Chuki binafsi ya Haji Manara kwa Shaffi Dauda inatokana na nini?

Chuki binafsi ya Haji Manara kwa Shaffi Dauda inatokana na nini?

Tunaitaji ufafanuzi na ushahidi zaidi tujue kama Haji alikosea, nilivyoelewa Dauda alisema Simba ni Underdog kwenye kundi alilopangwa na Haji akapinga .Je alitumia lugha ya matusi? Ni kweli Simba ni underdog kwenye kundi alilopangwa, je kama Haji Manara alipinga kwa lengo tu la kujenga kujiamini(confidence) ya timu yake ya simba atakuwa amekosea ? Ushindi si uwanjani pekee ukivulugwa kisakolojia lazima upingwe nyingi tena wamepangwa na waarabu, kwa upande wangu naona Haji Manara kafanya kazi yake vizuri sana.
 
Haji hakujibu kwa hoja,ametoa majibu atalipa kusasi km unakumbuka aliwahi kutoa tuhuma shaffih aliomba kazi WCB..sasa hii ni ishu person sio mpira
Tunaitaji ufafanuzi na ushahidi zaidi tujue kama Haji alikosea, nilivyoelewa Dauda alisema Simba ni Underdog kwenye kundi alilopangwa na Haji akapinga .Je alitumia lugha ya matusi? Ni kweli Simba ni underdog kwenye kundi alilopangwa, je kama Haji Manara alipinga kwa lengo tu la kujenga kujiamini(confidence) ya timu yake ya simba atakuwa amekosea ? Ushindi si uwanjani ukivulugwa kisakolojia lazima upingwe nyingi tena wamepangwa na waarabu, kwa upande wangu naona Haji Manara kafanya kazi yake vizuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
z
Katika wasemaji wa team zetu hapa TZ, Dismas Ten naona ndo msemaji mwenye uweledi zaid na busara za hali ya juu.
Kuna wakat mpaka huwa nasema kwanin huyu jamaa asingekuwa msemaji wa team yangu Simba? Haji anakosa uweledi kwa majivuno yake

Sent using Jamii Forums mobile app
huyo zuzu 10 akawe msemaji wa familiya yenu sio Simba. Simba inahitaji msemaji kama Manara, alaf Simba inaingia vitani kuwakilisha Taifa, unapoiita Underdog unastahili bakora, Shafii apigwe tu. Simba inatisha Afrika nzima unaiitaje Underdog?
 
Unaweza Kuniuliza kwann nasema chuki binafsi..haji hataki dauda aikosoe simba kwa namna yoyote ile...
Wachambuzi wengi wanatoa maoni yao juu ya simba na haji asemi chochote...ila kwa dauda ni ugomvi...
Licha ya mapungufu ambayo shaffi anayo ni ubinadamu tu..haji huwezi kumzuia... Kutoa maoni yake km mchambuzi cz ata yeye haji uwa anakosoa na anatoa maoni yake Mara nyingi tena kwa kejeri ni haki yake ...
Kwann dauda tu...? uwezi kuzuia ukweli simba ni underdog katika kundi lao uo ndio ukweli ..je unataka husisemwe?
Shida ya haji ni jeuri,kibri,majivuno na ujuaji mwingi ili lazima akubali na anatakiwa kujirekebisha..ukimsikiliza wakati anahojiwa na media uwa anajibu kijeuri sana...mbaya zaidi ajijui km anamatatizo hayo niliyotaja..
Najua unapita jf au wapambe wako acha kujifanya TFF ...simba ni club ya wananchi umeikuta na utaiacha..acha watu watoe maoni yao bila kuvunja sheria ya jamhuri ya muungano wa TZ...
Jirekebishe....

Sent using Jamii Forums mobile app
itakuwa ni yale mambo yao ya mademu naona....
 
Katika wasemaji wa team zetu hapa TZ, Dismas Ten naona ndo msemaji mwenye uweledi zaid na busara za hali ya juu.
Kuna wakat mpaka huwa nasema kwanin huyu jamaa asingekuwa msemaji wa team yangu Simba? Haji anakosa uweledi kwa majivuno yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani majina ya hizi tittle zinawafanya wengi kuwa "WATU WA KUBWABWAJA TU aka KUSEMA CHOCHOTE" nadhani wangefanya kazi kama "MAAFISA HABARI WA TIMU" naona mambo ya UWEDI yangezingatiwa....nadhani mbali na Dismas Temu, kuna msemaji wa AZAM Ndg. Maganga
 
Nikikuita mpumbavu nitakuwa nimekosea? Pale hakuna bifu ni urafiki tu na kinachoendelea kinafanyika ili shaffih dauda avune followers tena mabifu waga mnayo ninyi mashabiki maandazi.
.
Kwenye bifu za akili kama hizi ni wapumbavu tu ndo huwa wanaropoka hovyo wenye akili huendelea na mambo yao,ni kama bifu la nick minaj na Card B ilikuwa iko kibiashara zaidi na nilazima mmoja aonekane mnyonge ili kitu fulani kiende.
Ahahahahahahaha ahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaitaji ufafanuzi na ushahidi zaidi tujue kama Haji alikosea, nilivyoelewa Dauda alisema Simba ni Underdog kwenye kundi alilopangwa na Haji akapinga .Je alitumia lugha ya matusi? Ni kweli Simba ni underdog kwenye kundi alilopangwa, je kama Haji Manara alipinga kwa lengo tu la kujenga kujiamini(confidence) ya timu yake ya simba atakuwa amekosea ? Ushindi si uwanjani ukivulugwa kisakolojia lazima upingwe nyingi tena wamepangwa na waarabu, kwa upande wangu naona Haji Manara kafanya kazi yake vizuri sana.

Chukulia mfano.

Champions League Group A

Barcelona

Chelsea

Roma

Sampdoria.


Nani underdog hapo kwa muono wako?! Ni halali msemaji wa Sampdoria kumtolea povu mchambuzi eti kisa timu yake imeitwa underdog kwenye kundi husika.

Basi angalau tujaribu kumpinga kwa hoja. Let's try hivi...

Kundi la Simba liko hivi

Al Ahly

Vita Club

Js Soura

Simba


Em iruhusu akili yako ifanye kazi achana na hizi pigo za Yanga Daima Mbele Nyuma Mwiko na Simba Nguvu Moja, tuambie nani kibonde hapo?!!

Ni fahari utapopata mafanikio huku ukiwa umetoka kudhauriwa. Kuwa underdog sio tusi haimaanishi huwezi kufanya maajabu. Rejea case ya Leicester city.

Ukubali ukatae Haji manara ni sababu pia ya Simba kukamiwa kwenye mechi zake na hivi vitimu vidogo. Kisa ni nini? Mdomo. Jamaa anaropoka sana. Psg wanafanya usajili wa kufuru lakini uwezi sikia msemaji wao anajitapa kwa usajili huu hakuna timu ya kutufunga. Mara oh tunaweza chezesha vikosi viwili ndani ya Siku moja vikacheza mechi mbili tofauti.

Huyu Haji Manara ana matatizo sana weka unazi pembeni. Em tuambie..... Shafii ni mwandishi wa Habari pia, kama we ni mdau wa kabumbu unatambua fika kipindi cha usajili tetesi nyingi huwa zinaibuka huyu kuhusishwa hapa and the likes. Na inafika kipindi inaeditiwa picha ya mchezaji fulani kavaa jezi ya timu anayohusishwa nayo. Imeshakuwa kitu cha kawaida dunia nzima ila huyu bwana alimtolea povu sana Shafii kana kwamba jamaa ndo anamshawishi Niyonzima ajiunge na Azam.

Kila mtu anajua humu ndani mimi ni shabiki wa Yanga ila inapotokea mambo yanaenda sio naenda directly kabisa kwamba hapa tunachochora. Hatuwezi fika popote kama tutakuwa watu wa kuoneana aibu. Mtu akizingua tunamchana. Kwenye siasa tuogope bunduki na huku michezoni tuogope nini kuongea ukweli?!

Sisi mashabiki tutabaki kuwa mashabiki na yeye Manara inabidi abehave kama kiongozi. Mimi naweza nikasema Simba hachomoki kwa Nkana huku nikijua fika matokeo aliyopata ugenini yanambeba Simba zaidi ila nitaongea hivyo kwa kuwa tu mimi ni shabiki wa Yanga na nitaeleweka kwa Wanayanga wenzangu. Naficha uhalisia naongea uongo. Manara hatakiwi kuwa kama sisi.

Hakuna kitu nilifurahi pale Yanga kama kugoma kumrudisha Muro kwenye nafasi yake baada ya adhabu yake kwisha. Jamaa alikuwa anaichafua Yanga. Simba imeshaingia kwenye Kampuni sasa ni hatua kubwa sana ambayo hata mimi natamani club yangu ifike huko. Ila unapokuwa na msemaji ambaye hajui mipaka yake kuna siku mtakuja kulia na wadhamini. Rejea sakata la Mo kutekwa na post za Manara na kilochomkuta.


Anyway samahani kwa gazeti.
 
Umenena facts
Chukulia mfano.

Champions League Group A

Barcelona

Chelsea

Roma

Sampdoria.


Nani underdog hapo kwa muono wako?! Ni halali msemaji wa Sampdoria kumtolea povu mchambuzi eti kisa timu yake imeitwa underdog kwenye kundi husika.

Basi angalau tujaribu kumpinga kwa hoja. Let's try hivi...

Kundi la Simba liko hivi

Al Ahly

Vita Club

Js Soura

Simba


Em iruhusu akili yako ifanye kazi achana na hizi pigo za Yanga Daima Mbele Nyuma Mwiko na Simba Nguvu Moja, tuambie nani kibonde hapo?!!

Ni fahari utapopata mafanikio huku ukiwa umetoka kudhauriwa. Kuwa underdog sio tusi haimaanishi huwezi kufanya maajabu. Rejea case ya Leicester city.

Ukubali ukatae Haji manara ni sababu pia ya Simba kukamiwa kwenye mechi zake na hivi vitimu vidogo. Kisa ni nini? Mdomo. Jamaa anaropoka sana. Psg wanafanya usajili wa kufuru lakini uwezi sikia msemaji wao anajitapa kwa usajili huu hakuna timu ya kutufunga. Mara oh tunaweza chezesha vikosi viwili ndani ya Siku moja vikacheza mechi mbili tofauti.

Huyu Haji Manara ana matatizo sana weka unazi pembeni. Em tuambie..... Shafii ni mwandishi wa Habari pia, kama we ni mdau wa kabumbu unatambua fika kipindi cha usajili tetesi nyingi huwa zinaibuka huyu kuhusishwa hapa and the likes. Na inafika kipindi inaeditiwa picha ya mchezaji fulani kavaa jezi ya timu anayohusishwa nayo. Imeshakuwa kitu cha kawaida dunia nzima ila huyu bwana alimtolea povu sana Shafii kana kwamba jamaa ndo anamshawishi Niyonzima ajiunge na Azam.

Kila mtu anajua humu ndani mimi ni shabiki wa Yanga ila inapotokea mambo yanaenda sio naenda directly kabisa kwamba hapa tunachochora. Hatuwezi fika popote kama tutakuwa watu wa kuoneana aibu. Mtu akizingua tunamchana. Kwenye siasa tuogope bunduki na huku michezoni tuogope nini kuongea ukweli?!

Sisi mashabiki tutabaki kuwa mashabiki na yeye Manara inabidi abehave kama kiongozi. Mimi naweza nikasema Simba hachomoki kwa Nkana huku nikijua fika matokeo aliyopata ugenini yanambeba Simba zaidi ila nitaongea hivyo kwa kuwa tu mimi ni shabiki wa Yanga na nitaeleweka kwa Wanayanga wenzangu. Naficha uhalisia naongea uongo. Manara hatakiwi kuwa kama sisi.

Hakuna kitu nilifurahi pale Yanga kama kugoma kumrudisha Muro kwenye nafasi yake baada ya adhabu yake kwisha. Jamaa alikuwa anaichafua Yanga. Simba imeshaingia kwenye Kampuni sasa ni hatua kubwa sana ambayo hata mimi natamani club yangu ifike huko. Ila unapokuwa na msemaji ambaye hajui mipaka yake kuna siku mtakuja kulia na wadhamini. Rejea sakata la Mo kutekwa na post za Manara na kilochomkuta.


Anyway samahani kwa gazeti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom