Chuki binafsi ya Haji Manara kwa Shaffi Dauda inatokana na nini?

Chuki binafsi ya Haji Manara kwa Shaffi Dauda inatokana na nini?

Haji vs Shafi dauda.
Hawa wote wana upeo mdogo pia lugha zao si nzuri ni zenye krbehi na dharau wakati hawana lolote! Ni wachumia tumbo tu.
 
Haji vs Shafi dauda.
Hawa wote wana upeo mdogo pia lugha zao si nzuri ni zenye krbehi na dharau wakati hawana lolote! Ni wachumia tumbo tu.
 
Nikikuita mpumbavu nitakuwa nimekosea? Pale hakuna bifu ni urafiki tu na kinachoendelea kinafanyika ili shaffih dauda avune followers tena mabifu waga mnayo ninyi mashabiki maandazi.
.
Kwenye bifu za akili kama hizi ni wapumbavu tu ndo huwa wanaropoka hovyo wenye akili huendelea na mambo yao,ni kama bifu la nick minaj na Card B ilikuwa iko kibiashara zaidi na nilazima mmoja aonekane mnyonge ili kitu fulani kiende.
 
Nani katukana km sio we unajiona bora kuniita mpumbavu...we bwege nn...then mi mkubwa kuliko we pili swala la pesa halina kipimo ....ujuaji mwingi ndio unawaponza wakati mmesomea vyuo vya kata...
Aiseeee! Acha kunionyeshea utotowako mdogo wangu, hujui lolote kunihusu hapa tunaweka hoja na si matusi, nimekwambia nikikuita mpumbavu nitakuwa nimekosea?

Unahabari pesa alizonazo haji wewe na ukoo wenu wa waliopo hai na wafu hamjawahi kuwa na fedha kama zake?

Kuwa mjanja kidogo hizi trick uzielewe au mtembelee haji mikocheni siku za jumamosi usipokutana na shaffih njoo uandike upumbavu wako tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza Kuniuliza kwann nasema chuki binafsi..haji hataki dauda aikosoe simba kwa namna yoyote ile...
Wachambuzi wengi wanatoa maoni yao juu ya simba na haji asemi chochote...ila kwa dauda ni ugomvi...
Licha ya mapungufu ambayo shaffi anayo ni ubinadamu tu..haji huwezi kumzuia... Kutoa maoni yake km mchambuzi cz ata yeye haji uwa anakosoa na anatoa maoni yake Mara nyingi tena kwa kejeri ni haki yake ...
Kwann dauda tu...? uwezi kuzuia ukweli simba ni underdog katika kundi lao uo ndio ukweli ..je unataka husisemwe?
Shida ya haji ni jeuri,kibri,majivuno na ujuaji mwingi ili lazima akubali na anatakiwa kujirekebisha..ukimsikiliza wakati anahojiwa na media uwa anajibu kijeuri sana...mbaya zaidi ajijui km anamatatizo hayo niliyotaja..
Najua unapita jf au wapambe wako acha kujifanya TFF ...simba ni club ya wananchi umeikuta na utaiacha..acha watu watoe maoni yao bila kuvunja sheria ya jamhuri ya muungano wa TZ...
Jirekebishe....

Sent using Jamii Forums mobile app
Haji ana ulemavu wa akili. Nakumbuka ilikuwa hivi hivi kwa Edo Kumwembe aliposema Simba haina "wanaume" wakati huo Yanga ikiwa na akina Ngoma on fire.
 
6cff80a7-05f2-477e-88bd-68fb15b2b85d-600x703.jpg

c8fb1d9a-b6d5-4718-bbb1-3e209bd07960-500x800.jpg

Sijamsikia akimkosoa January Makamba kwa hiki alichokosolewa, na ni wazi Manara ni Mweupe sana kichwani.
 
Usemaji wa vilabu tanzania ni vituko sana,ni lazima uwe na tambo na mipasho,kana kwamba ni kazi ya ukatibu uenezi,Thobias Kifaru wa mtibwa sugar ndo mwanzilishi wa hizi tambo,wakaja kina Jerry Muro , Manara na Masau Bwire.Ndo maana hata wanapojibu hoja ni kwa mipasho tu ,hakuna weledi wowote wala si mawazo ya benchi la ufundi.Msemaji wa sasa Yanga ni Bora kuliko wote,na hata Sngida United kidogo.
 
Haji ana ujuaji mikogo kujifanya born town anapenda kukashifu wengine wkt huo yeye sio mvumilivu akili zake ni kama Jerry Murro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom