katib mkoa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,574
- 2,161
Ooho mwanaume na kioo tena ? we tayari kumekucha niamin mimiNilikuwa nimesimama kwenye kioo nikajiangalia chuchu nikaona kama zimekaa bila ya faida yoyote ile ya mana ndio mana nikahoji zina faida gani labda kuna faida yake mimi sijui