Chuki binafsi ya Haji Manara kwa Shaffi Dauda inatokana na nini?

Sasa kilichokufanya na wewe umkosoe manara ni nini wakati na yeye ana mapungufu yake?
 
HAMNA ww yule mtangazaji na mwenzie wa kituo kimoja cha kazi wanapenda sanaaa kuiponda SIMBA SC kila zuri simba wanalofanya wale mabwana wao kwao BAYA mimi namshauri huyo bwana mchambuzi wa kandanda AKAANZISHE CLUB YAKE ALAFU NDIO AIKOSOE KOSOE KILA ANAPOJISIKIA wala hakutakuwa na mtu wa kumpangia na kumzuia ila pale SIMBA SC watu wame weka PESA zao NYINGI tu sio kapesa kakuendesha tuvimichuano vya MANDONDO PESA iliyowekwa SIMBA inafungua redio kama anayofanyia kazi yy zisizopungua 5 tena classic studios Hivyo bac WATU pale SIMBA sc wapo MAKINI kila kunapo kucha kuna watu wana umiza AKILI zao juu ya iyo michuano sio kuimba konjera za kukosoa MBONA hakosoi YANGA ambao mpaka leo hawaja fanya uchaguzi licha ya serikali kuwaambia wafanye uchaguzi
 

Aisee. Unataka kuniambia katika nafasi ya manara simba akubali kuwa ni underdog? Hapo unacheza mchezo wa saikolojia ndugu. Hata kama ni mimi ningekuwa manara na kwa nafasi yangu nisingeukubali huo upuuzi, Once shafii na geoff lea ndio hao walitangaza kwenye sports extra kuwa Nkana anakuja kuipiga simba nyumbani, tena kwa kuidharau simba dhidi ya mpinzani wake. Ukiangalia hiyo clip ya shafi ndio utaona hakuna uchambuzi bali lengo binafsi, eti alhahly ana point zake sita, vital wanapoint zao sita. Sasa mchambuzi kama huyu acha atolewe povu tu.
 

Wanaosema manara ana chuki binafsi hawajalifuatilia ili suala wao wanaangalia instagram them wanakuja kuyaleta hapa. Wangekuwa wanasikiliza sports extra kuanzia simba inajiandaa kucheza na mbambane hadi juzi na nkana. Tena kabla ya mechi ya nkana shafii na geoff wakasema hawaoni jinsi simba itamfunga nkana taifa. Nikiangalia na kinachoendelea sasa, naona acha manara awatolee uvivu tu.
 
Clouds pekee ndio walichambua hivo? Au kwa vile unasikiliza clouds tu? Redio kibao walisema hivo hivo na wanasema simba ni underdog mbona mapovu hayamtoki?
Pia umesema jef kahusika mbona anamwandama dauda tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWELI kabisa huyo GEOF utazani yy ndio mwamuzi MIMI nina amini hawa jamaa mwaka huu ndio mwaka wao wa kuumbuka LIVE mchana kweupeeee yaani geof yy ndio huwa ana conclude kabisaa eti juzi wale AL hilaly wamemsajili mchezaji toka CLUB cha EPL bac yy ndio akapata la kusemea , anasahau kuwa ktk mpira anything can happen
 
Clouds pekee ndio walichambua hivo? Au kwa vile unasikiliza clouds tu? Redio kibao walisema hivo hivo na wanasema simba ni underdog mbona mapovu hayamtoki?
Pia umesema jef kahusika mbona anamwandama dauda tu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Radio gani? Toa mfano. Haya nakuuliza na wewe, how simba ni underdog kwa Js Soura? Nijibu japo kwa statistics.
 
Clouds pekee ndio walichambua hivo? Au kwa vile unasikiliza clouds tu? Redio kibao walisema hivo hivo na wanasema simba ni underdog mbona mapovu hayamtoki?
Pia umesema jef kahusika mbona anamwandama dauda tu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Toa mfano ni radio gani boss! Yaani mchambuzi unasema, eti kwa simba alhaly atajichukulia point zake sita, mala vital atajichukulia point zake sita, ni mwaka gani hao waarabu walivuna point sita kwa simba? Nikumbushe wewe. Angalau ukiwasikiliza wakina oscaroscar wanachambua tactically, yaani mchambuzi unaishia kulopoka tu eti sioni simba ikimfunga vital, how? Elezea tachticaly madhaifu ya simba na uwezo wa vital! Sasa huo ni uchambuzi au utabili?
 
Uhuru/efm/ufm/radio1/magicfm/ nyingi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kama hicho, nimewahi kumsikia oscar oscar baada ya mechi ya Nkana akielezea madhaifu ya simba kwenye difence na akaonya kuwa inaweza kutucost kwenye marudiano. Huyo ndio mchambuzi anakosoa na anatoa solution, sasa huyo naweza kumuweka kundi moja na shafii? Ambaye anasema simba ni undorg, hawezi fanya kitu kwenye kundi, how? Wana mapungufu gani? Warekebishe eneo gani? Hauwezi kusikia hilo kwa hao watu, wao kazi yao ni kubashiri tu.
 
Mahaba hayo kwa mchambuzi mbovu kama Dauda yatakua..
 
Wewe utakuwa mbutembute fc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa sina mpango wa kukomenti hapa,ila jibu hili linafaa sana kwa mwanzisha uzi na wengineo "mbutembute fc"
 
Huyu Shafih ni mpumbavu tu,..nmesha Mu unfollow zamani tu huko Instagram, jamaa Sio mchambuzi bali ni muimba ngojera tu, just imagine Simba Now wako katika molari ua juu sana wakiamini wanaweza kila kitu, Ety anakuja mpuuzi mmoja na kuharibu morali yenu Kwa kuwaita vibonde?..

Kwani africa kuna Timu ngapi?. Zilizofanikiwa kupenya kwenye 16bora ni ngapi?. Why aseme ni kibonde?.angesubir hii hatua ya makundi kuisha then aje na mawazo yake,

Sikatai manara anayo mapungufu, hila pia mchango wake klabuni ni Mkubwa sana..

Hiyo dauda atulize genye achambue Mpira, Sio kila kukicha yeye ni kuibeza Simba tu,uchambuzi wake ni Simba tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…