Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

Kampeni za mitataoni zinaendeshwa na genge moja linalotaka urais. Wanamuona January Makamba kama tishio. Hivyo wanataka kumdhoofisha kwa kuwaaminisha watu kuwa hafai. Na wengine wanafuata mkumbo bila kujua kilichoko nyuma ya hizo tuhuma.

January ni presidential material.
Yes inawezekana ni presidential material kwa vigezo vya bongo ; kwani karibuni wote waliomtangulia akiwemo Mkwere walikuwa mafisadi!!
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Kwanini alifutiwa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne Galanos Sekondari?
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
watu wamemchukia tu sababu ya dynasty

watu hawapendi bloodline yake

personally I hate him for that

i dont him,he dont know me,but i hate him big time
 
watu wamemchukia tu sababu ya dynasty

watu hawapendi bloodline yake

personally I hate him for that

i dont him,he dont know me,but i hate him big time
Watu hawampendi kwasababu ni creation ya fisadi Kikwete na yeye amerithi ufisadi toka kwa baba yake Yusuf Makamba na Mkwere!!
 
Passmark za shule hazikutabirii kufika mbali maishani siku hizi... unataka kutuambia kila aliye serikalini alipata First-class na division 01?!

Kutokufanya vizuri Form-four sio mwisho wa maisha na kutopata first class chuoni haimaanishi hufai kushika nyadhifa kubwa au kufika mbali maishani.

Nauka mkono sana hoja ya elimu na maarifa ila hapo napinga.
No, siyo kwamba anachukiwa. Watu wenye akili wanajaribu kupima hivi vyeo anavyopata haraka namna hiyo ni kweli anavistahili au ni kwa vile baba yake ndio watawala wa nchi hii! Tukichukua vyeti vyake vya shule, je anaufaulu outstanding to deserve such accelerated promotions to those levels?

Sawa na Ridhiwani Kikwete, amepata ubunge siyo kwa vile alishindanishwa, ni kwa vile influence ya baba yake played the whole part. Kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, siyo kwa vile ana merit ya kuwa pale, ni influence ya baba yako!

Sawa na NAPE, ana sifa kweli za kuwa pale? Mtu Form four failure, tena div 4 point 30! Huyu ataandamwa kwa vile yuko pale kwa kujuana, siyo merit!
 
Tunamzungumzia kipara we vipi kwani kuna ligi hapa😏

Ondoa uchawa wako hapa😏
Leta ajabu lako kwanza ndio tuje Kwa kipara
20230901_132849.jpg
20230901_132856.jpg
 
Ushahidi wa Wazi ni Wizara anazoziongoza.. Ndio maana Watu wanaona Hafai

Mafuta Nchi hii Wafanyabiashara wanajiamulia tu... Wananchi wananunua mpka 5000 per lita
Kuna kiongozi wa dini alisema hatuwezi kuongozwa na wanyoa vipara,viongozi wale wakisema wafuasi wao huanzisha propaganda dhidi yako
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Wewe ni baba Levo wa Makamba
 
Umeme upi wa uhakika? Kama umeme ulikuwa wa uhakika ni vipi Vijiji zaidi ya 2,000 havikupata umeme?

Kama.umeme ulikuwa wa uhakika ilikuwaje watu wote hamkuwaunganisha na umeme maana mlisema mumeshusha bei.

Kama.umeme ulikuwa wa uhakika ni vipi mlishindwa Kupeleka umeme. Kwenye migodi mikubwa kama GGM.na Chunya Hadi amepelela Makamba?

Ni vipi mlishindwa Kupeleka umeme wa grid Kigoma na Tabora Hadi aje Makamba?

Wapumbavu nyie hakuna mnachoweza
Nilisahau hawa washenzi wanasema Makamba hana legacy wakati migodi yote tokea uhuru umeme kapeleka Makamba, grid ya taifa Kigoma yeye.


Wanatumika hapa hawa wahuni kwa vipande vya fedha.

Halafu mtu wanaye
Januari ni presidential immaterial.

Haijalishi kama anapenda kuwa Rais wa Tanzania ila hana uwezo huo wa kuwa Rais na HATOKUWA Rais wa Tanzania sawa na akina Lowassa.

Rais wa Tanzania ni chaguo la Mungu tu na siyo matakwa ya binadamu. Ukiacha J K Nyerere Rais wa kwanza, kila ambaye alisemwa sana hajawahi kupata hiyo nafasi.

Januari hatopata, niko pale niite mbwa
We mbwa pale hebu kuja haaaapa.


😂😂😂
 
Ila huko Mambo ya Nje wamempatia maana ni Mzee wa connection na ataziweza sana diplomasia ya Uchumi.



Kule wamempeleka nyumbani ( chura karejeshwa majini).

Alishawahi kufanya kazi kule nazani kama Principal officer.

Anafahamu mambo mengi ya kule.

Wakereketwao shauri yao !
 
Kampeni za mitataoni zinaendeshwa na genge moja linalotaka urais. Wanamuona January Makamba kama tishio. Hivyo wanataka kumdhoofisha kwa kuwaaminisha watu kuwa hafai. Na wengine wanafuata mkumbo bila kujua kilichoko nyuma ya hizo tuhuma.

January ni presidential material.
You could be right, kuna mtu alisema pahala January anajiona yeye Obama....nikamuuliza anajiona Obama au wewe ndiyo unamuona kama Obama...[emoji3]...

Sehemu nyingine nilisoma eti anakunja mashati kama Obama, nikasema dah, kweli chuki huzaa upofu...sisi vijana wa 47+ tunajua staili za kukunja mashati toka 1980s hukoo na kupitia sinema za akina Bruce Lee, Jim Kelly, Amitabh Bachan etc....
 
Ile voice note inabeba kila kitu.

Lakini haya machache;
1. Huwa anajiona yupo smart kichwani kuliko mtu mwingine wakati hamna kitu..kwenye ofisi yake huwa anabadili sana makatibu.
2. Kwa mara ya kwanza aliingia bungeni kwa rushwa millioni 300 huku baba yake akiwa katibu mkuu na akafumbia macho.
3. 2015 Kikwete alilalamika kuwa pamoja na January kuwa msaidizi wake lakini alienda kuchukua fomu ya urais bila hata kumuambia.
4. Ni mtu anayependa dili sana..kuna ushahidi wa wazi kila alipokuwa akienda kwenye mradi wa bwawa la nyerere kuna zile kampuni zinamletea bahasha ili ziendelee kupewa tenda kwenye bwawa la nyerere..kiufupi anatoka hapo nishati akiwa bilionea wa kutisha.
Hii point ya nne ni majungu...in the sophisticated world of today, January kwa exposure yake hawezi kuwa mshamba kiasi hicho. Angeweza kufungua a bank account kupitia an offshore shell company in the dark world of Malta hukoo na kwengine na kisha hela ikaingia huko yeye huku akabaki na Visa card yake for payments only...it doesn't make sense.

Fools kama wale Sukuma Gang ndiyo wanajivuna kubeba hela nyingi mfukoni kama baba yao alivokuwa anatembea na mabegi ya hela...[emoji3]
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Mti wenye matunda tena yaliyoiva ndo hupigwa mawe.
 
Samahani,
Bwana mmoj anayemshambulia sana kule tweeter anakerwa hata na tuvaaji wake wa kukunja shati mikono kidogo,kama Obama.Kuhusu rushwa,samahani tena,hivi kwa CCM kuna mbunge anapita kutoa rushwa (kama sio kwenye uchaguzi ni kwenye mchujo).Hili la dili sina uhakika lakini kwa kusemwa huku CAG si angemuanika vilivyo?
Nashukuru
Hilo la kukunja mashati nadhani ushamba wa wabongo na utoto wa watoa hoja unachangia...

Am 47+ na nimekuwa nikikunja mashati tangia nikiwa teenager in late 80s...I got that from my Dad na sinema za Bruce Lee...Obama got nothing to do na hiyo staili kwani naye kaikuta tu!
 
Kampeni za mitataoni zinaendeshwa na genge moja linalotaka urais. Wanamuona January Makamba kama tishio. Hivyo wanataka kumdhoofisha kwa kuwaaminisha watu kuwa hafai. Na wengine wanafuata mkumbo bila kujua kilichoko nyuma ya hizo tuhuma.

January ni presidential material.
Unajipakulia minyama tu aisee
 
Hz ni miongoni mwa mbinu anazotumia mheshamiwa February manyuzi, kujiweka akilini mwa watu, apa naona chawa wake wakijaribu kueka hoja nyepesi kumtetea apate huruma za wanyonge watz, Ila kiukweli February ni ibilisi
namsubiri funza , minyoo aje atolee ufafanuzi hili
 
Back
Top Bottom