiyo kampe mama yako mzazi unayemjua.Mimi hunijui chura wewe!Wewe punga mbona hutulii nimeshakuambia leo ntakupa dozi ya miezi miwili sasa kudandia wengine ya nin..
Acha makasiriko Aunt unapaniki nin sasa tulia ntakuzibua hilo tope wala usiwe na hofu naona ni tope mgando sasa litakwisha tu..Hiyo kampe mama yako mzazi unayemjua.Mimi hunijui chura wewe!
Inafikirisha sana, dunia nzima ipo katika shamrashamra za birthday ya Yesu Kristo, hawa ndugu zetu vyura wanaharibu mood yetu kwa kujaa malalamiko yasiyo na kichwa wala mguu.
Ukiwauliza wanalalamika nini hawana jibu la kueleweka. Mara refa, mara analalamikiwa mchezaji wa JKT, wanamlaumu hadi Mpanzu eti kwa kupiga mashuti sana yanayolenga goli. Wakiangalia muda faulo ilipofanyika wanashindwa kulalamikia muda kama kawaida yao, basi wanabaki wamenyong'onyeaaa.
Mmesahau hata kutumia siku ya leo kumshukuru Mungu kwa kufunguliwa streka wenu mnabaki kueneza fitna na roho mbaya.